BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,009
HA ha ha ha ha BAK bana acha mambo zako kilemba kinazingua watu.......................
Eti eeh! Hahahahahahahaha kimefungwa kwa style ya aina yake. Njemba zikiona kilemba hicho basi zinaanza kujigonga gonga LOL! Mie namzimikia DA nataka kumuanzishia sredi...mara Ooh! Sijamuona DA hapa jamvini kitambo sasa hivyo sili wala silali mradi waiweke roho ya DA juu juu LOL!