Maandamano ya wananchi kumuunga mkono Spika Ndugai

Maandamano ya wananchi kumuunga mkono Spika Ndugai

Niseme Kwa kifupi kwamba, Ndugai alitoa mawazo kuhusu mikopo ya nchi na tozo kuwakilisha kilio cha wananchi wengi, ila nasikitika kwamba ccm wameshinikiza ajiuzuru Kwa maslahi ya chama Chao.

Jambo kama hilo ni hatari Kwa watu wengine wenye mawazo mbadala katika kusemea matatizo ya wananchi wa hali ya chini.

Hivyo watanzania ni vyema tukaandamana kumuunga mkono Mh Ndugai Kwa uthubutu ule wa kuweza kuzungumzia matatizo ya wananchi wa hali ya chini, Pia kuwapa moyo watu wengine wenye mawazo mbadala kuzungumzia matatizo ya wananchi wa hali ya chini
Watanzania ?? Au !! ??
 
Niseme Kwa kifupi kwamba, Ndugai alitoa mawazo kuhusu mikopo ya nchi na tozo kuwakilisha kilio cha wananchi wengi, ila nasikitika kwamba ccm wameshinikiza ajiuzuru Kwa maslahi ya chama Chao.

Jambo kama hilo ni hatari Kwa watu wengine wenye mawazo mbadala katika kusemea matatizo ya wananchi wa hali ya chini.

Hivyo watanzania ni vyema tukaandamana kumuunga mkono Mh Ndugai Kwa uthubutu ule wa kuweza kuzungumzia matatizo ya wananchi wa hali ya chini, Pia kuwapa moyo watu wengine wenye mawazo mbadala kuzungumzia matatizo ya wananchi wa hali ya chini
Wala wasiandame ,mwenyewe akifanya hivyo kwa manufaa binafsi.pili ni lini ndugai ameanza kujali taifa
 
Serikali iunge mkono uhuru huo utendeke. Watu wapo na watakuwepo
Kesho asubuhi tunaenda Central Police kuchukua kibali cha maandamano ya amani, wasipotupa tutatumia njia mbadala Ila maandamano ni lazima yafanyike.
Tumegundua wanasiasa wanapigania vyama vyao, hivyo nasi wananchi tupiganie maslahi yetu
 
Ndugai ni hopeless kabisa alikuwa anajua kinachoweza kifuatia, ndio maana akaleta pigo za kushambuliwa kisa mgogo, hapo mpaka mda huu wagogo wote hawatampenda mama...ngoja tuone na wasukuma nao wanafuatia usidhani Gwaji alikuwa hajui kuwa jamaa kashaweka barua mezani

Watakaotoswa nao wataanzisha ya ukabila "sukuma gang", mara watu wa kusini n.k hii miaka mitatu itakuwa interesting kwa kweli, huku mama kaachiwa zigo la misumari (mbowe) ukaskazini - wachaga.

I can foresee tribalism kwenye siasa zinazokuja
Huyu Mama mwanzoni alinipa matumaini kidogo ila kuna mambo yameanza kunipa wasiwasi.Mfumuko wa bei uko juu, gharama za umeme ndio kama tulivyosikia. Kuhusu demokrasia bado anga halijatulia.
Doa jingine ni kwa ishu ya Ndugai, Ndugai anaongoza bunge ambalo kazi yake kubwa ni kuisimamia Serikali. Kwa kawaida mchakato wa kukupa huwa haupiti bungeni, hivyo Spika na wabunge kwa ujumla wanapaswa kuhoji na kudadisi mikopo serikali inayokopa nje au ndani ya nchi.
Pamoja na kwamba Ndugai alikuwa ni Spika wa hovyo nadhani hakupaswa kulazimishwa kujiuzulu kwa kuhoji tu namna Serikali inavyokopa, labda kama kuna sababu ya zaidi ya hiyo.
 
Watanzania gani hao wa kuandamana [emoji1787] labda ujisemee mwenyewe mkuu
Watanzania wote, mikoa yote.
Tutaandamana kama wananchi, sio chama cha siasa na hatutaki ushirikiano kutoka chama chochote cha siasa
 
Ndugai ni hopeless kabisa alikuwa anajua kinachoweza kifuatia, ndio maana akaleta pigo za kushambuliwa kisa mgogo, hapo mpaka mda huu wagogo wote hawatampenda mama...ngoja tuone na wasukuma nao wanafuatia usidhani Gwaji alikuwa hajui kuwa jamaa kashaweka barua mezani

Watakaotoswa nao wataanzisha ya ukabila "sukuma gang", mara watu wa kusini n.k hii miaka mitatu itakuwa interesting kwa kweli, huku mama kaachiwa zigo la misumari (mbowe) ukaskazini - wachaga.

I can foresee tribalism kwenye siasa zinazokuja
Huyo mama uwezo wa uongozi ni mdogo ndio maana haya Mambo yanatokea sasa
 
Mlipokuwa mkiambiwa hakuna mihimili 3 hapa!!mnawatukana !!kudai katiba mpya hivyo hivyo, acha yawakute, tena huyo NDUGAI, ndio alikuwa kikwazo kikubwa, hayo matatizo hayajaanza leo, acha tu, yeye hao watu wenye mawazo mbadala mbona ndiye alikuwa mtesi mkubwa?
Uko sahihi ndugu, Ila pamoja mapungufu ya Ndugai Kwa hili Jambo ni vyema Sisi Kama wananchi tukamuunga mkono hoja yake kuhusu tozo na hiyo mikopo
 
Back
Top Bottom