Mabasi mazuri kwenda Mwanza

Tilisho wako vizuri sana, kwanza wamewaondolea tabu wasafiri wa uelekeo huo maana wamesambaza ofisi kila kona ya Dsm hata wale waishio mbali na Mbezi/Shekilango hawapati shida.. Pia wana customer care nzuri kwa abiria.
The pride of rombo.
 
Back
Top Bottom