Mimi ni shabiki mkubwa wa cdm na nakusudia kupata kadi yangu siku za karibuni. Pamoja na ushabiki wangu naona kama maazimio ya kamat kuu yamejaa jazba na wrong framing ya maneno. Kwa mfano Msajili wa vyama hawezi kuomba msamaha ila radhi. nk. Halafu Msajili anapata nguvu kutokana na sheria zinazomlinda. Kwa hiyo tatizo si Teendwa bali ni sheria zilizopo. You appeal against the law not Teendwa.
wewe tulia kama upo mtungini unaogopa kunyolewa, hiyo ndio M4C, mwambie atayalishe wale vijana wake wa fujo na awanunulie viroba vya konyagihapo kwenye red, Hizi ni siasa za chuki,visasi na kulipizana visasi ndio mana mkishindwa mnaamua kuuwa
Zitto alikuwepo kenye kamati kuu?au ni yaleyale?
ivi wadau zitto kabwe yupo wapi ama yeye sio member wa kamati kuu?? binafsi mie ni mshabiki mkubwa wa zitto ila mienendo yake inashangaza kweli...marafiki zake mshaurini kijana huyu asipoteee kabisa
The same old story.
Ninawaasa wananchi masikini kutokuwa mbele kwenye hayo maandamano ili na wao viongozi wapeleke misiba kwenye nyumba zao. Iweje wajiite wapigania ukombozi lakini wanaouwawa na kujeruhiwa ni masikini tu na sio wao viongozi?
Tena hawajui walitendalo CCM, Policcm, TendaCCM watakuja kujua tu! 2015 siyo mbali"Hawajui walitendalo"