Msafara wa rais magari yake yana service yakutosha halafu haliende umbali mrefuWewe hujawahi kuuona msafara wa raisi unavyokimbia,na wao washauri basi.
Chato to kigali ni karibu?Msafara wa rais magari yake yana service yakutosha halafu haliende umbali mrefu
[emoji15] [emoji15]Si ndio maana tumeagiza ndege zaidi, tusipominya huku kwenye mabasi kule tutapata hasara.
Kinachofuata mtalala kibaha mpaka wengi mje kupanda bombadier hehehehehe.
km 1200 unalalaje njiani,Lipo sawa tu.
Wanapunguza ajali, bora uteseke kwa kulala barabarani kuliko kwenda mwendo kasi na kuhatarisha maisha.
Hii ndio serikali ya JpmMwanza,Kigoma,Sumbawanga,Musoma,Bukoba yanalala morogoro Siku hizi
Ni sahihi,.Mwanza,Kigoma,Sumbawanga,Musoma,Bukoba yanalala morogoro Siku hizi
Ubungo 80's???!?? Hapakuwa na stand pale Ubungo terminal.Mkuu mimi nakumbuka miaka ya 80s mabasi yalikuwa yanatembea usiku, kwa mfano unachukua sleeping coach to mwanza unaondoka ubungo saa mbili ya usiku unalaalaa weee asubui uko nyegezi unaenda kweye mishe mishe unageuka usiku wake to dar unaingia ubungo saa mbili asubuhi unaenda kuoga halafu ofisini.
Siku hizi madereva ni 2Umefanya utafiti Ajali nyingi huwa zinatokea Mida gani? Mie naona good solution kampuni zingeweka hapo Morogoro Madereva wa kupokea safari
Bus la new force limepata ajali mchana kweupe ndiyo maana ikaitwa ajaliKipi kizuri, ulale morogoro kisha ufike salama kesho yake au uruhusiwe kusafiri usiku halafu uvamiwe na majambazi, au kupata ajali usiku, (kumbuka usiku ndio wakati gari za mizigo zinasafiri pia madereva wanakuwa wamechoka)
Lakini 4Zimeshuka sana kutoka shillingi ngapi ya awali na ya sasa?
Hizo zote jana zimelala MoroKisbo, Isamilo,dar lux,kisesa na kidia one ndio bus pekee zinazolala dar,nyingine zote zinalala Morogoro
ni kweli mkuu,miaka ya nyuma kidgo gari zilikuwa zinatembea sana na zilikuwa chache mfano kulikuwa na bus la hood na hekima dar kyela,tukuyu ilikuwa inaingia jion kweupe kabisa saa 11/12....Mwanza, Kagera, Kigoma, sawa... ila hiyo mikoa yako ya Tukuyu, Songea si sawa.
Niliwahi panda HOOD enzi zile Dar - Songea nilifika saa 12 jioni. Gari ilikua inapaa.
Mabasi yanayolala msamvu ni Yale ya Kigoma,mwanza, Zimbabwe, Malawi, sumbawanga n.k tukuyu na kyela hayalaliWanajamvi, imekuwa ni jambo la kawaida kwa mabasi kutoka Mwanza Tukuyu Songea Mwanza Kigoma kuzuiliwa Morogoro.
Pamoja na nia nzuri ya usalama lakini abiria wanateseka sana hasa ukizingatia kipindi hiki gharama za maisha Imekuwa juu.
Jana nilikuwa mhanga baada ya kukwama mji kasoro bahari nikitokea Mwanza.
Nadhani sasa wadau ni wakati muafaka wa kufuta safari za moja kwa moja kutoka katika hiyo mikoa ili abiria ajue kabisa kwamba atalala njiani.
Nawasilisha wakuu kwa mawazo yenu ju ya jambo hili.
Hata mm hyo ikinishangaza sanaMabus ya Mwanza hayalali Morogoro aisee