Sasa wewe kumbe mjinga namna hii! Ya mahakama yanakuhusu nini na kazi zako au we jaji na kama ni jaji kazi ya mahakama ni nini toa huu ujinga mwendawazimu weweKuanzia Ijumaa kutakuwa na Maandamano ya kupinga mwenyekiti wa CHADEMA kuendesha kesi Mwanza kwa sababu za kiusalama.
Yeye anamatatizo yake na polisi kule kahama hajaenda kufungua kesi Tabora kaja kufungulia Mwanza kama sio kuleta fujo za kijinga. Tutaandamana kuhakikisha anaondoka.
Watu waachwe wafanye biashara zao na shughuli za kujipatia kipato, si akafungue kesi Shinyanga mjini, kinachomleta Mwanza ni nini kama sio kuleta fujo za hovyo tu, hapana.
Sasa tutaandamana na kufurumusha wafuasi wake hadi Nyashishi.