My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,283
Awe mafichoni ili kumfurahisha shangazi yako?Hili taifa lina watu 50M,kumzungumzia Ben Saanane toka mwaka jana hadi leo ni kupoteza energy.
Kama yupo mafichoni analog in kwa ID fake, big up kwake kawashika wengi.
Kama alishafariki basi tuseme RIP..........lets move on.