Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,643
Mashetani utawajua tu mtaisoma tu mwaka .....kwa magufuli kila goti litapigwa tu.Koma we! Magufuli siyo Mungu. Ushidwe na ulegee!
Mashetani utawajua tu mtaisoma tu mwaka .....kwa magufuli kila goti litapigwa tu.Koma we! Magufuli siyo Mungu. Ushidwe na ulegee!
We kiazi tulia dawa iingie mlizoea kufanya ufisadi na lile zee lenu la ufisadi poleni,kwa magufuli kila goti litapigwa.Watu kama wewe ni wanafki sana! Yaani imekaa kusifia sifia ovyo tu,kujipendekeza ovyo! We hujui kua kwenye Viwanja vya ndege CCTV zipo kitambo na Madawa yanapita? Badala ya kusema tumpe muda na tumuombee amudu kazi yake vizuri wewe unaleta uvivu wako wa kujipendekeza ovyo.
Pamoja na umakini huo unaosema bado madawa ya kulevya yanaingia. Hivyo huu ni mwanzo mzuri kwa Tanzania pia kupunguza uingizwaji wa dawa hizi haramu. Na haina maana kama ni China tu imeweza basi kusiwepo efforts za Tanzania kuzuia maafa yasitokee utakuwa ni ujuha
wewe ndo utapigaMashetani utawajua tu mtaisoma tu mwaka .....kwa magufuli kila goti litapigwa tu.
Kwa magufuli kila goti litapigwa Tanzania imepata bonge la kiongozi.
Ujinga ni pamoja kumpa Uungu binadamu.
Na inasemwasemwa huku mtaani kuwa sasa yanaandaliwa humu humu nchini!!Madawa hayapiti bandarini
We ni lazima uwe na matatizo. Wengine hatunw shida na anachofanya JPJM; Honestly tuache ushabiki hatafikia mahali pa kupigiwa magoti. Watakaofanya hivyo ni wale wenye nidhamu ya woga maana ha MUNGU anapigiwa magoti kwa heshima na upendo, siyo woga. MUNGU pekee anastahili heshima na utukufu wa jinsi hiyo. Nafikiri utakuwa umeelewa!Mashetani utawajua tu mtaisoma tu mwaka .....kwa magufuli kila goti litapigwa tu.
Vp Kikwete hakuwa kiongozi .............................. ????Kwa magufuli kila goti litapigwa Tanzania imepata bonge la kiongozi.
Kwa magufuli kila goti litapigwa Tanzania imepata bonge la kiongozi.