Mzee Shirimaa
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 1,539
- 3,440
Elfu 40 unalala pazuri kabisa una amshwa na breakfast nzitoo..! Na apartment piaHivi wakuu hotel ni bei gani huko jiji la miamba? Zile za hadhi ya kawaida? Nataka kufika huko December hii.
Elfu 40 unalala pazuri kabisa una amshwa na breakfast nzitoo..! Na apartment piaHivi wakuu hotel ni bei gani huko jiji la miamba? Zile za hadhi ya kawaida? Nataka kufika huko December hii.
Ok ahsante MzeeElfu 40 unalala pazuri kabisa una amshwa na breakfast nzitoo..! Na apartment pia
Aya BibiOk ahsante Mzee
😂😂 kibabu mwenye mvi zake😀Aya Bibi
Ungetaja na uwezo wako ili tujue tunakukalisha maeneo gani mpenziHivi wakuu hotel ni bei gani huko jiji la miamba? Zile za hadhi ya kawaida? Nataka kufika huko December hii.
Ndiyo maana nimesema ya kawaida ambayo mtu wa kawaida anaweza kuafford dearUngetaja na uwezo wako ili tujue tunakukalisha maeneo gani mpenzi
Ok Mitaa ya rockcity kumetulia sana nadhani kwa sasa ndo kitovu cha mjiNdiyo maana nimesema ya kawaida ambayo mtu wa kawaida anaweza kuafford dear
Ukija nitafute nikutembeze mitaa kila kona ya hili jiji mpaka uswahilini kwetu..Hivi wakuu hotel ni bei gani huko jiji la miamba? Zile za hadhi ya kawaida? Nataka kufika huko December hii.
Thank you mkuu, ntakucheki hakikaUkija nitafute nikutembeze mitaa kila kona ya hili jiji mpaka uswahilini kwetu..
Poa karibu..Thank you mkuu, ntakucheki hakika
Wewe tenaaa... mtaalam wa dead ballsElfu 40 unalala pazuri kabisa una amshwa na breakfast nzitoo..! Na apartment pia
Kafara linakungoja ...na zile tabia zako za kukaa dirishani
Haha acha mdomo we mwanamke.
Uje kunizika. Namba za bibi si unazo badoKafara linakungoja ...na zile tabia zako za kukaa dirishani
The pride of rombo.Tilisho wako vizuri sana, kwanza wamewaondolea tabu wasafiri wa uelekeo huo maana wamesambaza ofisi kila kona ya Dsm hata wale waishio mbali na Mbezi/Shekilango hawapati shida.. Pia wana customer care nzuri kwa abiria.
Annox maeneo ya Furahisha pako vzr unaamka unapata bufee la breakfast kwa elfu 30Hivi wakuu hotel ni bei gani huko jiji la miamba? Zile za hadhi ya kawaida? Nataka kufika huko December hii.
Buku 30 na breakfast juu, thank you mkuuAnnox maeneo ya Furahisha pako vzr unaamka unapata bufee la breakfast kwa elfu 30
Hamna gar humu atafika mwanza siku ya pilikureed hunter ya kipekee kuliko zote..