The Certified
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 910
- 773
Hata la Bashite kesho mwishoHii issue mbona inaenda ikipoa kama vile hakuna kilichotokea???????
Hata la Bashite kesho mwishoHii issue mbona inaenda ikipoa kama vile hakuna kilichotokea???????
Yeuwi mbona inatosha!Hili taifa lina watu 50M,kumzungumzia Ben Saanane toka mwaka jana hadi leo ni kupoteza energy.
Kama yupo mafichoni analog in kwa ID fake, big up kwake kawashika wengi.
Kama alishafariki basi tuseme RIP..........lets move on.
Je unahisi haina la maana? Au kwa kuwa hakuwa akikuhusu kwa lolote lile, utajua kuwa kupotea kwake kuna maana iwapo angepotea MTU wa muhimu kwenye familia yako, anaweza kwako lisiwe la maana lakini kwa watu wengine lina maana kubwa sana.Kwa hiyo na wewe una maana gani kuendelea kusambaza hii post ambayo haina la maana??? Malengo yako ni nini? Wewe sio mtu mzuri kwa Taifa la Tanzania. Haaayaaaaa..............
Chadema wanajua walikomhamishia bana. Wewe unawaona wanapoteza Mb zao kumuongelea tena? Vijana wengi wa cdm wanaoshinda mitandaoni kipindi Fulani kabla ya uchaguzi 2015 walipewaga simu za tecno na huelekezwa wapi waelekeze mashambulizi ili kumlinda Kamanda wao. Ishu ya Ben watu hum ndani waliwekaga mtiririko mzima walivyojua na tuhuma zilidondokea kwa kamanda wao Mkuu, from there hawa vijana wa tecno wakaacha kabisa hata Ku hashtag, it seem vijana wa tecno walielekezwa maelekezo mengine. Ukiangalia nguvu wanayotumia kwa Mh makonda kumsakama ni kubwa sana kuliko waliyotumia kwa Ben.Mwisho wa kumnukuu
Je, huenda post hii ndio ilikuwa sababu ya kutoonekana kwake hadi leo?
Duh! Hii habari ya Mbowe kula mzigo ni kweli? Haya baba ni matunda yetu hayo tuyatumie tu.Hebu acheni kutumalizia MB zetu kizembezembe
Wewe ni Nani.....
Na kwa nini unauliza humu JF
Jalada lake limefunguliwa Police, hivi umewauliza wamefikia wapi......!!!????
Kwa nini hukumtafuta Baba yake ambaye aliisha Ripoti Police, au umesahau kwamba Baba yake alimsihi Mbowe aseme aliko mwanae. Wewe kimekushinda kipi kwenda kuulizia Mrejesho wa Baba na Familia kwa ujumla?...( Maana Baba MTU huenda aliisha nong'onezwa akatulia tuliiiii...ajabu Wewe na ushakunaku wako unakuja kujaza server ya JF bure)
Anyway, kama huifahamu familia Ina maana hata Mbowe huwezi kumpata maana yeye anasema tukae kimya ili watesi wake wasije kuamua kumdhuru, sasa kamuulize amefikia wapi..!? au bado anakula fungate na Wema Sepetu!??
Ukiona tabu huko kamuulize yule Binti Mwenzi wake alietuambia mwanzoni kwamba Mr. yuko kwenye mission maalum wapi sijui but atarudi, yaani yule atasema kama ile mission imekamilka au imeongezewa Muda au wako ndani ndani wanatii kiu kwa raha zao au VP?
Wote hao hawasumbuki na Ben, mpaka yule Binti...ajabu wewe na kiherehere chako ndio unajiulizisha au wewe ni...
Aaaah maana jina lako nalo linaacha maswala ,Mombasa kunasifa yake yakhe...!
Vyeti na Uhai/Usalama wa mtu kipi zaidiNenda na wakati, habari ya sasa ni vyeti feki bulaza...
Co ubinadamu huo bro angekuwa ni Ndugu yko ndoEti kapotea!!
kwani akipotea hasara ya nani!!
Apotee vizuri tu
Vijana wa tecno mna matatizoKiboko kapotea!! Hahahaa watu buana...
Mpuuzi wa mwisho kabisa wewe, wewe ni nani? Umewahi kumuumba hata binadamu mmoja? Unajua value ya ubinadamu wewe? Angalia yupo Mungu aliyetuumba sote, asije akakupindua kichwa chini miguu juu kama anavyompindua Makonda leo, kila unalolifanya liwe baya liwe zuri malipo ni hapa hapa, what goes around comes around ndugu.Kwahiyo mnaendelea kumjadili Ben ili yaliyompata yasiwapate?
poor thinking capacityEti kapotea!!
kwani akipotea hasara ya nani!!
Apotee vizuri tu
Jamani we are talking about someone's life. A human being Siyo mbwa paka au panya. A human being. God's creation kwa mfano wake. Tuwe waangalifu sana maana we are touching God Himself. Haya shauri zenuHili taifa lina watu 50M,kumzungumzia Ben Saanane toka mwaka jana hadi leo ni kupoteza energy.
Kama yupo mafichoni analog in kwa ID fake, big up kwake kawashika wengi.
Kama alishafariki basi tuseme RIP..........lets move on.
Huwezi kuona thamani ya mtu kupotea? ngoja siku uje kupata ajali sikuombei, upoteze tu mguu wako, then utaona uchungu wake, kupoteza tu mguu, halafu utalinganisha huo mguu wako na yule MTU mzima aliyepotea kipi kina faida kubwa sana?Si bora hata alivyopotea, maana hata akigongwa na nyoka chama hakiwezi kumtibu, bora wamlipe Wema Sepetu aje na wafuasi kuliko kamanda akiepata ajari au ugonjwa, hiyo ndiyo chadema kwa msiyoijua
NonsenseSi bora hata alivyopotea, maana hata akigongwa na nyoka chama hakiwezi kumtibu, bora wamlipe Wema Sepetu aje na wafuasi kuliko kamanda akiepata ajari au ugonjwa, hiyo ndiyo chadema kwa msiyoijua