Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 4,393
- 10,910
Tanzania Kuna vituko hatari. Samia na Nchimbi walisikika wakisema ndani ya siku 100 baada ya kuchaguliwa wataunda tume ya upatanishi na maridhiano.
Ninavyoelewa maridhiano ufanyika kipindi ambacho pande zote mbili zimeumia. Sasa Samia na CCM wameumia Nini Hadi watangaze maridhiano?
Na je wanataka waridhiane na nani?
Je hao wanaotaka kuridhiana nao wakigoma hiyo tume itakuwa na kazi Gani?
Mto wa Mbu,
Athens-Ugiriki.
Ninavyoelewa maridhiano ufanyika kipindi ambacho pande zote mbili zimeumia. Sasa Samia na CCM wameumia Nini Hadi watangaze maridhiano?
Na je wanataka waridhiane na nani?
Je hao wanaotaka kuridhiana nao wakigoma hiyo tume itakuwa na kazi Gani?
Mto wa Mbu,
Athens-Ugiriki.