lackg
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 641
- 268
Akale mihogo serena hotel
Nimecheka sana.....
Akale mihogo serena hotel
Mbona mbatia Leo kasema wake kimia kuna mini hapo? kwenye akili tunajua,
Dr slaa na lipumba kila mmoja alitaka kugombea urais unadhani madogo hayo![/QUOTE
]
Tatizo sio urais kwani slaa alipomtaja kwenye list of shame kurikuwepo urais pia,alipoyasema hayo 2010 lowasa alikuwepo kwenye urais?
Mkuu hasante tunataka watu wanoshirikisha kichwa kama wew dr ,sio kigeugeu kama wanasiasa wengine dr, wa 2010 ,ndiye huyu huyu wa 2015 tatizo letu ni ushabiki zaidi kuliko uhalisia huyu EL amekivuruga sana chama sijui hata mnyika yuko wapi na ubunge wake
Nilisema Slaa ni mtu mwenye tamaa, michadema ikanitukana. Sasa mnashuhudia uccm wake?
Clip ya yule dada jamani muhimu
ana tamaa sana ndio maana alitamani mpaka mke wa mtu halafu juzi kajiita yeye padre sasa padre huwa anaoa?
Gwajima msemaji wa UKAWA?
nishatoroka magufuli ndio mpango
Nimegundua watanzania hatujui tunataka nini. Hatuna agenda hata hiyo ya mabadiliko. Kama hatuna dira ya tunakoelekea basi tutawapeleka akina Edward wakakalie viti vyao ili waendelee na BAU. Hakuna mabadiliko kama fikra zetu ni hizi.
Dr Slaa ameonyesha kukerwa na ufisadi kwa vitendo. Hongera sana Slaa. Lakini naona shutuma hapa zinazoelekezwa kwake. Yeye kaongea kwa data, ni wajibu wa watu waliotajwa kutueleza kwa data. Evidences alizotoa jana ukweli kama sisi watanzania tuko serious na nchi yetu basi tunapaswa tufikirie kwa dhati nafasi ya mgombea urais wa Chadema.
Kwa kuwa yeye jj flag bearer basi hana budi ajitokeze mbele ya watanzania ajibu tuhuma zile kwa evidence. Otherwise mihemko tulionayo itatupeleka Libya. At least kwa sasa ambapo hajajibu lolote Lowassa hafai kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano