Mabasi haya mnayakumbuka?

Mabasi haya mnayakumbuka?

Basi leo ngoja niwarudishe enzi za 1980's na 1990's wakati huo nchi ikiwa haijauzwa. Palikuwa na mabasi ya Layland CD wakati huo Scania ndo dili. Mnakumbuka Mabasi haya?

Igesa Line
Kwacha
Safina
Gold Line
Widambe
Mwaafrika
Makete
Siri Yako
Super Star
Railway
Kamata
Bin Klebo Bus Service
Kiswele
Sharuks
Air Msae
Air Chalinze
No Challenge
Air Shengena
Zainab
Scandnavia
Special Video Coach
Tawaqal
Comfort Video Coach
Living Light
Yarabi Salama
Safari Master
Big Mayai
Jupiter
Mbarak
Ruvuma Tours Line
Matema Beach Coach

Unakumbuka nini hapo?
vipi mwendo wa saa, nadhan ilikuwa dar -songea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi leo ngoja niwarudishe enzi za 1980's na 1990's wakati huo nchi ikiwa haijauzwa. Palikuwa na mabasi ya Layland CD wakati huo Scania ndo dili. Mnakumbuka Mabasi haya?

Igesa Line
Kwacha
Safina
Gold Line
Widambe
Mwaafrika
Makete
Siri Yako
Super Star
Railway
Kamata
Bin Klebo Bus Service
Kiswele
Sharuks
Air Msae
Air Chalinze
No Challenge
Air Shengena
Zainab
Scandnavia
Special Video Coach
Tawaqal
Comfort Video Coach
Living Light
Yarabi Salama
Safari Master
Big Mayai
Jupiter
Mbarak
Ruvuma Tours Line
Matema Beach Coach

Unakumbuka nini hapo?
Wifi, na buti la zungu, dar mtwara Haya hayakuwepo ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi leo ngoja niwarudishe enzi za 1980's na 1990's wakati huo nchi ikiwa haijauzwa. Palikuwa na mabasi ya Layland CD wakati huo Scania ndo dili. Mnakumbuka Mabasi haya?

Igesa Line
Kwacha
Safina
Gold Line
Widambe
Mwaafrika
Makete
Siri Yako
Super Star
Railway
Kamata
Bin Klebo Bus Service
Kiswele
Sharuks
Air Msae
Air Chalinze
No Challenge
Air Shengena
Zainab
Scandnavia
Special Video Coach
Tawaqal
Comfort Video Coach
Living Light
Yarabi Salama
Safari Master
Big Mayai
Jupiter
Mbarak
Ruvuma Tours Line
Matema Beach Coach

Unakumbuka nini hapo?
Kulikuwa na Tanganyika Bus pia makao makuu yake yakiwa Mwanza. Bus linaondoka Mwanza kila siku saa 10 jioni na jingine linaondoka Dar saa 10 hiyo hiyo. Kufika mwisho wa safari ni saa 10 jioni ya kesho yake; yaani baada ya saa 24. Ukiwa Mwanza abiria wanatangaziwa kwa king'ora (kama kwenye stesheni za treni) kwamba bus la kwenda Tabora, au Bukoba au Musoma, au Dar linapakia na litaondoka baada ya dakika kadhaa.
 
Hapo nakumbuka kuna basi moja la Safina lilipata ajali mbaya sana mto Karanga Moshi......sikumbuki lilikuwa linaenda wapi.....Hiyo Air Msae a.k.a Kilimanjaro Bus......nalo lilikuwa lina tabia ya kuchinja watu sana njia ya Arusha, Moshi, Dar.......Scandinavia bana lilivyoingia ulikuwa ukilipanda unaonekana upo matawi ya mbali sana......dah......mabasi mengi nadhani yamebadilishwa majina kutokana na utovu wa nidhamu.....tunasubiri jina jipya la Sumry
Jina jipya la Sumry ni Mbeya Express mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Enzi hizo bus nyingi viti vilikua na sponge ndogo sana baadae walianza taratibu Ku upgrade viti na kuongeza nyama kwenye viti zikaanza itwa Coach na bei ikaongezeka!
at I in Luxury!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mbona Simba mtoto halipo,Acheni ubaguzi wenu Tanga moja ya mwisho.
 
Basi leo ngoja niwarudishe enzi za 1980's na 1990's wakati huo nchi ikiwa haijauzwa. Palikuwa na mabasi ya Layland CD wakati huo Scania ndo dili. Mnakumbuka Mabasi haya?

Igesa Line
Kwacha
Safina
Gold Line
Widambe
Mwaafrika
Makete
Siri Yako
Super Star
Railway
Kamata
Bin Klebo Bus Service
Kiswele
Sharuks
Air Msae
Air Chalinze
No Challenge
Air Shengena
Zainab
Scandnavia
Special Video Coach
Tawaqal
Comfort Video Coach
Living Light
Yarabi Salama
Safari Master
Big Mayai
Jupiter
Mbarak
Ruvuma Tours Line
Matema Beach Coach

Unakumbuka nini hapo?
magoma moto,,,,
 
zafanana nakumbuka msiba wa sokoine ulitukuta tukiwa njiani chalinze to dar na mama japo nilikuwa mdogo lakin niliona namna watu walivyohudhunika baada ya kupata zile habar
 
Igesa Line
Kwacha
Safina
Widambe
Makete

Haya mabasi wakati yanaanza kuwika nilikwepo Iringa miaka ya 1989. kabla ya hapo kulikuwa na yale mabasi ya zamani ya carrier juu, Yalipokuja haya ndo ilikuwa hizi new model za mizigo inakaa chini tukiyaita MKATE. we acha makonda na madereva wa hayo mabasi waliwatafuna mabinti kule Iringa, maana demu akipanda mle lilivyo tu achomoiiiiiii hahahahaha
akili za wanawake wanazijua wenyewe,yuko tayari kumpa dereva penzi,kisa anaendesha gari zuri au anakimbiza sana gari,kweli mshauri wao ni kipofu...
 
Kulikuwa na Lushanga Dar - Geita. Dereva umkute Majeshi ambaye ni mtoto wa tajiri. Mashine Ilikuwa inatembea si mchezo. Super Najmunisa ikiendeshwa na mzee Ngonyani inaondoka Kahama saa 12 asubuhi na Lushanga ikiendeshwa na Majeshi inaondoka Geita saa 12 asubuhi. Lakini kabla ya kufika Manyoni zinaongozana..
 
Back
Top Bottom