Mabasi haya mnayakumbuka?

Mabasi haya mnayakumbuka?

Hilo na 6 Ni Tusi kubwa mno kwa watu wa kigoma usiitaje tena

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kweli utakuwa wa Songea... Hayi Mabasi yalifanya vema sana kwa Safari za Dar - Songea, na Dar-Iringa ndio ilikuwa Kwacha
Kwacha, Dar - Iringa
Bin Kleb
Kiswele
Turbo Express
Special Sleeping Coach
Tawaqal
Likungu Line
Ruvuma Line (ya kina Mohamed Mfyule na Sadi Investment, Waliingia huko baada ya kutamba sana na Toto Coach na Sadi Inv.)
Sumry
Mail Coach (lilikuwa la Posta)
Scandinavia
Metro coach
Zainab na
Sabco
Baadaye ndio yakaingia sasa;
Shabiby Line
Ottawa na
New Force


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi leo ngoja niwarudishe enzi za 1980's na 1990's wakati huo nchi ikiwa haijauzwa. Palikuwa na mabasi ya Layland CD wakati huo Scania ndo dili. Mnakumbuka Mabasi haya?

Igesa Line
Kwacha
Safina
Gold Line
Widambe
Mwaafrika
Makete
Siri Yako
Super Star
Railway
Kamata
Bin Klebo Bus Service
Kiswele
Sharuks
Air Msae
Air Chalinze
No Challenge
Air Shengena
Zainab
Scandnavia
Special Video Coach
Tawaqal
Comfort Video Coach
Living Light
Yarabi Salama
Safari Master
Big Mayai
Jupiter
Mbarak
Ruvuma Tours Line
Matema Beach Coach

Unakumbuka nini hapo?

Kuna kitu kiliitwa Tanganyika Bus na Trans African Roadways!!!! Gari zilikuwa za Wahindi Singa Singa wa Mwanza zilitamba Sana, Tanganyika bus ilifikia wakajimilikisha stendi kuu ya Mwanza, Maana gari zao tu zilitosha kujaza stendi!!! Mamaae wahindi wamekula neeema nyingi sana za nchi hii!!!!
 
Upo hapo
IMG-20190111-WA0012.jpeg
tapatalk_1490569682830.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi leo ngoja niwarudishe enzi za 1980's na 1990's wakati huo nchi ikiwa haijauzwa. Palikuwa na mabasi ya Layland CD wakati huo Scania ndo dili. Mnakumbuka Mabasi haya?

Igesa Line
Kwacha
Safina
Gold Line
Widambe
Mwaafrika
Makete
Siri Yako
Super Star
Railway
Kamata
Bin Klebo Bus Service
Kiswele
Sharuks
Air Msae
Air Chalinze
No Challenge
Air Shengena
Zainab
Scandnavia
Special Video Coach
Tawaqal
Comfort Video Coach
Living Light
Yarabi Salama
Safari Master
Big Mayai
Jupiter
Mbarak
Ruvuma Tours Line
Matema Beach Coach

Unakumbuka nini hapo?
New Arusha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi leo ngoja niwarudishe enzi za 1980's na 1990's wakati huo nchi ikiwa haijauzwa. Palikuwa na mabasi ya Layland CD wakati huo Scania ndo dili. Mnakumbuka Mabasi haya?

Igesa Line
Kwacha
Safina
Gold Line
Widambe
Mwaafrika
Makete
Siri Yako
Super Star
Railway
Kamata
Bin Klebo Bus Service
Kiswele
Sharuks
Air Msae
Air Chalinze
No Challenge
Air Shengena
Zainab
Scandnavia
Special Video Coach
Tawaqal
Comfort Video Coach
Living Light
Yarabi Salama
Safari Master
Big Mayai
Jupiter
Mbarak
Ruvuma Tours Line
Matema Beach Coach

Unakumbuka nini hapo?
....Ndege Mnana - Handeni
Mbaruku - Korogwe, Lushoto
 
Enzi hizo kwa sisi washambaa ilikuwa ni kawaida kupanda Simba mtoto, Satellite, Zamoyoni, Zafanana, Shengena; Dah! ila tumetoka mbali!
 
Back
Top Bottom