Godlisten Masawe
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 738
- 283
Well said M/KitiHujaenda na wakati swety Lady,
Chadema wakisusia kuangalia TBC ni credit kwa ITV, star tv etc. TBC itakosa biashara kwa sababu wateja watapungua.
Pili, King cobra wa Zambia aliomba TV ya Isiseme cho chote kuhusu mikutano yake wakati anagombea. Wao wakagoma na kuendelea kumchafua. Leo ni Rais wa Zambia. Vigogo wengine walijiuzulu bila kufukuzwa baada ya Rais mpya kuingia. Je, walijua hilo? TBC lazima wasome alama za nyakati.