Maua kilasa
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 1,040
- 560
Wewendiye abunuwas
Hili jiwe ndilo lililomtosa kilindiniMaandishi ya Ben Saanane
Mwisho wa kumnukuu
Je, huenda post hii ndio ilikuwa sababu ya kutoonekana kwake hadi leo?
angekuwa ndugu yako sidhani kama ungesema hayo...leo ni yeye kesho anaweza kuwa wewe mweyewe.Eti kapotea!!
kwani akipotea hasara ya nani!!
Apotee vizuri tu
Kwanini? Mbona haina athari zozote! Mwambie mbowe amlete kijana wa watu.Maandishi ya Ben Saanane
Mwisho wa kumnukuu
Je, huenda post hii ndio ilikuwa sababu ya kutoonekana kwake hadi leo?
Chadema wenyewe hawakuipa uzito tangu mwanzo. Yaani ilikuwa kama vile kapotea mbwaHii issue mbona inaenda ikipoa kama vile hakuna kilichotokea???????
Maandishi ya Ben Saanane
Mwisho wa kumnukuu
Je, huenda post hii ndio ilikuwa sababu ya kutoonekana kwake hadi leo?
Hiki ndicho kilimponza, jamaa alijua akichimbua ukweli utajulikana na atkuwa katika list ya mafisadi wa elimu. Ila wote walioshiriki mauaji yake watapata malipo yao hapa hapa tungoje mda utasemaMaandishi ya Ben Saanane
Mwisho wa kumnukuu
Je, huenda post hii ndio ilikuwa sababu ya kutoonekana kwake hadi leo?
Wewe utakuwa ni mpumbavu fulani aliyevurugwa na walikuvuruga walishakufa!!!Hili taifa lina watu 50M,kumzungumzia Ben Saanane toka mwaka jana hadi leo ni kupoteza energy.
Kama yupo mafichoni analog in kwa ID fake, big up kwake kawashika wengi.
Kama alishafariki basi tuseme RIP..........lets move on.
Nimekosa neno zuri la kukwambia broo niseme tu unastahili kuhurumiwaEti kapotea!!
kwani akipotea hasara ya nani!!
Apotee vizuri tu
Stupidity of the highest order (SHO)Hili taifa lina watu 50M,kumzungumzia Ben Saanane toka mwaka jana hadi leo ni kupoteza energy.
Kama yupo mafichoni analog in kwa ID fake, big up kwake kawashika wengi.
Kama alishafariki basi tuseme RIP..........lets move on.
ni uonevu wa hali ya juuHili jiwe ndilo lililomtosa kilindini
Ndiko tulipofika wala kwa kifichoni uonevu wa hali ya juu
Nenda na wakati, habari ya sasa ni vyeti feki bulaza...