Watanzania watu wa ajaibu sana nasema kila siku
Mwizi na mkwepa kodi ametoroka mikononi mwa Polisi
Wataalmu wa Teknohama walifianikisha ukwepaji kodi na wizi
Hizi CCTV zinakuwa operated na wanadamu. Bado kwa akili zetu mbovu kabisa tunaamini hilo ni suluhisho
Wala serikali haihitaji kamaera hata moja. System au mfumo ukiwa mzuri wezi watajulikana tu kuanzia kontena linapakiwa hadi linatoka. Yaani kuna tracking sysytem ambayo hatua moja ikienda hovyo zingine hazifaninikiwi
Hizi ni dalili za kukosa maarifa na akusihiwa na pumzi. Mwizi ametoroka chini ya ulinzi, eti kamera iliyo ning'inia itaweza !
#Hapakazi #Hapakurupuka
Nyani Ngabu The Boss