tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,133
- 282
The same old story.
Ninawaasa wananchi masikini kutokuwa mbele kwenye hayo maandamano ili na wao viongozi wapeleke misiba kwenye nyumba zao. Iweje wajiite wapigania ukombozi lakini wanaouwawa na kujeruhiwa ni masikini tu na sio wao viongozi?
Wanaopaswa kujibu swali hilo ni wauwaji na siyo viongozi wa CHADEMA