Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,919
- 7,770
Koma we! Magufuli siyo Mungu. Ushidwe na ulegee!Kwa magufuli kila goti litapigwa Tanzania imepata bonge la kiongozi.
Koma we! Magufuli siyo Mungu. Ushidwe na ulegee!Kwa magufuli kila goti litapigwa Tanzania imepata bonge la kiongozi.
Si kweli babake!!!!Kufuru ya ajabu kabisa hii!
Kwani wapi kasema @Magufuli ni mungu?Koma we! Magufuli siyo Mungu. Ushidwe na ulegee!
Hizo camera zitakazoona ngada kwani inapitishwa kwenye sinia au sahani?
Hiyo ni dhihaka kwa Mungu. don't entertain such comments!Tengeni Na siku yake maalum kwa ajili kumwabudu Na kumpa sifa maana anafanya makubwa
Naomba kuuliza kama huko mitaani bado wala unga wanaendelea kuupata kirahisi. Kama bado basi serikali imepigwa chenga na hawa watu.
hilo duka la wauza unga bandari lipo geti namba ngapi...
Usijiondoe ufahamu mpendwa. Mwanadamu hapigiwi magoti. Kutumia rejea za maandiko matakatifu visivyo sahihi ni kufuru!Kwani wapi kasema @Magufuli ni mungu?
Acha kufuru.....Kwa magufuli kila goti litapigwa Tanzania imepata bonge la kiongozi.
Unga umekuwa ukiingizwa Tanzania tangia miaka ya 90 Tanzania ni kama transit tu,mzigo ukiingia baadhi ya mzigo watu wana distribute kwenda southern Africa na ulayaani ufinyu wa kufikiri tu ndiwo unaoweza kumfanya mtu ashindwe kuona kuwa huu ni mchezo wa kuigiza tu kama mingine ambayo serikali ya CCM imekuwa ikiifanya miaka nenda rudi kuhusu tatizo hili.
drugs hazipitishiwagi bandarini - serikali na vyombo vyake vinalijua hili kiukamilifu. pale airport CCTV zipo but vitu vinapita pale pale kama mafuriko ya El Nino.
swali la msingi.....ina maana kweli kabisa serikali imeshindwa ku-trace tatizo hili bottom-up, i.e kwa kuwatumia watumiaji wa hizi drugs? hili halihitaji diploma ya chuo, achilia mbali digrii.
Hata China kwenye sheria kali bado madawa yanaingia, Asante Magufuli kwa kuonyesha utubu uthubutu
Pamoja na umakini huo unaosema bado madawa ya kulevya yanaingia. Hivyo huu ni mwanzo mzuri kwa Tanzania pia kupunguza uingizwaji wa dawa hizi haramu. Na haina maana kama ni China tu imeweza basi kusiwepo efforts za Tanzania kuzuia maafa yasitokee utakuwa ni ujuha
Naomba kuuliza kama huko mitaani bado wala unga wanaendelea kuupata kirahisi. Kama bado basi serikali imepigwa chenga na hawa watu.
China pekee ndiyo Nchi iliyomakini katika hayo masuala ya kushughulikia wauza ngada.. kibongo bongo itakuwa sinema mpya
Unga
Unga umekuwa ukiingizwa Tanzania tangia miaka ya 90 Tanzania ni kama transit tu,mzigo ukiingia baadhi ya mzigo watu wana distribute kwenda southern Africa na ulayaa
Unga unaingizwa Sana kwa njiaa ya maboti ambao huletwa na wapakistan na wairan
Hizo camera zitakazoona ngada kwani inapitishwa kwenye sinia au sahani?
Yaani watanzania kama wewe ni wanafki kweli, mmekaa kusifia sifia ovyo,kujipendekeza pendekeza hovyo! UKufuru za kijinga hizi. We hujui kua kwenye Viwanja vya ndege CCTV Zipo na Madawa yanapotea tu?Kwa magufuli kila goti litapigwa Tanzania imepata bonge la kiongozi.
Unapingana na ukweli?Kufuru ya ajabu kabisa hii!
Watu kama wewe ni wanafki sana! Yaani imekaa kusifia sifia ovyo tu,kujipendekeza ovyo! We hujui kua kwenye Viwanja vya ndege CCTV zipo kitambo na Madawa yanapita? Badala ya kusema tumpe muda na tumuombee amudu kazi yake vizuri wewe unaleta uvivu wako wa kujipendekeza ovyo.Kwa magufuli kila goti litapigwa Tanzania imepata bonge la kiongozi.
Zamani watu walikuwa wanaenda kwa madevu kubeba unga kwa njia ya kumeza unga na kuuleta nchini ambapo mtu mmoja anameza kg1 au 2tu-assume uko sahihi na usemi wako "njiaa ya maboti".
sasa hizi boti zinashusha mzigo kupitia bandarini? au CCTV ziwekwa kwenye coastline yote Mtwara to Tanga???