Mabeberu yameanza kutuheshimu sasa

Huyo yupo ufipa anatii maagizo ya mbowe kupinga kila kitu
Ndo namshawishi aje Kisaki ili nimuoneshe fursa zilizopo hapa labda atafunguka macho na akili ambazo atajutia hata huu mda wa kuaminishwa mambo. ajitahidi aje ili aone vyote halafu akili yake akaichekeche vizuri kua hapa duniani hupaswi kua mtumwa wa fikra za mtu
 
Hao wamewekwa mfukoni na mdee akibweka tu wanaingia chini ya meza
Ndo namshawishi aje Kisaki ili nimuoneshe fursa zilizopo hapa labda atafunguka macho na akili ambazo atajutia hata huu mda wa kuaminishwa mambo. ajitahidi aje ili aone vyote halafu akili yake akaichekeche vizuri kua hapa duniani hupaswi kua mtumwa wa fikra za mtu
 
Unamuona mwenzako yupo kwenye Target
IMG_20200224_093453_996.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yamebinywa kwenye mikataba ya ulaghai sasa yanapumulia mashine
Jamani wazungu bure vipi tena Mbuga zetu tunataka waje waangalie wanyama tumenunua na ndege kabisa ilii waje kwa urahisi, nadhani hizi lugha za mabeberu sio sahihi
 
Haya ndio madhara ya kuwa na ID 10 kupiga umbeya hapa JF unaandika na kujijibu mwenyewe na umeshasahau ku logout .
Nakuunga mkono comrade

Pompeo analazimisha watu wafanye ufirauni wasipofanya ati anakataza watu wasiende marikani

Wazungu wameanza kushiwa maarifa
 
Mtu akiwa mjinga wala si vigumu kumjua.
Leo wewe umdharau mzungu wakati hata hicho kiti ulichokalia kimetoka ulaya?
Komputa, simu, usafiri unaotumia, tiba na kila kitu kimetoka kwao, na mwisho hata tiba wanakupa wao, kisha unasema unaogopa kugongwa???
Propaganda mufilisi kabisa hizo.

Ni lazima utazidi kumuogopa beberu kwa kuwa huna ujanja wa kumkwepa
tapatalk_1580657454885.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanakwenda mwezini tunaminyana na kuchimba mashimo ya choo ama kweli ni lazima wsalimu amri bac sawa
 
Mkuu.kuna kitu utakua unajua ujenzi umefanyaje kwani? Sijasikia ukiongolewa Kama.zamani.
Hizi kelele za Stieglers mimi binafsi nilikuwa nikifikiri kuna kitu kinarndelea kumbe ni kampeni tu
Mwambie mwanaccm akuwekee picha ya eneo husika ujionee jinsi ccm walivyo walaghai
 
Pompeo siku hizi halali anaiwaza Tanzania

Kila kinachofanyika Tanzania anakifatilia

Anafuatilia kila hotuba za Rais wetu mpendwa pengine wanalazimika kujifunza hadi kiswahili ili wajue atasema nini.

Miaka ya katikati Tanzania tulipoteza ushawishi wetu wa kisiasa duniani ila toka Rais Magufuli ameingia madarakani mambo yamebadilika.

Bahati nzuri Rais wetu hana muda wa kwenda huko anatumikia Watanzania waliomchagua kwa mamilon ya kura.


Ikumbukwe Marikani huingiza Zaidi ya doller bilion tano kila mwaka kutokana na safari za viongozi wa Africa kwenda Marekani.

Ndani ya miaka minne Magufuli kutokwenda kule kinamuumiza kichwa pompeo

Kama Iran wameweza kumthibiti bwanyenye Kwanini sisi tumuogope?

Marais wa Africa wangekuwa kama Magufuli hakika bara la Africa lingeanza kupokea heshima inayostahili

Haiwezekani watu wanaiba raslmali zetu na sisi tunazindikiza huko kwa kutapanya mabilion ya walipa kodi.

Pompeo nenda kwa step,Tanzania ya leo sio ya jana

Rais Magufuli usitishike na hawa Mabeberu sisi Watanzania tunakuunga mkono kwa asilimia mia moja.

Baada ya pompeo kugonga mwamba huko Venezuela na north korea. Sasa anaanza kuleta janja janja kwetu, hatutakubali.

Tena mimi simwogopi kwenye ukurasa wake wa Twitter huwa nampa ukweli wake.
sikilizeni niwaambie, najua watanzania wengi sana mnajidanganya kwamba kutokwenda kwa mabeberu ndo kunamaliza tatizo lenu la kunyonywa, no no no... african leaders should be more smarter than before. kwa sababu hawa mnaowaita mabeberu wananjia milioni moja za kuwanyonya, imagine unazuia njia moja kati ya njia milioni moja wanazoweza kuzitumia kukunyonya.
sikilizeni. kitendo cha ku devalue(kushusha thamani) pesa yako ni moja ya unyonyaji na utapeli mkubwa, we unafikiri ni kwa nn mpaka leo hawajaweka matumizi ya pesa moja dunia nzima yani one world one currency, ni kwa sababu wanataka wacontrol third world countries kwa kigezo cha uthamani wa pesa na uchumi, after all huwezi shindana na mtu anaekutengenezea pesa, unafikiri hawawezi kutengeneza pesa mingi na serikali yetu ikanunuliwa wote tukawekwa mfukoni. bado wana mbinu nyingi za kutunyonya ndo maana wanafanya kwanza njia ambazo zipo polite ili msiwe na wenge.
kitu cha pili hawa watu tunapambana nao lakini hatujajiandaa kukabiliana na matatizo yetu sisi kama sisi ya ndani, sababu bado hata matatizo yetu ya ndani tunawategemea wao, kwa mfano, kulima na kuprocess vyakula wenyewe, kutengeneza magari, simu, treni, ndege, chuma na kadhalika.

ni kama kukata tawi amablo bado umelikalia, ni bora upate tawi jingine la kushikiria ndo uanzae kukata tawi ulilotoka, hawa mabeberu tunawaponda, lakini uhalisia uko tofauti na wananchi wengi mnavodhani, na isitoshe waafrika tumerudi kwenye ukoloni bila sisi wenyewe kujua. sema ukoloni wa sasa hivi uko tofauti na zamani, ukoloni wa sasa hivi haubagui rangi, ila ni mtu yoyote atakae kua kwenye group la watu wa chini(third world country) ni lazima anyonywe, kwa hiyo kun a wazungu pia ambao mwako africa wana experience the same problem abayo waafriaka wote tuna experience. sa hivi swala la rangi halipo, watu wako selfish sa hivi hadi kwenye race zao wenyewe, nenda marekani uone, sio wamarekani weusi tu ndo wenye umasikini, kuna whites, latinos, chinese nk.

inawezekana nchi za afrika kujitegemea lakini kuna process ngiumu na hatari sana inayohitaji confidence inabidi tuipitie, dr mag kaianza, wenda hasira yake inaweza bado ikawa ndogo katika kufanyta changes lakini anauthubutu, ni mfano wa kuigwa, lakini pia baada ya mag aje mutu ambaye ni most agressive than magu, lakini pia awe na uwezo mkubwa wa uoni wa mambo katika level za kidunia.
 
Back
Top Bottom