Maandamano ya wanafunzi St Johns University

Nchi isitawalike kwa nini,? mbona Police wameshamkamata mtuhumiwa na yuko Rumande? Yani watu kwa kupenda vurugu na polisi bana! hadi kero!

Basi watusaidie na kurudisha uhai wa huyo mwanafunzi wa Dodoma,,,, maana wangetimiza wajibu wao mwanafunzi asingeuwawa kwani wangedhibiti huo uhalifu. Maisha yamepotea kirahisi kabisa. Hakuna jeshi la polisi nchi hii ni genge la wala rushwa tu
 
Sasa kwa nini wamewazomea, na wanaandamana kuelekea wapi kuwasilisha hayo madai yao? Mi nadhani ipo haja ya kutumia busara zaidi katika kuyapatia ufumbuzi hayo madai yao kuliko kutumia jazba ambazo mara nyingi huwa hazitoi ufumbuzi stahiki.

Busara mpaka lini..sasa ni wakatiwa democracia wewe... Busara wenzetu waendelee kulawitiwa? Kuuliwa?? Kubakwa??? nadhani angekuwa mdogo ako ama wee mwenyewe umetendewa hivi...ungetoa mawazo mazuri zaidi
 
muwe mnajua kuwa polisi wanaweza kuwafanya kitu mbaya hivyo kama kweli mmeamua fanyeni kweli ila kama mnabip mh yanaweza kuwakuta makubwa
 
jiandaeni kwa vitu vyote visivyo na ncha kali kujibu mapigo ya polisi mafuta ya ta,a maji washa, au ya pilipil,----- ----- na vyote vinavyoweza kuwazuru polisi
 
Bado kidogo vibaka wa Mwanza nao watagundua kuna deal kwa wanavyuo (laptops, simu na cameras); nafikiri publicity ina kanegative influence kwenye hili.
mwanza mbona wanafunzi wanalizwa sana waulize SAUT
 
Bado kidogo vibaka wa Mwanza nao watagundua kuna deal kwa wanavyuo (laptops, simu na cameras); nafikiri publicity ina kanegative influence kwenye hili.

Kama unandugu huko ansoma au anaishi karibu na SAUT muulize atakuambiwa jinsi wanvyofanywa mbaya kila siku, ni kuw ahawaja andamana tu ila yalio toke akigamboni, DODOMA na hata Mwanza ni hivyohivyo.

Just Imagine udsm MAINCAMPUS NA Mabibo TU HAPO VIBAKA KILA SIKU WANPIGWA, JA WALIOPANGA MTAANI INAKUWAJE?
 
Binafsi nmesikia PJ kwenye uchambuzi wa magazeti akiisimulia hiyo story.huyo kibaka amekamatwa na simu aliyoikwapua ameiuza kwa elfu ishirini sasa nikajiuiza yan hiyo 20,000 ndo umtoe mtu roho???na kakiri kabisa kwamba alivyopiga kelele aliamua kumpiga na kitu kizito kichwan na akataka kumbaka but alishindwa coz alikuwa anavuja damu nyingi!!yan me imeniuma kweli!hii dunia sijui inaelekea wapi coz watu utu hawana kabisa.Mungu atusaidie.
 
Tatizo letu ni jinsi tunavyowapata polisi wetu na siasa zilizopo katika jeshi la polisi. Siku hizi kama una mjomba,baba au ndugu yeyote polisi unaweza kuingia na kuupata upolisi kirahisi sana.Zamani polisi walijiunga na jeshi hilo wakitokea mashuleni moja kwa moja kwa kupendekezwa na walimu kutokana na sifa zao. Kwa nini wasiboreshe mfumo ule wa zamani ili kupata polisi wenye tija na nidhamu na ufanisi zaidi.
 
Wamepta maeneo ya nyerere square nadhan kwa sasa wanaelekea barabara ya bunge
na polisi pia nimewaona na defender zao wakiwa wamebeba vifaa vya mazoez
si mnajua wakipata nafas ya kufanya rehesal kwaajili wapnzan
 
Kwanini kumekuwa na ant-police movement nyingi sana katika kipindi hiki cha Kikwete? Au kwa vile IGP ni shemeji yake wa Rais? Au amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama ni weak? Kuna nini? Mbona haikuwa hivyo huko nyuma?
 
Kuna mkasa mmoja ulitokea chuo cha uhasibu Arusha 2008, vibaka walikuwa wanasumbua sana mtaan kupiga wanafunz mapanga na kuwapora, polisi wanapokea taarifa ila hawakamati wahusika...wanafunz kama kamati wakaka wakaweka strategy then waka mobilize wanaume wote wakaingia front mtaan saa moja jion! Ikapigwa operation safisha mitaa kwenye vijiwe vyote na kutembeze kipigo! Kufika usiku mnene ndo polisi wakafika na kuwatuliza wanafunzi ila walikuta rundo na wahun kibao wakiwa hoi kwa kipigo..since that day hakujawah kuwa na matukio ya kuibiwa kijinga tena
 
Kwa sasa naona wapo maeneo nyerere square
naliona gari la maji ya kuwasha likiwatangazia kuwa wakutane mkuu wa mkoa anawasubiri kwaajil ya mazungumzo lkn si kwa uelekeo wanaoonda!!!!
 
Hawa dawayao ni gem la nch nzima tuwang'oe kwa nguvu manayake wamezid policeccm shitukeni au hamlali mitaani kwetu sikuiz nini? Mdognwangu sitaki asomee huu upumbavu yaani unaua kwa laki nne na nusu? Time will tell
 
Bado kidogo vibaka wa Mwanza nao watagundua kuna deal kwa wanavyuo (laptops, simu na cameras); nafikiri publicity ina kanegative influence kwenye hili.

walishafanya sana hapa mwanza maeneo ya SAUT ila nashukuru tuliwahi kuwkamata vibaka wawili wakitoka kuiba na kuwabaka wadada kwenye hostel yao.
Kilichowakuta hao vbaka wanasimuliana huko ahela.
 
Basi watusaidie na
kurudisha uhai wa huyo mwanafunzi wa Dodoma,,,, maana wangetimiza wajibu
wao mwanafunzi asingeuwawa kwani wangedhibiti huo uhalifu. Maisha
yamepotea kirahisi kabisa. Hakuna jeshi la polisi nchi hii ni genge la
wala rushwa tu

We unaonge pumba gani? Kuna nchi zenye police imara kama Marekani, Uingereza na nyinezo zilizoendelea! Lakini kiwango cha uhalifu kwa saa moja ndani ya Newyork kikoje? mauaji yakoje? inamaana nao hawawajibiki? Polisi hawezi kuwa kila mahala kwa kila tukio unless wawe wanapiga ramli! wahalifu nao ni wajanja! wa disclose information ni sisi raia wema sio kila kitu kitazuilika!
 
Tatizo letu ni jinsi tunavyowapata polisi wetu na siasa zilizopo katika jeshi la polisi. Siku hizi kama una mjomba,baba au ndugu yeyote polisi unaweza kuingia na kuupata upolisi kirahisi sana.Zamani polisi walijiunga na jeshi hilo wakitokea mashuleni moja kwa moja kwa kupendekezwa na walimu kutokana na sifa zao. Kwa nini wasiboreshe mfumo ule wa zamani ili kupata polisi wenye tija na nidhamu na ufanisi zaidi.


na ndio maana tuna vilaza kuanzia china mpaka uongoz wa juu! Akili hamna
fomular yao ni hii:- nguvu nyingi - akili + vifaa vyenye ncha kali + mabomu * ni upepo tu utapita = na swala lenu liko mahakamani
 
Back
Top Bottom