Maaskofu, wananchi ‘wamchanachana’ Slaa

Maaskofu, wananchi ‘wamchanachana’ Slaa

Mimi naona Dr. Slaa amewaharibia zaid Ccm na kuwapaisha Chadema Mara 100. Aidha Dr. Slaa amedhihirisha ana simple mind. Tunaamimi simple minds discuss people na great minds discuss issues.

Vile vile ishu hii inaonyesha ni jinsi gani serikal ya chama tawala inavyotumia mbinu chafu za kunnua watu (viongoz Wa upinzan) ili kiendelee kubaki madarakan kwa dhurma ili waendeleze dhurma kwa watanzania.

Nasikitika zaidi kwa haya kufanywa NA MTU aliyepigana kufa NA kupona kuhakikisha Ccm NA serikal yake inayowanyonya watanzania inakaa pembeni. Kinachodhihirisha kuwa Dr. Slaa kanunuliwa ni namna ya mkutano wake ulivyoratibiwa, unavyorushwa na tbccm na namna alivyokuwa anawasilisha hoja zake.

Swali tunaojiuliza je! Baada ya kusema yoooote aliyoyasema je ndio tuichague Ccm iliyobaki NA mafisadi wengi zaidi ktk list ile ya Dr. Slaa???? List of shame Ilikuwa na majina zaid ya 10. Lowassa ni mmoja kahamia CDM. Wengine woooote wamebaki Ccm sa kwa kuikataa Chadema kwa kuwa Ina mmoja tu Kati ya 11 na kuikubal Ccm ilobak NA watu 10 waliokuwa kwenye ile list itakuwa ni akili au matope??? Is it really logical?

Dr. Slaa ni mbinafsi na atahukumiwa kwa hili. Yeye km Padre mstaafu sikuona haja ya kuendelea kubwabwaja kuhusu maamuz ya lowassa kuingia CDM mana biblia imeweka wazi namna ya MTU anavyoweza kujutia makosa yake na kuamua kuungama na kuanza maisha mapya. Cha ajabu kwa lowassa kufanya hivyo ni nn?Naona Dr. Amesahau kabisa kuwa hata yeye CDM ni muhamiaji toka Ccm. Kama anaamin CDM ni tassisi iliyojengwa ktk misingi ya kupiga tushwa ufisadi kwann basi asiamin kuwa itamshape Lowassa kufwata misingi hiyo? Je ni halali kwa padre au askofu kuacha upadre au uaskofu kwakuwa mwenye dhambi kaamua kutubu na kuokoka??????

Lakin pia nilitegemea aelezee pia ufisadi Wa magufuli na team nzima ya Ccm ili kustrike a balance ili wananchi tuamue vzr. Cha ajabu Dr. Slaa ameamua kwa maksudi mazima kuwa bias/kuegemea upande mmoja. Swali tunalojiuliza watanzania je kafanya haya kwa maslahi ya Nani? Ni kwel uchungu Wa nchi hii/uzalendo ndio uliomsukuma? Kama angalikiwa mzalendo angeongelea mambo machafu yanayofanywa NA serikal ya Ccm km ufisadi wa escrow, mikataba ya/sheria za fastafasta ya madini na gesi, Deni LA taifa, fine za wakandarasi 900bil kwa kuchelewesha malipo yao n.k.

Richmond anayong'ang'ana nayo haizid 300bil. Deni LA kizembe kwa kutokuwalipa wakandarasi kwa wakati ni zaid ya hiyo ya richmond mbona haya hayasemi? Dr. Katumwa, ila awaambie waliomtuma wameshindwa mana aliyoyaongea tulishayakikia 8years ago ila hayajatufanya tutoke kwenye mada kuu ambayo ni kufanya mabadiliko.

MABADILIKOOOOOOOO??????????......Lowassa.

LOWASSAAAAAAA????????????.......Mabadiliko.
 
Nimegundua watanzania hatujui tunataka nini. Hatuna agenda hata hiyo ya mabadiliko. Kama hatuna dira ya tunakoelekea basi tutawapeleka akina Edward wakakalie viti vyao ili waendelee na BAU. Hakuna mabadiliko kama fikra zetu ni hizi.
Dr Slaa ameonyesha kukerwa na ufisadi kwa vitendo. Hongera sana Slaa. Lakini naona shutuma hapa zinazoelekezwa kwake. Yeye kaongea kwa data, ni wajibu wa watu waliotajwa kutueleza kwa data. Evidences alizotoa jana ukweli kama sisi watanzania tuko serious na nchi yetu basi tunapaswa tufikirie kwa dhati nafasi ya mgombea urais wa Chadema.
Kwa kuwa yeye jj flag bearer basi hana budi ajitokeze mbele ya watanzania ajibu tuhuma zile kwa evidence. Otherwise mihemko tulionayo itatupeleka Libya. At least kwa sasa ambapo hajajibu lolote Lowassa hafai kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano

Sikukatalii lakini mengi aliyoongea yalipaswa kufanywa ndani ya vikao vya chama.Pili alikuwepo kwenye mjadala wa Lowassa kuhamia CDM,angekuwa alikataa mapema tungeweza kumuelewa.Lakini kwanini leo???

Anyway inawezekana wakadhani impact ni moja kwa moja CDM lakini impact hiyo imeingia zaidi kwenye CCM yenyewe.
 
maaskofu akina gwajima ? mnaichezea dini nyinyi niona tangazo la tanesco jana kwenye tv kuwa kanisa lake lilihalibu miondombinu ya tanesco tarehe 29/8 tukakosa umeme sehemu kubwa ya nchi.
tanesco wamefungua kesi polisi kimara
 
Kama Dr Slaa alivyosimama na kutaja list of shame pamoja na kashfa nyingine, asimame hadharani kuwataja maaskofu waliohongwa na kiasi walichohongwa. AU atoke hadharani na kuwaomba radhi watanzania wote specifically waumini wa madhebu ya RC na Lutheran kwa kuwachafua viongozi wao na kuwaingiza katika kashfa na katika mijadala isio ya muhimu.!
 
Dr atufafanulie kwa kina kwamba,

1.Ile list of shame INA watu wangapi?

2.Je Ñî lowassa na sumaye ndio pekee yao wapo kwenye list hiyo? Au Ñî kwa sababu walitoka ccm ndio maana wametajwa? Na Kama wangebakia ccm angewatuhumu?

3. Je Ñî kwanini dr alikàa vikao vyote Vya chadema Vya kumjadili lowassa na mwisho kumkubali kujiunga nao angali anafahamu anatuhuma za ufisadi?

4. Kama dr ana nia njema na nchi yake , Mbona wale wote walioko kwenye orodha ya mafisadi hajawashambulia?

5. Kwanini atumie data za mwakyembe wakati zake anazo tangu 2007? Mwakyembe yupo kwa maslahi ya Nani ?

6. Kwanini leo mashushu wampatie usalama wakati mwaka 2007 hawakumpatia? Je mashushu wapo kwa maslahi ya Nani?

7. Kwanini madam mushumbushi ametupie mabegi nje dr baade ya lowassa kutangazwa kungombea urais kwa tikiti ukawa, je madam alikuwa na maslahi binafsi na dr kuchaguliwa kugombea urais.

8. Gharama za kuandaa mtukano pale Serena hotel zililipwa na Nani? Kwa maslahi yapi na dr?


9. Ñî Nani anamsukuma dr kuongea haya wakati alikatikiwa aongea kipindi lowassa anahamia chadema.

Dr kachelewa na hana jipya la kuwaambia watanzania.

Madaliko Ñî sasa, na tunasonga MBELE.
 
Eeh Bwana eeh!. Nimeamini msemo usemano huwezi kumlaani aliyebarikiwa.

Jana nilikuwa Mwanza. Nilishangaa sana kugundua nilichokigundua kuwa ni athari ya hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania. Niliyoyaona na kuyasikia, yalinipa kukumbuka (KWA WALE WASOMAJI WA BIBLIA) habari za "NAMNA ADUI WA WATU WA MUNGU WALIVYOTUMIA NGUVU,FEDHA NA MAMLAKA KUTAFUTA WATU WA KUWALAANI WATU WA MUNGU LAKINI BADALA YA KUWALAANI, WALIWABARIKI NA KUWAGEUZIA LAANA HAO WALIOKUSUDIA LAANA KWA TAIFA LA MUNGU. NILIKUMBUKA HABARI ZA "PUNDA WA BALAMU".

Kila kwenye mkusanyiko niliokuwa nikikutana nao, nilikuta agenda kubwa ni hotuba ya Dr. Slaa. na la ajabu ni namna wakazi wengi wa jiji la Mwanza walivyokuwa wakijiapiza kwamba "CCM NI ILE ILE, MAGUFULI NI CHOKAA ILIYO JUU YA KABURI AMBALO NDANI YAKE KUNA MAITI ILIYOOZA".

kwa nyakati mbali mbali, katika makundi ya mazungumzo walihojiana na KUAFIKIANA KWAMBA HAKUNA LOLOTE JIPYA NA LA MAANA ALILOLIONGEA DR. SLAA ZAIDI YA YALE YALE YA MIAKA NENDA YANAYOFAHAMIKA AMBAYO KAMA ANGELIKUWA NA UCHUNGU WA TAIFA, ALITAKIWA YEYE NA MWAKYEMBE, WAPELEKE KESI HIYO MAHAKAMANI BADALA YA KULALAMA KWA WANANCHI KANA KWAMBA WANANCHI NI MAHAKAMA.

"Huyu mzee, hana hoja ngeni sana sana kipya alichokionyesha ni HASIRA, JAZBA, DHARAU NA KIBURI!.

1. Walihoji, kama Dr. Slaa alijua Lowasa ni mbaya na anatakiwa kupimwa akili, kwa nini alikwenda KUMTAFUTA NA KUMKARIBISHA Chadema? Tatizo la Slaa siyo uchafu wa Lowasa bali ni yaliyotokea baada ya Lowasa kuteuliwa kugombwa uraisi kama mabadala wa Slaa.

2. Slaa aliandaaje mkutano na uwaandishi wa habari huku hana cha kusema hadi asubiri kuletewa na Mwakyembe? Bila shaka huyu Slaa aliongea ya Mwakyembe kwa niaba ya ccm.


3. Mwakyembe na ccm kushindwa kusema wao na badala yake kumtumia Slaa, ni dalili kwamba hawana ujasiri wa kuyasema waliyomsakizia slaa ayaseme. Kama chama kinahcounda serikali kinashindwa kusema hoja hadi kitafute mkandarasi, kimejiondolea sifa ya kusimamia serikali.

4. Slaa na Mwakyembe, habari ya Richmond miaka yote waliijua, kwa nini walishindwa kuisukuma ili hatua stahiki zichukuliwe badala yake Slaa akaenda mbele zaidi ya kumshawishi Lowasa ajiunge naye, na sasa kuibua hoja hizi baada ya Slaa kukatwa? Hoja hii inatumika kwa visasi. Wnasema hawako tayari kutumika kama fimbo ya kulipa visasai vya mtu yeyote. Wao CCm iondoke kwanza.

5. Slaa kumwogopa Lowasa na kutaka kutulazimisha tuiache ccm madarakani huku akijua ni ccm ni hatari kuliko lowasa, bila shaka hajitambui na hayupo tena kwa maslahi ya Watanzania.

6. Mwakyembe kwenda na taarifa za Richmond kuzipeleka kwa Slaa, na Slaa kuungana na viongozi wa ccm kina Sita na Mwakyembe, kulalamika kuhsu Lowasa na richmond kwa wananchi, wakati wakijua sehemu sahihi ya kulalamika ni mahakamani, WANATUFANYA WATANZANIA WAPUMBAVU WA KUTUCHANGANYA HUKU WAKIFICHA UKWELI.


7. Serikali ya Ccm kushindwa kumfikisha mahakamani Lowasa na watuhumiwa wengine wa ufisadi, badala yake kuishia kulalamika mitaani, wote ni wapuuzi wasiofaa kuitwa viongozi wa nchi. Hawawezi kusimamia haki za wananchi.


8. Dr. Slaa kuwaita CCM NI CHOO CHA MAVI, na Lowasa ni Kinyesi kilichoopolewa kwenye choo, ni kuzidi kuididimiza ccm na kumpigia kampeni Lowasa. WAMEAMUA KUMCHAGUA LOWASA AMBAYE NI KINYESI KILICHOOPOLEWA KUTOKA KWENYE CHOO CHA MAVI, KULIKO KUCHAGUA CHOO CHA MAVI!.

9. Kimbelembele cha Ccm kumshangilia Slaa, baada ya kumpinga na kumpiga na kiasi cha kumjeruhi akisimamia sera za CHADEMA, imedhihirisha Slaa amewauza Watanzania na imedhihirisha uharamia wa ccm kutumia rushwa na madarka vibaya katika kutaka kuwaumiza Watanzania.

10. Wananchi wa Mwanza, sasa wanajua Slaa na Ccm ni wamoja, na hawana loloe la maana lenye maslahi kwa Watanzania. Maandamano fake ya vijana walioandaliwa na ccm ili wajifanye ni CHADEMA, watu walisema ni sawa na ngoma za "BULABO", na "MALEBA YAKE". Mtanisaidia tafsiri sahihi ya BULABO NA MALEBA ni kitu gani.


11. Slaa kushindwa kuzungumzia mawizi mengine yaliyofanywa baada ya kuondoka Lowasa, ni dhahiri huyu kanunuliwa na ccm ili aongee lugha ya ccm na si ya Watanzania.


12. WAMESEMA SLAA NENDA SALAMA, KAZI ALIYOIFANYA WANAIHESHIMA LAKINI AKIENDELEA KUTUMIWA N AKINA MWAKYEMBE, ATAKUWA ANATANGAZA VITA YA YEYE BINAFSI DHIDI YA UMMA.

WAKAZI WA MWANZA HAWAKO TAYARI KUTUMIWA NA SLAA KWA KUSHIRIKIANA NA CCM ILI KUHUJUMU UKOMBOZI.

KWA HILI CCM IMEJIABISHA, WALITEGEMEA DR. SLAA ATAWASAIDIA BADALA YAKE BILA KUTEGEMEA AMEZIDI KUWAWEKA KATIKA HALI MBAYA ZAIDI.

CCM HAMTAWEZA KULAANI MPANGOWA UKOMBOZI WA MUNGU KWA WATANZANIA KWA KUMTUMIA SLAA, LIPUMBA, KUTENGENEZA MAANDAMANO NA KADI ZA BANDIA, AHADI ZA HEWA N.K. MUNGU ALISHAWAKATAA NA HAKUNA KITAKACHO WASIMAMISHA TENA.
 
Kiacheni kibabu kipumzike hamani, tangu kagenzi akichepulie ha ha hs kichwa haijatulia
 
Anaulizwa nani alimlipia gharama za ukumbi serena badala ya kujibu swali nayeye anauliza eti nani alimlipia gharama za kwenda marekani alafu anajijibu mwenyewe Kwamba Chadema walitoa sh: laki tano.

My take
Sikutegemea mtu kama huyu Slaa kujichanganya mwenyewe kiasi hichi.

"Lowasa kanyaga twende."
 
Kiacheni kibabu kipumzike hamani, tangu kagenzi akichepulie ha ha hs kichwa haijatulia

Yani kagenzi kamfanya achanganyikiwe kupigiwa noma na akikumbuka mzigo wa kihaya jose kumtupia virago nje kwa kukosa u lady first
 
Sikukatalii lakini mengi aliyoongea yalipaswa kufanywa ndani ya vikao vya chama.Pili alikuwepo kwenye mjadala wa Lowassa kuhamia CDM,angekuwa alikataa mapema tungeweza kumuelewa.Lakini kwanini leo???

Anyway inawezekana wakadhani impact ni moja kwa moja CDM lakini impact hiyo imeingia zaidi kwenye CCM yenyewe.

Amefanya ndani ya vikao imeshindikana na ndio maana akaamua kukaa pembeni na huo ndio uungwana....ulitaka endelee kuwa ndani ya vikao kwa kitu asicho kiamini? impact ikiwa kwa ccm kuba ubaya gani?
 
Anaulizwa nani alimlipia gharama za ukumbi serena badala ya kujibu swali nayeye anauliza eti nani alimlipia gharama za kwenda marekani alafu anajijibu mwenyewe Kwamba Chadema walitoa sh: laki tano.

My take
Sikutegemea mtu kama huyu Slaa kujichanganya mwenyewe kiasi hichi.

"Lowasa kanyaga twende."

Wenye uelewa wameelewa, kwa akili yako wewe laki 5 ingemfikisha marekani?
 
Nakubalina na Askofu Ngwajima, Sasa Mbona Hii Risasi ya mwisho ya CCM Ime-mis target.... Ni Kama Kumpiga Chura teke, Matokeo

yake Unamwongezea Mwendo (Speed).
ha ha ha - last bullet isipo-hit Target basi tena ujue - kifo cha nyani kimeshafika... kwisha habari.
 
Dr.eti anashindia mihogo, kwahiyo ameonahongwa na ccm iliakanywe mchuzi wa sato
 
Nimefurahi kuona wananchi wengi wameelimika na kubaki na msimamo wa kuitoa ccm ..
Ushauri bora ccm wacheze fair play bila kutumia kashfa & ubavu sababu wataongeza kuchukiwa
 
Hahahaaaaaaaaaaa Maaskofu ,mapadri na Dr Slaa mnakula mlichokipanda. Viongozi wa dini mmeyataka sasa imekula kwenu subirini nyumbu na viroba wawape vidonge mmeze mteme shauri yenu
 
Back
Top Bottom