Hoja ipo mkuu labda kama huioni, mfano ofisi gani pale zanzibar ambayo mteuliwa ametoka bara na anaonekana kabisa huyu Mheshimiwa Rais kamtoa huko Itegambwike au Butata huko na kutokana na weledi wake anaweza kushika nafasi hiyo kwenye SMZ.
umeshasema SMZ, hiyo ni kwa ajili ya Zanzibar tu, watangnyika acheni kujimilikisha Utanzania.