IFUNYA
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 363
- 130
ZRA ndio kitu gani?
ZRA ni Zanzibar Revenue Authority kwa kiswahili ni Mamlaka ya Mapato Zanzibar
ZRA ndio kitu gani?
Kwa nini kumtusi hivi?Yafungulie kesi matttakoo yako
Ametukosea sana, huko aliko atuombe msamaha.Hakuwaza kuna Kizazi kitakuja kuhoji .
😄😄😂😂🔥 Haya!ZRA ni Zanzibar Revenue Authority kwa kiswahili ni Mamlaka ya Mapato Zanzibar
😆😆😆😆Unelewa vizuri sana sema umeamua kujitia ujinga.
Zanzibar wana Bandari zao kwaajili ya Wazanzibari.
Zanzibar wana Mamlaka yao ya kodi kwaajili ya Wazanzibari.
TPA & TRA ni kwaajili ya watanganyika kutuletea Wazanzibari huko ni kuwadharau watanganyika million 61.
Kwakuwa hakuna mtanganyika ZPA & ZRA ni ujinga wa kiwango cha SGR kutuletea Wazanzibari kuongoza taasisi ambazo zipo Tanganyika.
Sasa imekuwa ni njaa na sio kubaguliwa Watanganyika kwenye ajira? Nimesema tukinyamaza sio kwamba hatuwezi kusema ni ustaarabu tu tulionao. Usimpe bubu kusema.Njaa tu itawaua kule hakuna kitu. Mishahara ya watumishi wa Zanzibar inaashiria hivyo
Watanganyika mna wanyanyasa Sana wazanzibari..Washauri wa Rais wameshindwa kujua Bandari na TRA ambazo ndio roho za Tanganyika hazipo kwenye Muungano au ni amri kutoka juu kwa ajili ya ujio wa DPW
ZPA - ZANZIBAR PORT AUTHORITY
TPA - TANZANIA PORT AUTHORITY
ZRA- ZANZIBAR REVENUE AUTHORITY
TRA - TANZANIA REVENUE AUTHORITY
Basi, imetosha sasa. Msiendelee kufukua makaburi.Syo huyo tu hata Mkurugenzi wa kinondoni Hanifa hamza ni mzanzibari na binamu yake samia
Labda nianze na wewe Mkuu kwa swali: Watanganyika wapo au hawapo?Waulize hao wanaojiita watanganyika wametokea wapi
Asante sana. Laiti watawala wangeuchukua alau huo ushauri mmoja tu...
Ndiyo kusema Zanzibar ni nchi huru, lakini Tanganyika ipo kwenye mabano hiv
Kwenye Ramani ya Dunia hakuna nchi inaitwa Tanganyika.Ndiyo kusema Zanzibar ni nchi huru, lakini Tanganyika ipo kwenye mabano hivi!!!
Haya mambo Samia na dk Mwinyi wameyakuta. Wakati muungano unasainiwa kipindi hicho wao walikuwa watoto wadogo wakisoma shule ya msingi au pengine secondari.Huu muungano gani unaotoa haki ya upande mmoja tu.
Wazanzibari chao ni chao tu ila vya tanganyika ni vya wote.
Wizara hata zisizo za muungano wazanzibari wamejazwa humo.
Hakuna mtanganyika hata mmoja anayeruhusiwa kumiliki kipande cha ardhi huko Zenj, wazenj wanawapangia bajeti watanganyika, mbaya zaidi wazenj wanawaamulia mambo makubwa watanganyika huko bungeni na nje ya bunge. Rejea bandari.
AndamanaKwa nini kumtusi hivi?
Kila mmoja ana haki ya kutoa maoni
Tanganyika ni sasa
Ha ha ha.... Naona majini yameshakupanda.....Wagalatia kazi mnayo wapuuz nyie
Haya mambo Samia na dk Mwanyi wameyakuta. Wakati muungano unasainiwa kipindi hicho wao walikuwa watoto wakisoma shuke ya msingi au pengine secondari.Huu muungano gani unaotoa haki ya upande mmoja tu.
Wazanzibari chao ni chao tu ila vya tanganyika ni vya wote.
Wizara hata zisizo za muungano wazanzibari wamejazwa humo.
Hakuna mtanganyika hata mmoja anayeruhusiwa kumiliki kipande cha ardhi huko Zenj, wazenj wanawapangia bajeti watanganyika, mbaya zaidi wazenj wanawaamulia mambo makubwa watanganyika huko bungeni na nje ya bunge. Rejea bandari.
Hapo ndipo penye mjadara sasa and not otherwise.Hilo la mtu wa bara kuteuliwa kufanya kazi Zanzibar haliwezi kutokea kwa sababu ofisi za Zanzibar siyo za muungano. Wazanzibari wanateuliwa kufanya kazi Tanzania bara kwa sababu ofisi za Tanzania bara kuanzia ikulu, mahakama, Baraza la mawaziri,bunge na majeshi yote ni ya muungano.
Ilikuwepo kwenye ramani ya mwaka 1963. Tunataka iwepo kwenye ramani ya sasa.Kwenye Ramani ya Dunia hakuna nchi inaitwa Tanganyika.
Hakuna rais wa Tanganyika, bunge la Tanganyika, mahakama ya Tanganyika Wala jeshi la Tanganyika.
Hivyo vyote vilikuwa vya Tanganyika kabla ya muungano baada ya muungano Tanganyika na kila ilichokuwa nacho vilizikwa kwa ajili ya maslahi ya muungano.
Nyerere alosema 1 + 1 = 2 na jibi haliwezi kuwa 3.