Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,470
True. Tunaongozwa na Yesu, ambaye ndie KristoWakristu hawawezi kuandamana kwa sababu hawajiongozi wenyewe
Na huko kuna watu wenye akili timamu kwa hiyo haliwezi kutoka agizo la kipuuziIli waandamane inabidi amri au agizo litoke Vatican au Buckinham Palace
Yes indeed! Kiongozi wao ni marehemu. Alishakufa na kuzikwa. Zimebakia kumbukumbu za maisha yake na ndoa zake na vita vyakeWaislamu wanajiongoza wenyewe, na maandamano yao hayaanzii makka wala brazili, isipokuwa yanaanzia wanapoishi waislamu wahusika.
Kwa tafsiri ya kiswahili 'NYUMBA YA KAMBALE' kila mtu ana ndevu, haijulikani nani baba, mama wala binti, kila mtu ana sharubu. Leo Ponda kasimama anasema Mufti Kaffir, kesho Mufti anasema Ponda ni muhuni tu. Matamko yanapishana kama inzi chooni (nawapongeza kwa uhuru na demokrasia yenu na ndio maana mmeendelea sana)Its called "decentralised" religion with full autonomy
Sheikh Sulman Rushdie tu ndio alikatazwa, wengine wanaruhusiwa.Ndiyo muislamu yoyote anaweza kuhubiri neno la Mungu kama akitaka na akawa sheikh
Hapa sasa ndio umeongea upuuzi Mkuu. Sio wazungu, ni viongozi wa Kanisa. Na kwetu aliye mdogo ndie mkubwa mbele za Mungu, Pope ni Mtumwa wa Bwana kwa watu wake, ameyaacha maisha yake na kuwa mtumishi wa Mungu aliye hai.Mkristo inabidi kwanza awe "ordained" na wazungu ndiyo aweze kuwa padri au mchungaji wa kiwango cha juu
Kwa faida yako: Yesu alilikabidhi KANISA lake kwa Petro (Petrus I, Baba Mtakatifu wa Kwanza) na tangu hapo hatujawahi kugombania kanisa wala jengo la kuabudia kiasi tupigane mabomu ya makalio kama tulivyoona Arusha juzi.
Naamini Marehemu Mohammad hakufanikiwa kuacha uongozi, ndio maana leo matamko na matamshi yanapishana. Washia na Wasuni wanauana, mawahabi wanataka kumtoa mufti ofisini na kadhalika. Endelea kujivunia ujinga, hii ndio namna mnatuonesha ukubwa wa imani yenu kwa kuuana.