Mpumbavu sana wewe!Kwa magufuli kila goti litapigwa Tanzania imepata bonge la kiongozi.
akiniChina pekee ndiyo Nchi iliyomakini katika hayo masuala ya kushughulikia wauza ngada.. kibongo bongo itakuwa sinema mpya
Sote tuungane kumpongeza Lowasa kama si yeye hii Lulu inaitwa MagufuriKwa magufuli kila goti litapigwa Tanzania imepata bonge la kiongozi.
AstaghafurKwa magufuli kila goti litapigwa Tanzania imepata bonge la kiongozi.
Airports kuna CCTV kila mahali na bado Mizigo ya Abiriwa inafunguliwa na Kuibiwa, Madawa ya Kulevya yanapita kila siku!!Hizo cctv zinachezwa na contena zitapigwa bao
cdhan kma kufanya ivyo kutaepusha upitishaji wa mali zisizo halali ila muhimu ni uwajibikaji wa hali ya juu kwa viongozi na watumish wote wa bandar muhimu sana ni uwaminifu tuu
Kwa magufuli kila goti litapigwa Tanzania imepata bonge la kiongozi.
Halafu kwa taaarifa za uhakika nilizonazo kutoka vyanzo vya uhakika ni kwamba...!