Mabilionea Kanda ya Kati ni shida

Mabilionea Kanda ya Kati ni shida

Aisee nimekaa hapa hii kanda ya kati yaan dodoma nimegundua kumbe kuna matajir hatari zaid hata ya kanda ya ziwa na kanda ya kazkasin hawawez kuwafikia hata kwa dawa,

Ni watu ambao wanamiliki mkwanjwa wa adabu lakin jamaa hawana mbwembwe nyingi kama za wasukuma na wachaga za kutembelea hama na gari zilizoandikwa plate number za majina yao na ni wakimia baraa hawa watu ni shida

Nakutajia baadhi yao tu
A bhanji
B boss ngasa
C peter fasion
D kifimba na kimbinyiko

Nawasilisha chalenge za matajiri wa pande uko uliko zinaruhusiwa hata kama ukiwaweka hapa ni sawa tu
Nimeliona jina langu kwenye hiyo list nani kakwambia mimi ni bilionea usije fanya TRA waanze kuniletea matejo.
 
Kwenye maelezo yako mkuu kwa heshima na taadhima nakuomba uondoe maneno (Kanda ya Kaskazini) tafadhali.... Usilinganishe vitu vya kijinga na (URN) United Republic of North..... Ambapo ni nchi inayo jitengemea... Ndani yake kuna majiji kama Moshi na Arusha.....
 
Aisee nimekaa hapa hii kanda ya kati yaan dodoma nimegundua kumbe kuna matajir hatari zaid hata ya kanda ya ziwa na kanda ya kazkasin hawawez kuwafikia hata kwa dawa,

Ni watu ambao wanamiliki mkwanjwa wa adabu lakin jamaa hawana mbwembwe nyingi kama za wasukuma na wachaga za kutembelea hama na gari zilizoandikwa plate number za majina yao na ni wakimia baraa hawa watu ni shida

Nakutajia baadhi yao tu
A bhanji
B boss ngasa
C peter fasion
D kifimba na kimbinyiko

Nawasilisha chalenge za matajiri wa pande uko uliko zinaruhusiwa hata kama ukiwaweka hapa ni sawa tu
Hao uliowataja kwa asili sio wa Dodoma hao wa kuja wote hapo, asili ya majina yao ni huko unakopakataa,. Huko Dodoma wamekuja kuchuma tuu.
 
Kwenye maelezo yako mkuu kwa heshima na taadhima nakuomba uondoe maneno (Kanda ya Kaskazini) tafadhali.... Usilinganishe vitu vya kijinga na (URN) United Republic of North..... Ambapo ni nchi inayo jitengemea... Ndani yake kuna majiji kama Moshi na Arusha.....
Mosh kumbe ni jiji mkuu
 
Hao uliowataja kwa asili sio wa Dodoma hao wa kuja wote hapo, asili ya majina yao ni huko unakopakataa,. Huko Dodoma wamekuja kuchuma tuu.
Hebu nambie ni wawapi hao
 
Aisee nimekaa hapa hii kanda ya kati yaan dodoma nimegundua kumbe kuna matajir hatari zaid hata ya kanda ya ziwa na kanda ya kazkasin hawawez kuwafikia hata kwa dawa,

Ni watu ambao wanamiliki mkwanjwa wa adabu lakin jamaa hawana mbwembwe nyingi kama za wasukuma na wachaga za kutembelea hama na gari zilizoandikwa plate number za majina yao na ni wakimia baraa hawa watu ni shida

Nakutajia baadhi yao tu
A bhanji
B boss ngasa
C peter fasion
D kifimba na kimbinyiko

Nawasilisha chalenge za matajiri wa pande uko uliko zinaruhusiwa hata kama ukiwaweka hapa ni sawa tu
Hao njaa kali tu tajiri anamabasi ...kweli dom kuna matajiri
 
Umewasahau Consolata Daudi Mallya, TAKAWEDO, Kidia Vision, City Boy, Mshewe, Mselia (alijipiga risasi ishu ya viroba), perugina, Mmiliki wa Okaoni Hotel, na wote ni WACHAGGA, Kanda ya Kaskazini
Mbona unataja wa kwenu tu mkuu
 
Back
Top Bottom