Vitalismathew
New Member
- Sep 29, 2023
- 2
- 0
Kuna changamoto ya mabus ya mikoani hususan yanayosafiri usiku.. nimewahi kupakia mabus kama Kitumbo(Dodoma - Dar) na Kimotco (Dodoma - Arusha) kwanza kabisa haya mabus ni kama daladala maana yanasimama ovyo na kpakia watu wengi had wengine wanasimama. Mbaya zaid haya mabus huwa hawafanyi matengenezo ya magari yao.
Nimewah kupakia Kitumbo kuelekea Dar es salaam na Kimotco kuelekea Arusha. Mabasi yanazimazima ovyo tukiwa njiani.
Yote hayo ni kukosa ukaguzi na kutofanya matengenezo ya mara kwa mara.
Nimewah kupakia Kitumbo kuelekea Dar es salaam na Kimotco kuelekea Arusha. Mabasi yanazimazima ovyo tukiwa njiani.
Yote hayo ni kukosa ukaguzi na kutofanya matengenezo ya mara kwa mara.