Itawajibika vp wkt wanao liwa kiboga wanakata mauno wao wenyewe!!
hvi kubaka kuna mahusiano gani na kuiba jamani!
kwani si uniibie tu uniache na kubaka tena ili kiwe nini?
hii style imetoka wapi hii!
hao wezi wana kisasi gani na wanavyuo?
kuna nini hapa?
leo ST JOHN,juzi ilikuwa IFM kuna nini?
nini kinaendelea zaidi ya hiki?
vyuo vinapofumbia macho swala hl nini athar zake?
polisi wanapoona ni swala binfsi kuna nini?
nini kipo nyuma ya nini hapa SIELEWI!kusema ukweli!serious sielewi!
poleni sana wanachuo na wengine wote
Ni vema ukatumia hekima kama msomi, kuliko kuropoka utumbo