SIMBA mtoto
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 204
- 100
MASAMA Clif
Pia kulikuwa na Asante Polepole, Amini Mungu Safarini, United, Musoma Bus,
Mkuu,Mengineyo: Mzalendo Bus Service, Sahib Bus Service (KAMUJINGIJINGI 1986-1992), Nyuki Bus Service,Bazzu Bus Service (WASHAWASHA CHINI YA MTI), Sulemani Bus Service, Yarab Salaama Bus Service; Haya yote yalikuwa maCD Leyland isipokuwa yale ya Sahib (KAMUJINGIJINGI) yalikuwa na Mix ya Scania 82.
kweli nyanda!nimesahau bus la muhimu sana.Mbona Trans Africa hujalitaja nyanda?
Bazuu !!!
Hapa kwenye AMTICO umenikumbusha mbali sana enzi zaTtbs, kibo, amtico, moretco
Usisahau kuna lile lilikuwa likiitwa Embakassy, dereva wake walikuwa wakimuita Fea sijui!. Yaanai kitu kama hicho, lilikuwa likiogopewa njia nzima Korogwe/Tanga.Hapa kwenye AMTICO umenikumbusha mbali sana enzi za
NDEGE MNANA
ZAFANANA
MARAHA
KIDATO
SIMBA MTOTO