GreatSeal
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,773
- 3,061
Lizaboni home.... kwenda stendi kuvuka mwembechai ilikuwaga mtihani na wale waosh magari enzi hizo... yale madraja mawiliUmenikumbusha madereva wa Songea Dar enzi hixo Tawaqal unamkuta Giriki, Kiswele unawakuta Yogi, Okalla na Rwambo, Zainabs unamkuta Shida na Special coach unamkuta John Africa na Mapunda......dah ilikuwa ni moto chini!
Halfu MATIMBULA BUS SERVICE to Peramiho.... Halfu kulikuwa na LITUNU to MagaguraUmenikumbusha madereva wa Songea Dar enzi hixo Tawaqal unamkuta Giriki, Kiswele unawakuta Yogi, Okalla na Rwambo, Zainabs unamkuta Shida na Special coach unamkuta John Africa na Mapunda......dah ilikuwa ni moto chini!
Titico from SOngea to MbambabayTitico😅
Bunda express,.hivi budget za njombe bado zipo kweli daah!!!
Imani za kishirikina zilitamalakiHivi ni lazima wamiliki wa mabus kwa nje waonekane choka mbaya?? Kuna mmoja namfahamu tajiri wa lindi ana mabus meengi ya dar,lindi na mtwara lakini ajabu kwa kutembea kavaa katambili na kushinda kavaa misuli sio ajabu na ndio kawaida kwake..
Na mistari mistari yake ya NJANO na NYEKUNDUWrite your reply...Umesahau Kiswele DAR SONGEA
Yuting au MACOPOLO?yutong,
Igesa Line, Kwacha, Scandnavia na Comfort Video Coach
Hayo niliyowekea red yalikuwa ndo mabasi yangu ya DAR- Iringa. Hiyo ya kwenye bluu yalikuwa mabasi maarufu sana kati ya Dodoma/Mpwapwa na Dar bila kuwasahau Champion.
Yalikua Ma Bus mzuri Sana AyseNakumbuka Tanganyika Bus pale Mza stendi, askari Carloli alipaweza sana.
Wachanga Mungu awasaidie Sana, maana sio kabisasafina ilikuwa inatokea Nairobi kuja Moshi mjini via namanga watu walitajirika kwa kukwapua marehemu hapo mto karanga
1. KWACHA nimekumbuka warrant kwenda shule
2. Mwafrika nimekumbuka safari yangu ya kwanza kusafiri peke yangu
3. Railway nimekumbuka safari ya kishule toka Iringa kwenda Mazengo Dodoma
4. Kamata nimesafiri nayo sana toka Songea kwenda Dar
5. Binkleb Bus Service (BBS), Safari zangu za Songea Dar
6. Kiswele Songea Dar na wakiingia SOngea ile mihoni ya kushindana kati ya Kiswele na Zainabs
7. Scandinavia SOngea Dar, Dar Mbeya
8. Tawaqal Safari za Songea Dar, Iringa
9. Special Coach... Safari za Songea Dar
10. Ruvuma Line hata hakudumu wallah... alilipeleka basi kwa PARADISO kutambika lakini wapiii
Hekima kafia kwenye 2011 mkuu huyo sio wa zamani nimepanda sana hizo basi.Lupelo
Hekima
Tatfif
Umewaacha mkuu
Iringa to mtela hilo nayakumbuka sana kipindi nasoma mwembetogwa yalikuwa na mlio wake amaizing ivi
Hii ngoma ilivuma sana. Was the best and most expensive Dar - Arusha route.Fresh ya Shamba