Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
hivi hadi hawa watoto wamefikia kumkumbuka Nyerere na siyo Mwinyi waliyekua chini yake au Mkapa na kumruka kabisa Kikwete.. basi huko twendako siko.
Jibu langu kwa kifupi ni kwamba: Pamoja na failures kadhaa katika system ndani ya uongozi wake, Mwl. Nyerere ni ishara pekee ya kiongozi wa juu aliyeonekana kuipenda nchi yake na utaifa wake kupita viongozi wengine kama si wote katika ngazi hiyo hiyo waliofatia.