Mabasi mazuri kwenda Mwanza

Mabasi mazuri kwenda Mwanza

Panda happy nation Wana buss mpya nzuri sana.
Kuna jamaa yangu alitoka mwanza wiki mbili zilizopita alifika dar mapema sana. Saa tano na dakika 5 usiku.
Nauli Yake kidogo ipo juu 550,000/
Na hii ili upate ni lazima uweke booking one day before departure
Ukikosa hiyo panda ally's nayo iko vizuri.
Mmmh
 
Panda happy nation Wana buss mpya nzuri sana.
Kuna jamaa yangu alitoka mwanza wiki mbili zilizopita alifika dar mapema sana. Saa tano na dakika 5 usiku.
Nauli Yake kidogo ipo juu 550,000/
Na hii ili upate ni lazima uweke booking one day before departure
Ukikosa hiyo panda ally's nayo iko vizuri.
Mkuu hapo ni "0" umeongeza au ulikua unamanisha nini?
 
Panda happy nation Wana buss mpya nzuri sana.
Kuna jamaa yangu alitoka mwanza wiki mbili zilizopita alifika dar mapema sana. Saa tano na dakika 5 usiku.
Nauli Yake kidogo ipo juu 550,000/
Na hii ili upate ni lazima uweke booking one day before departure
Ukikosa hiyo panda ally's nayo iko vizuri.
Hilo basi litakuwa zuri sana,nauli zaidi ya ndege!!!!
 
Nilijua Ally's ndo yanaongoza lakini nimepanda Happy Nation baada ya kuchelewa booking ya Ally's sikujuta, kwa comfortability ni mazuri kushinda Ally's, muda yanawahi pengine pamoja au kishinda Ally's.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Hamna safari humo, hiyo gari ishanilaza njiani tumetoka Nyegezi saa saa mchana kuja Dar. Bus za uhakika kwa Mwanza kuja Dar ni Ally* au Tanzanite.
kawaida kutokea dharura ukizingatia ni kampuni mpya bado wana gari chache huwezi kufananisha na hao waarabu wazoefu ila siwapendi wako rafu mno barabarani..
 
Kampun ina gari moja alafu unaisifia? Et chukua dar lux gari yenyewe ni moja yaan uache kampuni kama allys , happy nation , zuber ukahangaike na kampuni yenye bus moja tena zaman
Hivi wamepatwa na nini Dar lux mbona walikua vizuri sana
 
Back
Top Bottom