Mabehewa ya SGR kwenye reli ya MGR

Mabehewa ya SGR kwenye reli ya MGR

Yaani hii nchi ni kichwa cha mwendawazimu,wizara,TRC,Msemaji wa Serikali na Raisi kila mtu anaongea yake anayoyajua kuhusu hayo mabehewa

Nchi ishakua ya kipuuz sana hii yaan Samia haiko hata sababu moja ya kumfanya kuendelea kuwa rais hata kesho,ni km ni rais asiejua nini kinaendelea ila anaishia kuletea report mezani na anapangiwa vya kuongea

TRC inasema hayo ni mabehewa ya SGR afu leo Wizara inamjibu Heche Twitter wanasema eti hayo mabehewa ni ya MGR cjui ushuzi gan
 
Yaani hii nchi ni kichwa cha mwendawazimu,wizara,TRC,Msemaji wa Serikali na Raisi kila mtu anaongea yake anayoyajua kuhusu hayo mabehewa

Nchi ishakua ya kipuuz sana hii yaan Samia haiko hata sababu moja ya kumfanya kuendelea kuwa rais hata kesho,ni km ni rais asiejua nini kinaendelea ila anaishia kuletea report mezani na anapangiwa vya kuongea

TRC inasema hayo ni mabehewa ya SGR afu leo Wizara inamjibu Heche Twitter wanasema eti hayo mabehewa ni ya MGR cjui ushuzi gan
Na ni kweli yapo ya SGR na MGR mfano ya MGR yalikuwa yanafanyiwa test juzi kutoka dar kwenda morogoro na kurudi tena dar.

Kitu kilichonishangaza kabisa hata mimi kwanini serekali ilishindwa kutoa ufafanuzi unaoleweka katika hili swala yani kana kwamba hata wao hawajui kinachoendelea , sisi tunachangamoto sijawahi kuona.
 
Kuna kitu hapa natamani nikifahamu yawezekana uelewa wangu mdogo.

Wakati naelekea zangu Kariakoo maeneo ya Puma niliona mabehewa yale niliyaona kwenye TV na mitandao ya kijamii yakiwa juu ya reli MGR (Reli ya Kigoma-Mwanza)Kama ni kweli yale ndio ya kisasa imekaaje yamefit kwenye hio reli?

Ikumbukwe reli ya SGR ni pana kuliko reli ya zamani au hizo ekseli zake zinatanuka kupungua!

Ila naona kuna mchezo tunachezewa na hawa viongozi wetu.
Hayo ndiyo tumeuziwa kwa zaidi ya sh bilioni kwa behewa moja?
 
Na hiyo adjstment haihitaji hata wataalamu kutoka nje. Washua wa ndani tu walioko karakana ya reli morogoro watafanya
Watayahamishaje kutoka yalipo sasa kwenda kwenye sigara (kama anavyotamka mzee jirani yangu Mkude mstaafu wa TRC)
 
Kuna kitu hapa natamani nikifahamu yawezekana uelewa wangu mdogo.

Wakati naelekea zangu Kariakoo maeneo ya Puma niliona mabehewa yale niliyaona kwenye TV na mitandao ya kijamii yakiwa juu ya reli MGR (Reli ya Kigoma-Mwanza)Kama ni kweli yale ndio ya kisasa imekaaje yamefit kwenye hio reli?

Ikumbukwe reli ya SGR ni pana kuliko reli ya zamani au hizo ekseli zake zinatanuka kupungua!

Ila naona kuna mchezo tunachezewa na hawa viongozi wetu.
Niliuliza swali hili siku ya Ijumaa pia sikupata majibu


Na wengine wanasema hivi

 
Huku huyu anasema hivi

 
Kuna kitu hapa natamani nikifahamu yawezekana uelewa wangu mdogo.

Wakati naelekea zangu Kariakoo maeneo ya Puma niliona mabehewa yale niliyaona kwenye TV na mitandao ya kijamii yakiwa juu ya reli MGR (Reli ya Kigoma-Mwanza)Kama ni kweli yale ndio ya kisasa imekaaje yamefit kwenye hio reli?

Ikumbukwe reli ya SGR ni pana kuliko reli ya zamani au hizo ekseli zake zinatanuka kupungua!

Ila naona kuna mchezo tunachezewa na hawa viongozi wetu.
Ekseli zake ni za elastiki zinavutika kulingana na upana wa reli, usiwe na shaka tayari mamefiti kwenye SGR.
 
Yaani inauma kuona kodi zinavyochezewa vila huruma .
Yaani ingekuwa ni mimi naenda kununua alafu hela yangu ninayo siwezi kununua version ya WW II wakati modern train zipo au tulilazimishwa.
Ni sawa unabajeti ya kununua iPhone 14 na tayari umenunua chaja yake alafu unafika dukani unanunua Tecno P5

Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
Ni kweli budget ni ya iphone 14 ila ukitoa 4M yote wewe hupati genji, style ya manunuzi bongo always ni overstating kwahio lazma utaandikia mchongo upewe 6M ili hio excess uipate. Ikitokea mtu aliyeweka order alishafunga mkataba wa 4M na akaanza malipo ya awali namna ya pekee ni kuvuruga mkataba ili umpore tender 😀 ili ukanunue simu ya bei rahisi hata kwa 2M chinese clone ili uweze kula 2M ya genji.

Thats what happened in SGR Deal.
 
mabehewa yote yanaweza kutumika kwenye reli yo yote iwe ile ya zamani, cape gauge (kama tazara) au sgr. Hata haya ya reli ya zamani yalipoletwa katikati ya miaka ya 1970 huko yalikotoka yalikuwa yanatumika kwenye gauge pana tofauti na yetu.

Kitu ambacho hufanyika ni kufanya adjustment kwenye bog (kwenye matairi yake) unaweza kusema ni kwenye exel kunafanywa adjustment kutanua matairi yakae kwenye muundo wa reli unaotaka kama sgr au kupunguza ili iendane na reli ya zamani au cape gauge. Hayo ya sgr itakapofika wakati yanatakiwa kutumika, adjustment hiyo itafanyika ili yafit kwenye sgr.

Na hiyo adjstment haihitaji hata wataalamu kutoka nje. Washua wa ndani tu walioko karakana ya reli morogoro watafanya
Kwa hiyo baada ya wananchi wazalendo kupiga kelele mkaenda kuyafanyia adjustment ili yatumike kwenye reli ya zamani? Maana hatuna taarifa ya kununuliwa kwa mabehewa ya reli ya zamani. Ndio mjue ccm huwa inacheza na akili za wa tz. Ndio maana mwamba alitaka kuua upinzani mambo kama haya yasihojiwe popote
 
Kwa hiyo baada ya wananchi wazalendo kupiga kelele mkaenda kuyafanyia adjustment ili yatumike kwenye reli ya zamani? Maana hatuna taarifa ya kununuliwa kwa mabehewa ya reli ya zamani. Ndio mjue ccm huwa inacheza na akili za wa tz. Ndio maana mwamba alitaka kuua upinzani mambo kama haya yasihojiwe popote
Axle ipo rigid ile adjustment unafanyaje? Wakubali wamechemsha tu specifications anapewa manufacturer kabla hajaanza kuunda kitu wawadanganye wengine.
 
R.I.P Magufuli

..Magufuli naye alikuwa mpigaji tu.

..unakumbuka story zake za kwenda bandarini na kuokota vichwa vya treni?

..Watanganyika tulijua ule ni uongo, lakini tulijilazimisha kuwa ni ukweli.
 
Back
Top Bottom