mna roho mbaya sana nyieEti kapotea!!
kwani akipotea hasara ya nani!!
Apotee vizuri tu
..Ben Paul..ndio nani huyo aliepotea?
Na aliyetetea phd ya mkuu akaukwaa ukatibu mkuujamaa alitoa hoja nzito za kitundu lissu....apo lazima upotezwe maana hakuna wakujibu hoja hizo...hoja nzito nzito za kitundu lissu hizo
..Mbona ukipitea wewe hutafutwi?..Kuna nchi za wenzetu waliostaarabika, China,Marekani,Uingereza, Israel, Japan n.k. akipotea raia mmoja tu wako tayari kuingia gharama yoyote hata kama ni kwenda vitani ili kutetea uhai/utu wa raia huyo bila kujali ni wa chama Twawala au Pinzani!!!
The Bible says that One Soul is equivalency to 10,000 worlds.
Then unaweza ukaona jinsi nafsi moja ya bin-adamu ilivyo na thamani!!! Halafu jitu moja kutoka CCM linapuuza na kukebei kupotea kwa Ben Saanane! Huo ni wendawazimu...........!
..alianzaje kuchokonoa nyuki?..Co ubinadamu huo bro angekuwa ni Ndugu yko ndo
Ungejua kuna asara gani
..Ben Mwenyewe kalipwa,..si alitaka Mwenyewe kujitwisha mzinga wa Nyuki?..Mpuuzi wa mwisho kabisa wewe, wewe ni nani? Umewahi kumuumba hata binadamu mmoja? Unajua value ya ubinadamu wewe? Angalia yupo Mungu aliyetuumba sote, asije akakupindua kichwa chini miguu juu kama anavyompindua Makonda leo, kila unalolifanya liwe baya liwe zuri malipo ni hapa hapa, what goes around comes around ndugu.
We jamaa ni mshenzi..Ben Mwenyewe kalipwa,..si alitaka Mwenyewe kujitwisha mzinga wa Nyuki?..