Ponjoro wa Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2024
- 3,586
- 9,815
Watu wanaandamana miyoni siku zote.Ndugu zangu kwa masikitiko makubwa jana mabeberu wamewalipa watu wote walioingia kwenye hafla ya miaka 30 ya bongo fleva ili wamzomee, kumbagaza na kumbananga mwana FA.
Inauma sana. Mimi kama abduli aka Ponjoro wa Kinondoni nimesikitika sana. Na bado.
Na mabeberu ndo waliowalipia viingilio ili wakazomee.Ndugu zangu kwa masikitiko makubwa jana mabeberu wamewalipa watu wote walioingia kwenye hafla ya miaka 30 ya bongo fleva ili wamzomee, kumbagaza na kumbananga mwana FA.
Inauma sana. Mimi kama abduli aka Ponjoro wa Kinondoni nimesikitika sana. Na bado.
Na ticket 200+ ziliozuninuliwa kusapoti show ila nado wananchi mkazomeaNdugu zangu kwa masikitiko makubwa jana mabeberu wamewalipa watu wote walioingia kwenye hafla ya miaka 30 ya bongo fleva ili wamzomee, kumbagaza na kumbananga mwana FA.
Inauma sana. Mimi kama abduli aka Ponjoro wa Kinondoni nimesikitika sana. Na bado.
Elewa Fasihi mkuu,hii ni sarcasmBeberu gani? Mmeshaona watanzania hawana akili, mabeberu ndio wana akili kuwapambania madhila yao. Kila kitu ni mabeberu tu, kwani wananchi hawana akili?
naelewa ni dongo upande uleElewa Fasihi mkuu,hii ni sarcasm
Ndiyo mkuuNa mabeberu ndo waliowalipia viingilio ili wakazomee.
Mwandishi ametumia fasihi Tu akioneaha udhaifu wa viongozi wetu ambao watakuja na utetezi kama huoBeberu gani? Mmeshaona watanzania hawana akili, mabeberu ndio wana akili kuwapambania madhila yao. Kila kitu ni mabeberu tu, kwani wananchi hawana akili?
Kabisaa aiseeHuu utaratibu uendelee mpaka waseme walipata wapi asilimia 97