Optimistic_
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 2,347
- 1,858
Mmmh tangu liniisamilo anazo mpya siku hizi
Mmmh tangu liniisamilo anazo mpya siku hizi
mwaka huu niliziona anapitishaMmmh tangu lini
Fata huu ushauri hautojuta.

mwili kwenye kiti roho mkononi. Chuma la kiumenii... Babes, me napanda kureed scania fekiChuku Ally's mzee hutajuta ...ndo Gari inayoingia mjin ikiwa ya kwanza
Wana customer care nzuri Sana.
Kama huna hela ya ndege ya juu Basi panda Ally's ndege ya chini.


Hamna gari hapo achukue Dar lux
Naona Mkinga alikosea ndagu! Mali ikarudi ilikotoka! Shida ya biashara za Wakinga !Dar lux sijui kilimkuta nn maana alishusha marcopolo G7 mpya akazipeleka had bukoba ila baada ya muda mfupi kapotea kweny raman sjui shda nn
Isamilo hapana asee gari ni Allys na dar express kuna mtu kapanda juzi baada ya kukosa ally's anasema wako vizuriAllys star
Tanzanite
Frester
Isamilo
Haha Azingatie ushauriApande ndege ya chini siyo![]()
Kuna ile imendikwa the pride of rombo nimeisahau jina
Ofisini kwao ni 50kNi tsh 55,000/ walimkatia tickets through online.. Nimezingua hapo kwenye zero moja
Hamna kitu pale nmepanda this year hakuna kitumwaka huu niliziona anapitisha
TilishoooooKuna ile imendikwa the pride of rombo nimeisahau jina
Hahaha
Pole mkuu, hope ulishapona na hujabakiwa na kovuDuuh..sikati siti za mbele tena..amana kilichonizuia na lile chuma pia gari haikua mwendo sana..ila niliumia mguu na mdomo ulipasuka kwa ndani..
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Polee mkuuDuuh..sikati siti za mbele tena..amana kilichonizuia na lile chuma pia gari haikua mwendo sana..ila niliumia mguu na mdomo ulipasuka kwa ndani..
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app