Maaskofu wa Makanisa ya Kipentekoste Kanda ya Ziwa walaani tamko la Jumuiya ya Kikristo Tanzania

Tena kanda ya Ziwa kuna wapagani wengi kuliko sehemu yoyote Tanzania na Wakristo walioko wengi ni wahamiaji au wale waliotoka wakasoma mikoani. Wengi kanda ya ziwa ni waumini wa ushirikina na ndio maana mauaji ya vikongwe na albino ni dominant maeneo hayo
Takwimu zinaonyesha Wakristo wengi Tanzania wako kanda ya Kaskazini na kusini then Dar. Kwa hiyo hawa maaskofu wanatishia nyau hawana influence yoyote dhidi ya tamko ambalo tayari limepokelewa kwa mikono miwili na Zaidi ya waumini Milioni 15 wa kikristo.

Kuna askofu wa pentekosete alikuwa channel ten kipindi cha tuongee asubuhi(Jina nalibana for now) naye anapinga lakini kumbe alishagombea ubunge kupitia CCM nilichogunduwa hawa ni wachumia njaa wa CCM.

 
Maaskofu Edson Mwombeki na Amos Madai wa Makanisa ya Kipentekoste Kanda ya Ziwa wamelaani tamko lililotolewa na na Jumuiya ya Kikristo Tanzania ambalo lilitaka waamini wapige kura ya hapana ya Katiba Mpya. Maaskofu hao hao wamesema kuwa viongozi wa dini wanapaswa kuwa daraja katika jamii na si wao kuwa chanzo cha mfarakano na mvurugano. Aidha, wamewatahadhalisha wanasiasa kuwa makini na viongozi wa dini ambao kila kukicha wanatoa matamko yenye utata na yanayoligawa taifa. Maaskofu hao wamesema kuwa Katiba Inayopendekezwa imepitia michakato yote kihalali na kwamba ni wakati sasa wa wananchi kuachwa huru wapige kura kwa mujibu wa utashi wao.


My Take: Maaskofu hao wanaonekana kuunga mkono tamko lililotolewa na Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo kuu la Dar es Salaam Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo ambaye naye amepaza sauti kupinga tamko hilo. Hii ni ishara kuwa waliotoa tamko la kuwataka waamini wapige kura ya HAPANA hawakupata baraka za viongozi wengine na kwamba wanatumia mwamvuli wa Jumuiya hiyo kupenyeza ajenda zao za kisiasa


SOURCE: TBC1 Habari ya Saa mbili Usiku

Kuna askofu wa pentekosete alikuwa channel ten kipindi cha tuongee asubuhi(Jina nalibana for now) naye anapinga lakini kumbe alishagombea ubunge kupitia CCM nilichogunduwa hawa ni wachumia njaa wa CCM.
 
Hapo ndo ninapoendelea kulifahamu zaidi kanisa katoliki na viongozi wake aina Pengo. Mtu cheo kikubwa (Kadinali) kumbe mpiga dili tu kwa mwamvuli wa kanisa. Hakika mungu anaanza kutufumbua macho mwanzo kaanza na Kilaini kuhusiana na Escrow sasa kaja huyu Kadinali na upofu wa hali ya juu. Hapa waumini ifikie hatua hawa viongozi tuhoji uhalali wao hata kama tunachanguliwa kutokea Vatican.
 
Nadhani kuna tatizo pande zote. Kila kukicha tunawasikia viongozi wa Chama Tawala wakihamasisha wananchi wajitokeze kwa kwa wingi kujiandikisha ili waipigie katiba pendekezwa kura ya NDIYO. Je wao ndiyo wako sahihi kuwaamulia wananchi jinsi ya kupiga kura?
 
liloo kazi kubwa ya Maaskofu ni kukemea maovu, katiba pendekezwa inalinda waovu eg Bwn Chenge!!
Ni haki kuwahamasisha watu kuipinga katiba inayolinda mafisadi waipigie kura ya hapana!!
 
Last edited by a moderator:
KAMATI ya Mabalozi wa Amani ya Kristo Kanda ya Ziwa imetoa tamko kupinga tamko lililotolewa hivi karibuni na Jukwaa la Wakristo nchini kuwataka Watanzania kuipigia kura ya 'Hapana' Katiba Inayopendekezwa na kwamba tamko hilo linaweza kuwachanganya wananchi.

Mbali na kupinga tamko hilo, Kamati hiyo imetoa mwito kwa Watanzania kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura ili waweze kupata fursa ya kuipigia kura Katiba Inayopendekezwa na kwamba uamuzi wa kupiga kura ya 'ndiyo' au 'hapana' ni wa kwao wenyewe.

Akisoma tamko la Kamati hiyo jana mbele ya waandishi wa habari mjini Shinyanga, Katibu wa Kamati hiyo, Askofu Edson Mwombeki, alisema kitendo kilichofanywa na Jukwaa la Wakristo kinaweza kuhatarisha mustakabali wa nchi na kujikuta Watanzania wakiingia katika vurugu kubwa.

Alisema mabalozi Wakristo hawakubaliani na tamko hilo kwa vile sehemu kubwa ya watoa tamko walishiriki kikamilifu katika mchakato mzima na kujadili mapendekezo ya Katiba Inayopendekezwa ndani ya Bunge Maalumu la Katiba (BMK) na waliipitisha kwa kishindo.

Akifafanua zaidi, alisema iwapo wawakilishi wa madhehebu ya Kikristo waliokuwa wajumbe wa Bunge la Katiba waliona kinachopendekezwa ndani ya katiba hiyo kilikuwa hakifai na hakina masilahi kwa Watanzania; ni vizuri wangeungana kutoka nje pamoja na wajumbe wengine waliotoka na kususia mjadala mzima.

Alisema pamoja na kwamba wakati wa mchakato wa kujadiliwa kwa rasimu ya katiba ndani ya Bunge Maalumu baadhi ya madhehebu ya Kikristo hayakuwa na wawakilishi; mfano wa dhehebu la Wapentekoste, lakini bado waliridhia kuwakilishwa na wenzao wengine kwa lengo la kuwezesha nchi kupata Katiba Mpya.

“Katiba Pendekezwa ilianza kwa mchakato mzuri wa kupigiwa kura na ilipigwa ndani ya Bunge Maalumu la Katiba, sasa leo hii tunashangaa hawa wenzetu waliokuwemo ndani ya Bunge na kuipigia kura waliipitisha na hawakupinga, sasa leo vipi watueleze kuwa katiba hii imepatikana kwa mizengwe?”

“Sisi tulitegemea kuwa iwapo viongozi wenzetu wa kidini waliokuwemo ndani ya Bunge hilo walipoona kuna mizengwe yoyote inafanyika basi palepale wangetoka nje, leo Taifa limetumia mabilioni ya fedha na Katiba Imependekezwa ndiyo wanaibuka kuwataka Watanzania waipigie kura ya hapana; hapana kwa hili hatuwaungi mkono,” alieleza Askofu Mwombeki.

Kwa upande wake mwenyekiti wa Kamati hiyo, Askofu Amos Madayi wa Kanisa la Elim Pentekoste Tanzania Jimbo la Magharibi alisema tamko lililotolewa na Jukwaa la Wakristo linapingana na katiba ya nchi ya hivi sasa Ibara ya 18 kifungu kidogo cha (a), 19 (1) na 21 vifungu vidogo vya (1) na (2) na hivyo watoa tamko wamevunja katiba.

“Tumeisoma katiba na kuielewa na tunaikubali, kwa sababu mchakato wake umepatikana kwa njia ya kupigiwa kura; hivyo ni halali; na ili iweze kufanya kazi inabidi pia ipigiwe kura na wananchi, tunahimiza wananchi wote wajitokeze kuipigia kura kwa hiari na ridhaa yao wenyewe,”

“Si halali kwa mtu, au kikundi cha watu kumzuia mtu yeyote kwenda kupiga kura, kwa kufanya hivyo ni kinyume cha sheria, demokrasia na haki za binadamu kwa katiba ya nchi yetu, hivyo tunawatahadharisha wanasiasa wote na viongozi wa dini wawe waangalifu na makini wanapotoa matamko yao,” alieleza Askofu Madayi.

Aidha, katika tamko hilo Kamati hiyo imewatahadharisha viongozi wa serikali kutojihusisha na suala la Mahakama ya Kadhi kwani kuunga mkono suala hilo ni kutasababisha Katiba Inayopendekezwa Ibara ya 41.3 ikose maana na uzito uliobebwa na Katiba Pendekezwa.

Hivi karibuni Jukwaa la Wakristo nchini lilitoa tamko rasmi likiwahimiza Watanzania kujiandikisha kwa wingi katika Daftari la Kudumu la Wapigakura na wajitokeze kwenda kuipigia kura ya 'Hapana' Katiba Pendekezwa siku ya kupiga kura ya maoni.Akiongea kwa niaba ya wasanii waliojiunga kuipigia kampeni rasimu ya katiba mpya,NIKI awA KWANZA amesema kwa muda wa Miaka 50 toka nchi hii ipate Uhuru wasanii hawakuwahi kutambulika ktk katiba na wala kazi zao hazikuweza kutambulika kisheria,anasema katiba iliyopo ilitambua haki za Mali inayohamishika na Mali isiyohamishika lkn haikutambua mali isiyoshikika,wao kama wasanii wamejitahidi kushinikiza kuwepo na utambuzi na urasimishaji wa haki za Mali zisizoshikika kama muziki wao wa kizazi kipya,hivyo kuwasihi Wananchi wa Zanzibar waipigie Kura ya ndio katiba inayopendekezwa sababu imegusa maslahi mapana ya Watu wa makundi yote.Nikki wa Pili amemwambia Balozi Seif kuwa tasnia ya Sanaa ya muziki wa Kizazi kipya Tz ina mtaji wa Watu milion kumi,hivyo watatumia uwingi wao na nguvu yao ya kiushawishi kwa Vijana kushawishi waipigie Kura ya NDIYO katiba inayopendekezwa,kwani katiba hii imebeba matumaini na mustakabali mzuri wa Taifa na watu wake.
 
Hata wangefanyaje. Mkristo Mmoja ananguvu na uwezo wa kuona mbali kuliko wafalme 1000 majuha!. Hata wanapotoa tamko, walijua litapingwa. Na kwa sababu wanaijua vita yao vizuri, hawakurupuki, hawababaiki, na wala huwasikii wakishindana kwa lugha na ndimi.

Hilo walilolisema, ndilo litakalokuwa. Wanaopinga, wanaunguliwa maumivu tu lakini hawana uwezo wa kubadilisha ukweli huo watake wasitake.

Tafuteni mada nyingine.
 
Hawa kanisagan/dhehebu gan?

ccm mabigwa wakuvitumia vikanisa uchwara ambavyo hupatikana kijiji ama wilaya moja.

Tusubiri tutaona.
 
Kamati ya mabalozi wa amani ndio takataka gani?wakristo wenyewe ndio sisi mbona hatuitambui?eti wenzangu humu,mnaijua hii takataka?au ndo kick za Lumumba hizi?mwaka huu ngoja nikakope hela nianzishe kanisa afu nipigie debe chama tawala ntapiga hela bila kuathiri matokeo ya katiba na October,maana hata mie mwenyewe kura yangu ni HAPANA!dawa ya mnafiki ni unafiki.mods hebu unganisha hii na ule uzi wa jana wa Lizaboni,sioni tofauti yake zaidi ya kampeni tu humu ndani.cc Invisible
 
Last edited by a moderator:
kuna makanisa yapo kama vyama vya UDP , CCJ , NA VYAMA VINGINE VINAVYO FANANA NA HIVYO
 
Tena kanda ya Ziwa kuna wapagani wengi kuliko sehemu yoyote Tanzania na Wakristo walioko wengi ni wahamiaji au wale waliotoka wakasoma mikoani. Wengi kanda ya ziwa ni waumini wa ushirikina na ndio maana mauaji ya vikongwe na albino ni dominant maeneo hayo
Takwimu zinaonyesha Wakristo wengi Tanzania wako kanda ya Kaskazini na kusini then Dar. Kwa hiyo hawa maaskofu wanatishia nyau hawana influence yoyote dhidi ya tamko ambalo tayari limepokelewa kwa mikono miwili na Zaidi ya waumini Milioni 15 wa kikristo.
Ka hiyo unataka kusema kuwa Kanda ya Ziwa inatawaliwa na shetani?
 
kuna makanisa yapo kama vyama vya UDP , CCJ , NA VYAMA VINGINE VINAVYO FANANA NA HIVYO
Kwa Mungu hakuna mkubwa wala mdogo. Huu ukubwa ni hapa hapa duniani tu. muangalie sana comments zenu zisije zikawapeleka motoni
 
Kwa Mungu hakuna mkubwa wala mdogo. Huu ukubwa ni hapa hapa duniani tu. muangalie sana comments zenu zisije zikawapeleka motoni

mtu wangu ayo madhebu yanayo anza sahivi ni makanisa ya matumbo ....njaaa watu wanalizwa kila siku wamejaa ujinga mchango kibao mara fungu la kumi mara matoreo mbalimbali mara sadaka ...hadi wanafikia hatua yakusema usipo kua na pesa usiende kanisani that is sheet ...badilikeni mungu anajiweza haitaji pesa zenu yeye kila kitu ni chake unatoa pesa sasa ya nn?

mtume paulo alikua anaeneza injiri na kazi alikua anafanya sasa hao wanaojiita wachungaji wanafanya kazi gazi?
pili petro ndio yesu alisema atajenga kanisan kupitia yeye sasa mnaojiita walokole hivi ndio dhehebu aliyo yaacha petro ...wajinga ndio waliwao iyo ni DESI NJINGINE....

AMKA ACHA KUTOA SADAKA ...UONE KAMA KUNA DHEHEBU LA WALOKOLE LITABAKIA
 
Maaskofu Edson Mwombeki na Amos Madai wa Makanisa ya Kipentekoste Kanda ya Ziwa wamelaani tamko lililotolewa na na Jumuiya ya Kikristo Tanzania ambalo lilitaka waamini wapige kura ya hapana ya Katiba Mpya. Maaskofu hao hao wamesema kuwa viongozi wa dini wanapaswa kuwa daraja katika jamii na si wao kuwa chanzo cha mfarakano na mvurugano. Aidha, wamewatahadhalisha wanasiasa kuwa makini na viongozi wa dini ambao kila kukicha wanatoa matamko yenye utata na yanayoligawa taifa. Maaskofu hao wamesema kuwa Katiba Inayopendekezwa imepitia michakato yote kihalali na kwamba ni wakati sasa wa wananchi kuachwa huru wapige kura kwa mujibu wa utashi wao.


My Take: Maaskofu hao wanaonekana kuunga mkono tamko lililotolewa na Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo kuu la Dar es Salaam Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo ambaye naye amepaza sauti kupinga tamko hilo. Hii ni ishara kuwa waliotoa tamko la kuwataka waamini wapige kura ya HAPANA hawakupata baraka za viongozi wengine na kwamba wanatumia mwamvuli wa Jumuiya hiyo kupenyeza ajenda zao za kisiasa


SOURCE: TBC1 Habari ya Saa mbili Usiku

Hawa ni wasaka tonge tu hawa. Wao nao kama Pengo wamekwenda kinyume na mwakilishi wao. Hivyo!
 
KAMATI ya Mabalozi wa Amani ya Kristo Kanda ya Ziwa imetoa tamko kupinga tamko lililotolewa hivi karibuni na Jukwaa la Wakristo nchini kuwataka Watanzania kuipigia kura ya 'Hapana' Katiba Inayopendekezwa na kwamba tamko hilo linaweza kuwachanganya wananchi.

Mbali na kupinga tamko hilo, Kamati hiyo imetoa mwito kwa Watanzania kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura ili waweze kupata fursa ya kuipigia kura Katiba Inayopendekezwa na kwamba uamuzi wa kupiga kura ya 'ndiyo' au 'hapana' ni wa kwao wenyewe.

Akisoma tamko la Kamati hiyo jana mbele ya waandishi wa habari mjini Shinyanga, Katibu wa Kamati hiyo, Askofu Edson Mwombeki, alisema kitendo kilichofanywa na Jukwaa la Wakristo kinaweza kuhatarisha mustakabali wa nchi na kujikuta Watanzania wakiingia katika vurugu kubwa.

Alisema mabalozi Wakristo hawakubaliani na tamko hilo kwa vile sehemu kubwa ya watoa tamko walishiriki kikamilifu katika mchakato mzima na kujadili mapendekezo ya Katiba Inayopendekezwa ndani ya Bunge Maalumu la Katiba (BMK) na waliipitisha kwa kishindo.

Akifafanua zaidi, alisema iwapo wawakilishi wa madhehebu ya Kikristo waliokuwa wajumbe wa Bunge la Katiba waliona kinachopendekezwa ndani ya katiba hiyo kilikuwa hakifai na hakina masilahi kwa Watanzania; ni vizuri wangeungana kutoka nje pamoja na wajumbe wengine waliotoka na kususia mjadala mzima.

Alisema pamoja na kwamba wakati wa mchakato wa kujadiliwa kwa rasimu ya katiba ndani ya Bunge Maalumu baadhi ya madhehebu ya Kikristo hayakuwa na wawakilishi; mfano wa dhehebu la Wapentekoste, lakini bado waliridhia kuwakilishwa na wenzao wengine kwa lengo la kuwezesha nchi kupata Katiba Mpya.

“Katiba Pendekezwa ilianza kwa mchakato mzuri wa kupigiwa kura na ilipigwa ndani ya Bunge Maalumu la Katiba, sasa leo hii tunashangaa hawa wenzetu waliokuwemo ndani ya Bunge na kuipigia kura waliipitisha na hawakupinga, sasa leo vipi watueleze kuwa katiba hii imepatikana kwa mizengwe?”

“Sisi tulitegemea kuwa iwapo viongozi wenzetu wa kidini waliokuwemo ndani ya Bunge hilo walipoona kuna mizengwe yoyote inafanyika basi palepale wangetoka nje, leo Taifa limetumia mabilioni ya fedha na Katiba Imependekezwa ndiyo wanaibuka kuwataka Watanzania waipigie kura ya hapana; hapana kwa hili hatuwaungi mkono,” alieleza Askofu Mwombeki.

Kwa upande wake mwenyekiti wa Kamati hiyo, Askofu Amos Madayi wa Kanisa la Elim Pentekoste Tanzania Jimbo la Magharibi alisema tamko lililotolewa na Jukwaa la Wakristo linapingana na katiba ya nchi ya hivi sasa Ibara ya 18 kifungu kidogo cha (a), 19 (1) na 21 vifungu vidogo vya (1) na (2) na hivyo watoa tamko wamevunja katiba.

“Tumeisoma katiba na kuielewa na tunaikubali, kwa sababu mchakato wake umepatikana kwa njia ya kupigiwa kura; hivyo ni halali; na ili iweze kufanya kazi inabidi pia ipigiwe kura na wananchi, tunahimiza wananchi wote wajitokeze kuipigia kura kwa hiari na ridhaa yao wenyewe,”

“Si halali kwa mtu, au kikundi cha watu kumzuia mtu yeyote kwenda kupiga kura, kwa kufanya hivyo ni kinyume cha sheria, demokrasia na haki za binadamu kwa katiba ya nchi yetu, hivyo tunawatahadharisha wanasiasa wote na viongozi wa dini wawe waangalifu na makini wanapotoa matamko yao,” alieleza Askofu Madayi.

Aidha, katika tamko hilo Kamati hiyo imewatahadharisha viongozi wa serikali kutojihusisha na suala la Mahakama ya Kadhi kwani kuunga mkono suala hilo ni kutasababisha Katiba Inayopendekezwa Ibara ya 41.3 ikose maana na uzito uliobebwa na Katiba Pendekezwa.

Hivi karibuni Jukwaa la Wakristo nchini lilitoa tamko rasmi likiwahimiza Watanzania kujiandikisha kwa wingi katika Daftari la Kudumu la Wapigakura na wajitokeze kwenda kuipigia kura ya 'Hapana' Katiba Pendekezwa siku ya kupiga kura ya maoni.Akiongea kwa niaba ya wasanii waliojiunga kuipigia kampeni rasimu ya katiba mpya,NIKI awA KWANZA amesema kwa muda wa Miaka 50 toka nchi hii ipate Uhuru wasanii hawakuwahi kutambulika ktk katiba na wala kazi zao hazikuweza kutambulika kisheria,anasema katiba iliyopo ilitambua haki za Mali inayohamishika na Mali isiyohamishika lkn haikutambua mali isiyoshikika,wao kama wasanii wamejitahidi kushinikiza kuwepo na utambuzi na urasimishaji wa haki za Mali zisizoshikika kama muziki wao wa kizazi kipya,hivyo kuwasihi Wananchi wa Zanzibar waipigie Kura ya ndio katiba inayopendekezwa sababu imegusa maslahi mapana ya Watu wa makundi yote.Nikki wa Pili amemwambia Balozi Seif kuwa tasnia ya Sanaa ya muziki wa Kizazi kipya Tz ina mtaji wa Watu milion kumi,hivyo watatumia uwingi wao na nguvu yao ya kiushawishi kwa Vijana kushawishi waipigie Kura ya NDIYO katiba inayopendekezwa,kwani katiba hii imebeba matumaini na mustakabali mzuri wa Taifa na watu wake.

Pentecost are always anti-established churches so the froth oozing from there is nothing surprising!
 
Maaskofu Edson Mwombeki na Amos Madai wa Makanisa ya Kipentekoste Kanda ya Ziwa wamelaani tamko lililotolewa na na Jumuiya ya Kikristo Tanzania ambalo lilitaka waamini wapige kura ya hapana ya Katiba Mpya. Maaskofu hao hao wamesema kuwa viongozi wa dini wanapaswa kuwa daraja katika jamii na si wao kuwa chanzo cha mfarakano na mvurugano. Aidha, wamewatahadhalisha wanasiasa kuwa makini na viongozi wa dini ambao kila kukicha wanatoa matamko yenye utata na yanayoligawa taifa. Maaskofu hao wamesema kuwa Katiba Inayopendekezwa imepitia michakato yote kihalali na kwamba ni wakati sasa wa wananchi kuachwa huru wapige kura kwa mujibu wa utashi wao.


My Take: Maaskofu hao wanaonekana kuunga mkono tamko lililotolewa na Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo kuu la Dar es Salaam Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo ambaye naye amepaza sauti kupinga tamko hilo. Hii ni ishara kuwa waliotoa tamko la kuwataka waamini wapige kura ya HAPANA hawakupata baraka za viongozi wengine na kwamba wanatumia mwamvuli wa Jumuiya hiyo kupenyeza ajenda zao za kisiasa


SOURCE: TBC1 Habari ya Saa mbili Usiku

Pengo hataweza kuzuia ipepo wa mabadiliko.yeye yu peke yake maaskofu wajo nchi bzima
 
Maaskofu Edson Mwombeki na Amos Madai wa Makanisa ya Kipentekoste Kanda ya Ziwa wamelaani tamko lililotolewa na na Jumuiya ya Kikristo Tanzania ambalo lilitaka waamini wapige kura ya hapana ya Katiba Mpya. Maaskofu hao hao wamesema kuwa viongozi wa dini wanapaswa kuwa daraja katika jamii na si wao kuwa chanzo cha mfarakano na mvurugano. Aidha, wamewatahadhalisha wanasiasa kuwa makini na viongozi wa dini ambao kila kukicha wanatoa matamko yenye utata na yanayoligawa taifa. Maaskofu hao wamesema kuwa Katiba Inayopendekezwa imepitia michakato yote kihalali na kwamba ni wakati sasa wa wananchi kuachwa huru wapige kura kwa mujibu wa utashi wao.


My Take: Maaskofu hao wanaonekana kuunga mkono tamko lililotolewa na Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo kuu la Dar es Salaam Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo ambaye naye amepaza sauti kupinga tamko hilo. Hii ni ishara kuwa waliotoa tamko la kuwataka waamini wapige kura ya HAPANA hawakupata baraka za viongozi wengine na kwamba wanatumia mwamvuli wa Jumuiya hiyo kupenyeza ajenda zao za kisiasa


SOURCE: TBC1 Habari ya Saa mbili Usiku

Pengo hataweza kuzuia ipepo wa mabadiko.
 
Back
Top Bottom