Hunt me for what?Siyo rahisi hivyo kusahaulika, Ben na Lissu ni mwiba mbaya kabisa. Trust me.
Those is what we call “gross mistakes”, they will hunt you forever! Trust me!
Ktk kondoo wengi wanaochungwa na mchungaji ikisadikika kuwa mmoja tu hayupo mchungaji huwaacha wote akaenda kumtafuta huyu mmoja. Wakristo tumeaminishwa kuwa kondoo mmoja ana thamani kuliko wengi uliosalia nao.Hili taifa lina watu 50M,kumzungumzia Ben Saanane toka mwaka jana hadi leo ni kupoteza energy.
Kama yupo mafichoni analog in kwa ID fake, big up kwake kawashika wengi.
Kama alishafariki basi tuseme RIP..........lets move on.
Kuna andiko kwenye gazeti la Kubenea kuwa Ben yuko mtaani anagonga kahawa na masela.Uko wapi brother ben saa nane?
Aisee!Eti kapotea!!
kwani akipotea hasara ya nani!!
Apotee vizuri tu
Kwenu inaelekea mna historia ndefu ya;Eti kapotea!!
kwani akipotea hasara ya nani!!
Apotee vizuri tu
Uko wapi brother ben saa nane?
Hili taifa lina watu 50M,kumzungumzia Ben Saanane toka mwaka jana hadi leo ni kupoteza energy.
Kama yupo mafichoni analog in kwa ID fake, big up kwake kawashika wengi.
Kama alishafariki basi tuseme RIP..........lets move on.
You will figure it out.Hunt me for what?
Wewe unaongea au unaharisha? Easy tu kwasabababu siyo ndugu yako angekuwa babako,kakako,mamako au dadako ungeongea hayo? Siyo lazima wote tuimbe huna cha kuimba nyamaza..Hili taifa lina watu 50M,kumzungumzia Ben Saanane toka mwaka jana hadi leo ni kupoteza energy.
Kama yupo mafichoni analog in kwa ID fake, big up kwake kawashika wengi.
Kama alishafariki basi tuseme RIP..........lets move on.
Ingekuwa ni wewe una PhD anakuja kijana wa kijiweni aseme huna PhD, utamuua? Linakuingia akilini?Maandishi ya Ben Saanane
Mwisho wa kumnukuu
Je, huenda post hii ndio ilikuwa sababu ya kutoonekana kwake hadi leo?
Sawa bibi mbunyu.Wewe
Wewe unaongea au unaharisha? Easy tu kwasabababu siyo ndugu yako angekuwa babako,kakako,mamako au dadako ungeongea hayo? Siyo lazima wote tuimbe huna cha kuimba nyamaza..
Ni nauhakika damu yake haita muacha salama daudi albert bashite na magu endeleeni kufanya utaniMbona anashinda humu daily kapotea wapi?