little master
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 2,098
- 3,990
No katika ile issue naweza kidogo kukurekebisha mkataba wa ununuzi wa zile locomotives ulikuwa kwa awamu kutoka katika kampuni ya Electromotive Diesel iliyo La grange Illinois marekani 2014 mwishoni kabisa zilianza kuingia locomotives aina ya GT38LC-3 zikiwa 13 wakazipa identification number kama 9001 hadi 9013...Magufuli naye alikuwa mpigaji tu.
..unakumbuka story zake za kwenda bandarini na kuokota vichwa vya treni?
..Watanganyika tulijua ule ni uongo, lakini tulijilazimisha kuwa ni ukweli.
Sasa badae hiyo kampuni ya Electromotive Diesel yani EMD iliuzwa akainunua Caterpillar akaipa jina la Progress Rail muda huo kulikuwa na mkataba unaendelea wa ku manufactur locomotives nyingine 11. Mambo hayakueleweka wanajua wao managerial level ndo kukutwa locomotives 11 bandarini. Zikaja nunuliwa ila kwa bei ya punguzo kidogo wakazipa identification number 9014-9024 na zipo hadi leo. Kwahiyo hakuna uthibitisho wa ubadhilifu pale ishu ilikaa vibaya katika mambo ya mikataba.

