Maaskofu Katoliki mnawaambia vijana wa Kitanzania waliopo Italia warudi nyumbani wakimaliza masomo, mna ajira za kuwapa?

Maishani ni bora ukose mali upate akili ya Kupambanua Mambo Kisomi.Hivi Kipindi kile Yesu alipokula na kunywa na wenye dhambi wakiwemo hao wazinzi,watoza ushuru,wafiraji,mashoga,wezi,nk,Kwa Kufanya hivyo alionyesha Kuwa anakubaliana na tabia zao?.
Hapo broo unampigia mbuzi gitaa. Hao majamaa wamelishwa na kumezeshwa fitna na chuki dhidi ya Wakatoliki na Ukatoliki wenyewe. Humwambii kitu.
Utasikia Oh wanakubali ushoga, wanakula na mashoga na blablaa nyingi kana kwamba wao huko aliko hawatendi dhambi, na dhambi ni ushoga tu -hizo zingine sio dhambi.Empty heads
 
Maaskofu Katoliki wamemaliza hija Roma na pia mkutano wao na Baba Mtakatifu.

Baada ya hapo wamekutana na watanzania waishio Italia hasa katika jiji la Roma wakiwepo wanafunzi.

Wakiongozwa na askofu mkuu Nyaisonga, maaskofu wamewaasa vijana hao kurudi nyumbani Tanzania mara wamalizapo masomo yao.

Je. maaskofu mnajua kadhia ya ajira iliyopo Tanzania kwa sasa? Au mna ajira za kuwapa hao wasomi wetu pindi warudipo au baadaye mtawaambia ombeni Mungu atawasaidia?
Stupid pops.
 
Maishani ni bora ukose mali upate akili ya Kupambanua Mambo Kisomi.Hivi Kipindi kile Yesu alipokula na kunywa na wenye dhambi wakiwemo hao wazinzi,watoza ushuru,wafiraji,mashoga,wezi,nk,Kwa Kufanya hivyo alionyesha Kuwa anakubaliana na tabia zao?.
Hebu nipe hicho kitabu kinachosema alikula na mashoga
 
Kwamba hicho kitu ni kitakatifu ? Na ni nani ambae hua anathibitisha kwamba huyu mtu ni mtakatifu? Anathibitisha vipi utakatifu wake
Ni kweli hicho kiti(Position/Madaraka/Wadhifa) ni kitakatifu kwani madaraka yalitoka kwa Yesu Kristo mwenyewe.(Kama huamini hivyo au kusadiki hivyo isikupe tabu au shida) we enjoy maisha na imani uliyo nayo. kwa raha zako.
Hakuna Mahakama/Maabara/Jopo la majaji kuthibitisha kwamba huyu mtu ni mtakatifu. Yeye Kama mtu sio mkamilifu na anayo madhaifu yake kama walivyo watu wengine.
Utakatifu wa Nafasi au Madaraka huthibitishwa kwa Huduma za Kiroho zinazotokana na Utendaji kwa mujibu wa Maongozi/Maelekezo ya Neno la Mungu(Yesu Kristo) mwenyewe kwa njia ya Roho Mtakatifu.
 
Mkuu umesahau ulichouliza?
umeuliza hivi:
"Hivi ni Kwa nini huyo kiongozi wenu hua mnamuita mtakatifu ?"
Kwa manttiki ya swali lak ni kwamba 1. Humtambui/Humkubali kama kiongozi -ndo mana unasema kiongozi wenu i.e ww umejitoa.
2. Matumizi ya Neno mtakatifu yametumika isivyo wakati ww unajua kwamba yy sio mtakatifu. Inamaanisha matumizi ya neno mtakatifu mahali pasipostahili ni maudhi kwako.
Ninachojaribu kuweka mbele yako ni kwamba sio lazima utamke kila kitu lakini ukisoma between lines ndipo unagundua maneno yaliyojificha.
e,g, Hujaandika unataka kujiita mtakatifu; lakini unahoji kwa nini fulani mnamwita mtakatifu kana kwamba kuna aliyetakiwa aitwe hivyo sisi tumemwacha pembeni.
Hujaandika umekereka lakini umehoji (Umeibua swali) manake una maslahi(Interest) katika hoja hii.
Ni kweli huyo papa hajawahi kua kiongozi wangu, sio kiongozi wangu na siwezi kua na kiongozi kama huyo jamaa lakini ninacho taka kufahamu ni kwamba ni kwa nini hasa hua mnamuita mtakatifu mna, na uhakika gani kwamba ni mtakatifu
 
Ni kweli hicho kiti(Position/Madaraka/Wadhifa) ni kitakatifu kwani madaraka yalitoka kwa Yesu Kristo mwenyewe.(Kama huamini hivyo au kusadiki hivyo isikupe tabu au shida) we enjoy maisha na imani uliyo nayo. kwa raha zako.
Hakuna Mahakama/Maabara/Jopo la majaji kuthibitisha kwamba huyu mtu ni mtakatifu. Yeye Kama mtu sio mkamilifu na anayo madhaifu yake kama walivyo watu wengine.
Utakatifu wa Nafasi au Madaraka huthibitishwa kwa Huduma za Kiroho zinazotokana na Utendaji kwa mujibu wa Maongozi/Maelekezo ya Neno la Mungu(Yesu Kristo) mwenyewe kwa njia ya Roho Mtakatifu.
Nisaidie hicho kitabu kinacho thibitisha kwamba huo wadhifa ni wakitakatifu na ulitoka kwa Yesu mwenyewe
 
Maaskofu Katoliki wamemaliza hija Roma na pia mkutano wao na Baba Mtakatifu.

Baada ya hapo wamekutana na watanzania waishio Italia hasa katika jiji la Roma wakiwepo wanafunzi.

Wakiongozwa na askofu mkuu Nyaisonga, maaskofu wamewaasa vijana hao kurudi nyumbani Tanzania mara wamalizapo masomo yao.

Je. maaskofu mnajua kadhia ya ajira iliyopo Tanzania kwa sasa? Au mna ajira za kuwapa hao wasomi wetu pindi warudipo au baadaye mtawaambia ombeni Mungu atawasaidia?
wanaanza kua wanasiasa
 
Ni kweli huyo papa hajawahi kua kiongozi wangu, sio kiongozi wangu na siwezi kua na kiongozi kama huyo jamaa (Samahani kwa neno hilo) lakini ninacho taka kufahamu ni kwamba ni kwa nini hasa hua mnamuita mtakatifu mna, na uhakika gani kwamba ni mtakatifu
papa mlaani huy afe usiku huu, amekuit mpuuzi
 
Ni kweli huyo papa hajawahi kua kiongozi wangu, sio kiongozi wangu na siwezi kua na kiongozi kama huyo jamaa (Samahani kwa neno hilo) lakini ninacho taka kufahamu ni kwamba ni kwa nini hasa hua mnamuita mtakatifu mna, na uhakika gani kwamba ni mtakatifu
Mkuu mbona nimeeleza hapo juu kwamba kuitwa "matakatifu" inatokana na nini. Labda nizidi kufafanua: Yeye kama yeye e.g. wa sasa hivi anaitwa Francis. Hatumwiti yeye Francis mtakatifu ila tunakiita kiti chake(Wadhifa wake/au Madaraka aliyonayo) ni wadhifa mtakatifu kwa mujibu wa Imani ya kanisa Katoliki. Kwa hiyo anaweza kuwa ni Baba mtakatifu John, Baba mtakatifu Francis, Baba mtakatifu Paul, n.k. n.k. Kwa kuangalia hapo utaona kinachobadilika ni jina la yule mtu anayeshika hayo madaraka. Labda tena nikupe mfano wa Rais. Rais ni wadhifa/madaraka/cheo lakini kwa jina anaweza kuitwa Rais Julius....; Rais John.. n.k.n.k. Hatujui keshokutwa inaweza kuwa Rais Papasa :D :D :D.
Kwa kutokana na Imani ya Kanisa Katoliki kuwa ni "Kanisa moja takatifu Katoliki la mitume...", basi hata hayo madaraka ni matakatifu na kwa kuwa yeye ndo kichwa(Kiongozi mkuu wa kanisa) ni Baba wa kanisa na kwakuwa madaraka yake ni matakatifu basi anakuwa addressed as Baba mtakatifu.
Narudia kukutanabahisha kwamba yeye kama mtu i.e Francis bado hajawa ni mtakatifu Francis.
 
Back
Top Bottom