Maazimio ya Kamati Kuu ya CHADEMA Sept 10, 2012

Maazimio ya Kamati Kuu ya CHADEMA Sept 10, 2012

Umeshau Mkuu kumalizia " Kidumu Chama Cha Mapinduzi" asanteni halafu ndo ukae!

Kwetu sisi Demokrasia ni Kuvumilia uozo na kuogopa kufanya maamuzi magumu

afadhali huyu f.ala kaona kuwa cdm wanafukuza watendaji wabovu ila ccm wanatunza wezi,mafisadi,wanaogopana,
 
mimi nawapongeza kwa maaamuzi mazito je hatma ya mwanza ikoje ....coz kuna rumours naziskia kwamba kuna watu ambao wameletwa mwanza kama 100 kwa minajili ya viongozi wa juu katika chama yaani mapandikizi na wamepangwa ili waje wagombee nafasi mbalimbali na watu hao wametoka mkoa 1, kanda fulani......mwenye ukweli kuhusu hili hatujze kwani tunataka chama imara na cha kutetea maslahi ya watanzania wote bila kuweka matabaka ya kidini,kikabila wala rangi.........plz sio ugomvi bali ni kuwekana sawa
 
mi kwangu hata mtoto wangu wa darasa saba huwa akiniambia hi TBC haina vipindi vya vizuri vya kutazama vingi huwa ni vya kurudiarudia mpaka mwaka mzima na zaidi. kwa ujumla TBC haina watazamaji na huu wito wa kuisusia ndio kabisa inajimaliza kufa haiwezi kwa sababu inatumia pesa yetu ya kodi.
 
TBC pumbavu kabisa wanajiona kama redio Uhuru sasa tunasusa tuone kama hawajarudi enzi za RTD na TVT, ndio watajua nguvu ya umma
 
viongoz makin maamuzi magumu mda sahihi!..................
 
Maamuzi makini,kutoka kwa watu makini,waliopo kwenye chama makini. Utaki unaacha.

Ila nahisi walisahau na lile tawi la ccm aka Clouds media...hawa nao ni full propaganda from magamba
 
Tatizo la watanzania kwa sasa ni siasa tena za kulalia upande mmoja. watu wanapenda kusikia kile wanachokipenda hata kama kina kasoro za wazi.kwa Kamati kuu ya chadema ingefanya evaluation kwa kujiangalia yenyewe pia baada ya mauaji kadhaa ambayo binafi naamini without M4C yasingetokea. nadhani imani ya waliyoweza kuiwin kwa wananchi wangeitumia kumobilize watu katika shughuli za maendeleo kwa mfano ujenzi wa shule, zahanati, kilimo tena kwa kutumia fedha wanazowachangisha wananchi na siyo kupiga blah.., blah.. ambazo hazitusaidii sana kwa sasa.mbinu hii aliitumia mwalimu kipindi kile cha ujamaa na ililileta mafanikio makubwa kisiasa na kijamii. jamani tuweke uzalendo kwanza siasa zifuate baadae...., otherwise hatutofika. kila siku tutakua tunadai mabadiliko ambayo ndani yake hayana msingi.
 
Back
Top Bottom