MUBIKU
JF-Expert Member
- Oct 24, 2014
- 275
- 372
Apo kwenye Abood usithubutu1. Ally’s *
2. Abood
3. Happy nation
Apo kwenye Abood usithubutu1. Ally’s *
2. Abood
3. Happy nation
UmekaririHamna gari hapo achukue Dar lux
Unapata hasara ganiPanda ndege kijana, dakika 45 tu upo zoo acha ubahili kushinda siku nzima kwenye siti hadi uliyekaa naye anakuwa kama nduguyo..
Happy Nation. AC mwanzo mwishoSijafurahishwa na hizo bus ndani zimechoka hakuna Ac,,seat n mbovu
Falcon ya kwenda musoma hukojoza abiria kwenye vyoo. Nayo ni luxury?Mwanza hakuna luxury bus panda lolote tu mladi liwe jipya jipya maana mabus yote ya Mwanza hukojoza abiria wao machakani kwahio hakuna lenye uzuri hapo
"Likurya" inasound ukabilaVery true...Kuna limoja leusi hivi likurya ana kauli mbovu huyoo ..ila tumeshamripoti
Yes meku. Mpaka chanika huduma ipo... yaan hawajaacha mahali. Wako vizuri sana. Kama nilisikia kigamboni pia. Mwenzake esther nadhan aliachaTilisho wako vizuri sana, kwanza wamewaondolea tabu wasafiri wa uelekeo huo maana wamesambaza ofisi kila kona ya Dsm hata wale waishio mbali na Mbezi/Shekilango hawapati shida.. Pia wana customer care nzuri kwa abiria.
Yaan gari ya hovyo mno. Na phonex. Hamna kitu. Mabox tu paleHamna gar humu atafika mwanza siku ya pili
Hapana mkuu...tulia"Likurya" inasound ukabila
mhhh imekuwaje siku hizi..Hamna gar humu atafika mwanza siku ya pili
Asante.Nilipoa..ila makovu yapo.Pole mkuu, hope ulishapona na hujabakiwa na kovu
Asante mkuu..niko poa nw..i live to tell a tale.Polee mkuu
Hizi gari zinaenda mwanza?Tilisho wako vizuri sana, kwanza wamewaondolea tabu wasafiri wa uelekeo huo maana wamesambaza ofisi kila kona ya Dsm hata wale waishio mbali na Mbezi/Shekilango hawapati shida.. Pia wana customer care nzuri kwa abiria.
Mwenye makosa alikua Nani? Make usku madreva wa bus wanamwaga Moto balaaAsante mkuu..niko poa nw..i live to tell a tale.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi shemeji yako hiwa namsaidiaga kushika break za miguu. Ni dereva makini sana. Sema mwendo wake dah. Na hv hasumbuani na matrafik acha kbs. Na anakuambia anapenda safari za usiku ndo anaona zaidi wakati mimi vicheche sivionagi. Aisee hapanaMwenye makosa alikua Nani? Make usku madreva wa bus wanamwaga Moto balaa
Kwa nn matrafiki hawamsumbui?Mimi shemeji yako hiwa namsaidiaga kushika break za miguu. Ni dereva makini sana. Sema mwendo wake dah. Na hv hasumbuani na matrafik acha kbs. Na anakuambia anapenda safari za usiku ndo anaona zaidi wakati mimi vicheche sivionagi. Aisee hapana
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Kila mbuzi ale usawa wa kamba yake babeKwa nn matrafiki hawamsumbui?
Mdanganye mwenzakokureed hunter ya kipekee kuliko zote..