Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Kumbe mmetaharuki hadi hamuwezi kutawala sasa. sikujua kama niwaoga namna hiiHiyo ndio sababu ya kumtesa Ulimboka? ili nchi isitawalike au sio?
Kumbe mmetaharuki hadi hamuwezi kutawala sasa. sikujua kama niwaoga namna hiiHiyo ndio sababu ya kumtesa Ulimboka? ili nchi isitawalike au sio?
Ananikera mno!zomba, ni siku ya tatu sasa umekuwa unatumia nguvu kubwa sana ku-shift blame za huu mkasa wa Dr Ulimboka kwa sababu unazojua mwenyewe. Inaudhi.
Kumbe mmetaharuki hadi hamuwezi kutawala sasa. sikujua kama niwaoga namna hii
NinawafahamuSisi ni waoga sana inapokuja maisha ya watanzania mnaowaweka rehani kwa matakwa yenu ya kimapato tu. Kuna watu wanajulikana Tanzania hii kuwa wanaweza kufanya chchote wahakikishie wanaingiza kipato, kuuwa kwao kwa ajili ya kipato ni jambo dogo sana, jee, huwajui?
Tunangoja onyo kutoka CDU.