Maaskovu Vs. Makamba na mgongano wa Arusha

Maaskovu Vs. Makamba na mgongano wa Arusha

Makamba amesema yeye kama Mwislamu hatakiwi kuwa na uelewa wa undani ktk Quran kwa sababu yeye sio shekh!!!
Quran ililetwa kwa mashekh tu??
Maskini wee hata dini yake haielewi.
 
Ccm hatukuichagua thhs time so siyo mamlaka iliyowekwa na mungu hata kidogo.
 
Haka kazee bana, kana mt*** wa ubongo. Kama tungekuwa tunatii kila mamlaka kwa assumption kwa zinatoka kwa Mungu hadi leo hii tungekuwa tunatawaliwa na wakoloni na pengine dunia ingekuwa tupu maana watawala dhalimu wote wangeendelea kutawala wao na vizazi vyao na kuendeleza u-tyranny wao.. ikiwemo mambo ya mauaji na dhulma zingine.
 
Ukiwa unafikiri kwa tafakuri huru utagundua Makamba ni vuvuzela,na kama ukishagundua hayo basi huna haja ya kuendelea kuumiza kichwa!!
 
Mmmh kweli ccm kuna udini, lakin si tulisema serikali haina dini yote haya yanatoka wap? Makamba hajielew
 
Alimtaka Laizer kutoa tafsiri ya kitabu cha Warumi 13 sehemu ya kwanza hadi ya saba, inayosema kuwa kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu.
Alisema kwa hiyo anayepinga mamlaka inayotawala anapinga chombo kilichowekwa na Mungu na watu wanaoasi hujiletea hukumu.

" Kwa maana watawala hawatishi watu wanaotenda mema bali wale wanaotenda maovu, kama hupendi kuishi kwa kumwogopa mwenye mamlaka basi tenda mema naye atakusifu," alisema.


Mamlaka iliyo kuu ni KATIBA ndiyo ambayo KILA MTU akiwemo Mh. Makamba ,Mh. Kikwete na yeyote anapaswa kuitii. Kwa Tanzania mamlaka iliyo kuu ni KATIBA.
Kisha mamlaka inayotakiwa kutii ni ile ambayo haikiuki misingi ya haki.
Daniel wa Biblia aliwahi kutakiwa na mfalme kuabudu sanamu na akajua kuwa ni kinyume na mamlaka iliyo kuu yaani NENO la MUNGU. Alikataa na alimwambia mfalme kuwa sina haja ya kukujibu juu ya hilo " sitapiga magoti kwa sanamu uliyoisimamisha"
Ni kama jeshini.
Mamlaka ya aliye juu hutangua mamlaka ya aliye chini. KATIBA ndiyo mamlaka iliyo juu ya nyingine zote. Nayo imeruhusu kuandamana kwa amani kwa kutoa TAARIFA polisi na sio kuomba kibali. Nadhani hapo ndipo tunatofautiana kwenye uelewa.

" Laizer anieleze ufinyu wangu katika uelewa wa biblia upo wapi ikilinganisha na tukio lililotokea mkoani Arusha[/QUOTE]

Hapo ndipo kutokuelewa kwako kunapotokea. CCM haina mamlaka juu ya katiba wala viongozi. Mamlaka inayotoka kwa Mungu sio viongozi ni ile mamlaka inayokasimiwa kwao ambayo iko katika misingi ya Haki. Mamlaka itokayo kwa Mungu ni mamlaka ya HAKI. Udhalimu na uonevu hauwezi kutoka kwa Mungu.
 
Makamba nyamaza hao ni wapakwa mafuta wa Mungu sio wanasiasa wakubishana nao!!!! Kama umekosa kiri utasamehewa tofauti na mahakamani ukikiri utafungwa.
 
Kila serikali inakuwa na mamlaka iliyo kuu. Viongozi sio mamlaka yenyewe. Viongozi ni wanaosimamia mamlaka iliyo kuu yaani KATIBA NA SHERIA.
Mamlaka iliyo kuu ni KATIBA ndiyo ambayo KILA MTU akiwemo Mh. Makamba ,Mh. Kikwete na yeyote anapaswa kuitii. Kwa Tanzania mamlaka iliyo kuu ni KATIBA.
Kisha mamlaka inayotakiwa kutii ni ile ambayo haikiuki misingi ya haki.
Daniel wa Biblia aliwahi kutakiwa na mfalme kuabudu sanamu na akajua kuwa ni kinyume na mamlaka iliyo kuu yaani NENO la MUNGU. Alikataa na alimwambia mfalme kuwa sina haja ya kukujibu juu ya hilo " sitapiga magoti kwa sanamu uliyoisimamisha"
Ni kama jeshini.
Mamlaka ya aliye juu hutangua mamlaka ya aliye chini. KATIBA ndiyo mamlaka iliyo juu ya nyingine zote. Nayo imeruhusu kuandamana kwa amani kwa kutoa TAARIFA polisi na sio kuomba kibali. Nadhani hapo ndipo tunatofautiana kwenye uelewa.

Hapo ndipo kutokuelewa kwako kunapotokea. CCM haina mamlaka juu ya katiba wala viongozi. Mamlaka inayotoka kwa Mungu sio viongozi ni ile mamlaka inayokasimiwa kwao ambayo iko katika misingi ya Haki. Mamlaka itokayo kwa Mungu ni mamlaka ya HAKI. Udhalimu na uonevu hauwezi kutoka kwa Mungu.
 
Mbona asinukuu katiba ambayo ni kitabu na muongozo wa raia wote wenye dini na wasio na dini
Kwa mpagani maandiko hayo hayaelewi wala hayamuhusu

AU KATIBA YA NCHI INAKUSUTA?
 
Mamlaka ipi iliyotoka kwa mungu..

Jk alishinda kihalali??? Serikali yake siyo halali sasa kuna baraka ya mungu hapo??

Unajua mbwa lazima atii ya bwana wake.. Sasa makamba kutokana na elimu yake finyu ni shida kubwa na tamaa ya kula hela ya serikali na ccm nayo ni tatizo.
 
mnyonge mnyongeni na haki yake mpeni.... Makamba ame-quote kitabu sawia kwa hoja aliyoleta; cha maana ni kuamua kum-ignore au la... na pia sijawahi kusikia duniani mtu akikatazwa kutumia biblia au quran simply because hana uelewa au si wa dini husika...

Tuache ushabiki kwenye mambo yahusuyo imani
 
Akina Makamba na kundi la majambazi wenzake wanajua kwamba kwa hali ilivyo sasa njia nzuri ni kuzua vuguvugu la Katiba na kukwepesha hoja hii ya msingi kwa kuanzisha gogoro jingine la kuishambulia dini fulani. Na hapa naona wanafanikiwa sana.

Tatizo la hili gogoro jingine analoli-engineer hivi sasa ni kwamba linahusu imani za watu, na wachache sana hutumia busara wanapoguswa imani zao. Goodluck with your endeavor clown Makamba.
 
mnyonge mnyongeni na haki yake mpeni.... Makamba ame-quote kitabu sawia kwa hoja aliyoleta; cha maana ni kuamua kum-ignore au la... na pia sijawahi kusikia duniani mtu akikatazwa kutumia biblia au quran simply because hana uelewa au si wa dini husika...

Tuache ushabiki kwenye mambo yahusuyo imani

Wewe unaona ni sahihi kwa katibu wa chama cha siasa kujibizana na kiongozi wa dini fulani? analeta picha gani?
 
He should better keep quiet. He has been caught pants down!
 
Ninacho kiona kwa Makamba ni kwamba Watz wanashangaa mtu mwislamu ku quote vifungu vya bibilia.

kuna uwezekano mkubwa kukawa na matumizi mabaya ya hivyo vifungu vya biblia hasa kutokana na mafumbo yaliyomo ktk hiyo biblia. Na hivo tafsiri anayokuwa nayo Makamba inakuwa tofauti na ile maana halisi inayotafsiriwa na Maaskofu.
 
Makamba amejaa makamba kichwani kwake, hata umweleze vipi atadhania unamwonea. Ndio maana tunashauriwa kuwa waangalifu na majina tunayowapa watoto wetu (Matatizo, Masumbuko, Maskini, Chausiku, Nyamayao, Chukulubu, .....). Majina huendana na personality ya mtu. Usiniulize kwa nini.
 
mnyonge mnyongeni na haki yake mpeni.... Makamba ame-quote kitabu sawia kwa hoja aliyoleta; cha maana ni kuamua kum-ignore au la... na pia sijawahi kusikia duniani mtu akikatazwa kutumia biblia au quran simply because hana uelewa au si wa dini husika...

Tuache ushabiki kwenye mambo yahusuyo imani

Acid,

Makamba alinukuu vifungu vya Biblia ili kuonyesha uhalali wa maovu yaliyofanywa na Polisi huko Arusha! Hili ndilo tatizo ambalo Ma-Askofu wanaliona - Yeye as Makamba should not justify misdeed kwa kutumia vifungu vya Biblia. That is wrong. Probably angenukuu vifunguu vya sheria za Jamhuri ya Muungano au hata vifungu vya Katiba ambavyo vinaonyesha kuwa maandamano ya wafuasi wa CHADEMA yalikuwa batiri hakuna ambaye angekuwa na ugomvi naye!

Damu inapomwagika si vyema kutumia misaafu kuhalalisha umwagikaji wa DAMU!
 
Wewe unaona ni sahihi kwa katibu wa chama cha siasa kujibizana na kiongozi wa dini fulani? analeta picha gani?
si sahihi kabisa mkuu... siungi mkono asilani

my point ni pale unaposema usitumie biblia kwasababu huijui au hauna upeo au maono

i dont bother what sh!t makamba says because i dont expect anything from him... what wesee now is laizer arguing with a fool, people might not notice the difference

dhamira ya makamba ilikufa zamani sana, ukiniuliza mimi ntakwambia nimemjua makamba akiwa mkuu wa mkoa wa dar kama mdhalimu, he is not worth anyones time
 
Acid,

Makamba alinukuu vifungu vya Biblia ili kuonyesha uhalali wa maovu yaliyofanywa na Polisi huko Arusha! Hili ndilo tatizo ambalo Ma-Askofu wanaliona - Yeye as Makamba should not justify misdeed kwa kutumia vifungu vya Biblia. That is wrong. Probably angenukuu vifunguu vya sheria za Jamhuri ya Muungano au hata vifungu vya Katiba ambavyo vinaonyesha kuwa maandamano ya wafuasi wa CHADEMA yalikuwa batiri hakuna ambaye angekuwa na ugomvi naye!

Damu inapomwagika si vyema kutumia misaafu kuhalalisha umwagikaji wa DAMU!
pamoja sana BE, issue yangu ni laizer kumpick makamba.... i would have been happy kama angepick ccm
 
Back
Top Bottom