Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 37,959
Kama tunaongea KISWAHILI siyo tusi... Tatizo lako maneno ya kiswahili umeyaweka sijui KIHA...!!
Kama tunaongea KISWAHILI siyo tusi... Tatizo lako maneno ya kiswahili umeyaweka sijui KIHA...!!
vipi mwendo wa saa, nadhan ilikuwa dar -songeaBasi leo ngoja niwarudishe enzi za 1980's na 1990's wakati huo nchi ikiwa haijauzwa. Palikuwa na mabasi ya Layland CD wakati huo Scania ndo dili. Mnakumbuka Mabasi haya?
Igesa Line
Kwacha
Safina
Gold Line
Widambe
Mwaafrika
Makete
Siri Yako
Super Star
Railway
Kamata
Bin Klebo Bus Service
Kiswele
Sharuks
Air Msae
Air Chalinze
No Challenge
Air Shengena
Zainab
Scandnavia
Special Video Coach
Tawaqal
Comfort Video Coach
Living Light
Yarabi Salama
Safari Master
Big Mayai
Jupiter
Mbarak
Ruvuma Tours Line
Matema Beach Coach
Unakumbuka nini hapo?
Wifi, na buti la zungu, dar mtwara Haya hayakuwepo ?Basi leo ngoja niwarudishe enzi za 1980's na 1990's wakati huo nchi ikiwa haijauzwa. Palikuwa na mabasi ya Layland CD wakati huo Scania ndo dili. Mnakumbuka Mabasi haya?
Igesa Line
Kwacha
Safina
Gold Line
Widambe
Mwaafrika
Makete
Siri Yako
Super Star
Railway
Kamata
Bin Klebo Bus Service
Kiswele
Sharuks
Air Msae
Air Chalinze
No Challenge
Air Shengena
Zainab
Scandnavia
Special Video Coach
Tawaqal
Comfort Video Coach
Living Light
Yarabi Salama
Safari Master
Big Mayai
Jupiter
Mbarak
Ruvuma Tours Line
Matema Beach Coach
Unakumbuka nini hapo?
Kulikuwa na Tanganyika Bus pia makao makuu yake yakiwa Mwanza. Bus linaondoka Mwanza kila siku saa 10 jioni na jingine linaondoka Dar saa 10 hiyo hiyo. Kufika mwisho wa safari ni saa 10 jioni ya kesho yake; yaani baada ya saa 24. Ukiwa Mwanza abiria wanatangaziwa kwa king'ora (kama kwenye stesheni za treni) kwamba bus la kwenda Tabora, au Bukoba au Musoma, au Dar linapakia na litaondoka baada ya dakika kadhaa.Basi leo ngoja niwarudishe enzi za 1980's na 1990's wakati huo nchi ikiwa haijauzwa. Palikuwa na mabasi ya Layland CD wakati huo Scania ndo dili. Mnakumbuka Mabasi haya?
Igesa Line
Kwacha
Safina
Gold Line
Widambe
Mwaafrika
Makete
Siri Yako
Super Star
Railway
Kamata
Bin Klebo Bus Service
Kiswele
Sharuks
Air Msae
Air Chalinze
No Challenge
Air Shengena
Zainab
Scandnavia
Special Video Coach
Tawaqal
Comfort Video Coach
Living Light
Yarabi Salama
Safari Master
Big Mayai
Jupiter
Mbarak
Ruvuma Tours Line
Matema Beach Coach
Unakumbuka nini hapo?
Sio kwelu gari zile nyingi zilichoka tu au kupitwa na wakati huwezi linganisha na haya mabox ya kichina,sikuwahi sikia bus LA railway limepata ajali
Jina jipya la Sumry ni Mbeya Express mkuuHapo nakumbuka kuna basi moja la Safina lilipata ajali mbaya sana mto Karanga Moshi......sikumbuki lilikuwa linaenda wapi.....Hiyo Air Msae a.k.a Kilimanjaro Bus......nalo lilikuwa lina tabia ya kuchinja watu sana njia ya Arusha, Moshi, Dar.......Scandinavia bana lilivyoingia ulikuwa ukilipanda unaonekana upo matawi ya mbali sana......dah......mabasi mengi nadhani yamebadilishwa majina kutokana na utovu wa nidhamu.....tunasubiri jina jipya la Sumry


at I in Luxury!!!Unakumbuka kulikuwa na timu za mpira pale? Red Army, mkong'oto na baadaye Ruaha shooting? Kama ulikuwa mshabiki wa mpira ntakupa tipuMkuu kipindi hicho nakumbuka nilikua ipogolo full kuogelea darajani pale!!
Sent using Jamii Forums mobile app
magoma moto,,,,Basi leo ngoja niwarudishe enzi za 1980's na 1990's wakati huo nchi ikiwa haijauzwa. Palikuwa na mabasi ya Layland CD wakati huo Scania ndo dili. Mnakumbuka Mabasi haya?
Igesa Line
Kwacha
Safina
Gold Line
Widambe
Mwaafrika
Makete
Siri Yako
Super Star
Railway
Kamata
Bin Klebo Bus Service
Kiswele
Sharuks
Air Msae
Air Chalinze
No Challenge
Air Shengena
Zainab
Scandnavia
Special Video Coach
Tawaqal
Comfort Video Coach
Living Light
Yarabi Salama
Safari Master
Big Mayai
Jupiter
Mbarak
Ruvuma Tours Line
Matema Beach Coach
Unakumbuka nini hapo?
akili za wanawake wanazijua wenyewe,yuko tayari kumpa dereva penzi,kisa anaendesha gari zuri au anakimbiza sana gari,kweli mshauri wao ni kipofu...Igesa Line
Kwacha
Safina
Widambe
Makete
Haya mabasi wakati yanaanza kuwika nilikwepo Iringa miaka ya 1989. kabla ya hapo kulikuwa na yale mabasi ya zamani ya carrier juu, Yalipokuja haya ndo ilikuwa hizi new model za mizigo inakaa chini tukiyaita MKATE. we acha makonda na madereva wa hayo mabasi waliwatafuna mabinti kule Iringa, maana demu akipanda mle lilivyo tu achomoiiiiiii hahahahaha
Ningeshangaa lisingetajwa hili limfalme la njia ya Tabora - Kahama. Kuna siku tupo pale Kahama mjini mwaka 1985 akaja jamaa na baiskeli anajitapa nimeiovateki hindocha mwendakulima inakuja. Na kweli baada ya dakika kumi hindocha inaingia. Ngoja nikutafutie picha yake mkuu..