Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
Jamani nawasalimu wapendwa wote wa MMU.
Nimekaa na kujiuliza mbona thread kuhusu mimi zimekuwa nyingi mno???
Hii inanipa wasiwasi nawaombeni mni-PM kuliko kunianzishia thread kila kukicha wajameni tafadhali. Imekuwa kila siku mara namzimia DA, namposa DA, naanzisha mchango wa laptop kwa DA heee kwanini mimi kila siku bana.
I better stay away for a while angalau nipumzike this is too much bana kha!!!!.
Regards
DA
Nimekaa na kujiuliza mbona thread kuhusu mimi zimekuwa nyingi mno???
Hii inanipa wasiwasi nawaombeni mni-PM kuliko kunianzishia thread kila kukicha wajameni tafadhali. Imekuwa kila siku mara namzimia DA, namposa DA, naanzisha mchango wa laptop kwa DA heee kwanini mimi kila siku bana.
I better stay away for a while angalau nipumzike this is too much bana kha!!!!.
Regards
DA