Maandamano ya kupinga fujo za Mbowe, Mwanza

Maandamano ya kupinga fujo za Mbowe, Mwanza

Kama unaona alichofanya Mbowe kufungua kesi mwanza ni makosa nenda kapinge mahakamani mahakama iamue kama ana haki ya kufanya hivyo au la kupinga kwa maandamano
 
Dah magufuri kazi unayo...kama hawa ndio wanachama wako waliokuwa wanakunadi...
 
Kuanzia Ijumaa kutakuwa na Maandamano ya kupinga mwenyekiti wa CHADEMA kuendesha kesi Mwanza kwa sababu za kiusalama. Yeye anamatatizo yake na polisi kule kahama hajaenda kufungua kesi Tabora kaja kufungulia Mwanza kama sio kuleta fujo za kijinga. Tutaandamana kuhakikisha anaondoka
Watu waachwe wafanye biashara zao na shughuli za kujipatia kipato, si akafungue kesi shinyanga mjini, kinachomleta Mwanza ni nini kama sio kuleta fujo za hovyo tu, hapana. Sasa tutaandamana na kufurumusha wafuasi wake hadi nyashishi. Hatutaki
Wewe hayo maandamano yamepigwa marufuku, labda ya ccm
 
hayo ya ukabila ya kwako, zuio lilitolewa dar, yeye makazi yake dar, ofisi yake iko dar, kapigwa na polisi kahama, kinachomleta kufungua kesi mwanza ni nini kama sio kuchochea fujo? nasema hapa tutaelewana na tutaheshimiana tu.
Uzuri mhakama haziendeshwi kwa miongozo ya vijana waliokosa elimu na uelewa.
 
Andamana uone, ndo utajua mshindi wa ubunge ni nani.
 
Mkuu fikiri nje ya box mambo hayo hayakuhusu. Hayo ni mambo ya kisheria na yanatatuliwa kupitia mahakama na mahakama kufanya fasiri ya zuio la Polisi lipo kikatiba au la.

Mambo ya kujifanya ''ukanda'' au u-''vigilante'' a.k.a sungusungu kuchukua hatua mikononi bila kufuata sheria yatasababisha hata shughuli hizo za kibiashara zipate mkwamo.
Wewe unafikiri hapa Mwanza kuna mjinga wa kuandamana kwa kesi iliyopo mahakamani? Huyu anapiga kelele ili jioni na yeye aseme aliwahi kuleta mada JF. Hayo maandamano yapo kwenye kichwa chake, hayataonekana barabarani kamwe!
 
Safi sana, hakikisheni anaipeleka kesi ilikotokea ama ahihamishie huko kwao. Sioni sababu ya msingi kwenda Mwanza wakati hata Tabora ipo mahakama kuu mtoeni kwa mawe
 
hayo ya ukanda ni ya kwako, jibu swali langu usipepese macho, kafurumushwa kahama kakimbia kote tinde shinyanga maganzo nhungumalwa misungwi kaja kufungua kesi mwanza! kama shida yake ahukumiwe na jaji kwanini hakwenda tabora ambako diko jiografia ya kimahakama kwa kahama? tunajua anatafuta shari na ataipata tu.

Kuonekana mkanda huwezi kwepa, uko hivyo ila tu shida ninayoiona mimi ni hii; unaweza muanzishia Mbowe, nayo hiyo inaitwa uvunjifu wa amani. Zamani jibu lilikuwa wazi, ungepewa ukuu wa wilaya unaouponda huku unautamani. Lakini sasa, huyu jamaa yako wa sasa hivi hatabiriki, unaweza dhani atabariki confrontation yako ukashanga akakutosa mazima basi tu atakavyowaza au au atakavo jisikia sidhani kama atapenda kuonekana mkanda. Basi tu jamaa hatabiriki moja kwa moja. Tupa kete mwanangu, ujasiria mali hauhitaji uoga
 
Kuanzia Ijumaa kutakuwa na Maandamano ya kupinga mwenyekiti wa CHADEMA kuendesha kesi Mwanza kwa sababu za kiusalama. Yeye anamatatizo yake na polisi kule kahama hajaenda kufungua kesi Tabora kaja kufungulia Mwanza kama sio kuleta fujo za kijinga. Tutaandamana kuhakikisha anaondoka
Watu waachwe wafanye biashara zao na shughuli za kujipatia kipato, si akafungue kesi shinyanga mjini, kinachomleta Mwanza ni nini kama sio kuleta fujo za hovyo tu, hapana. Sasa tutaandamana na kufurumusha wafuasi wake hadi nyashishi. Hatutaki
Kuanzia Ijumaa kutakuwa na Maandamano ya kupinga mwenyekiti wa CHADEMA kuendesha kesi Mwanza kwa sababu za kiusalama. Yeye anamatatizo yake na polisi kule kahama hajaenda kufungua kesi Tabora kaja kufungulia Mwanza kama sio kuleta fujo za kijinga. Tutaandamana kuhakikisha anaondoka
Watu waachwe wafanye biashara zao na shughuli za kujipatia kipato, si akafungue kesi shinyanga mjini, kinachomleta Mwanza ni nini kama sio kuleta fujo za hovyo tu, hapana. Sasa tutaandamana na kufurumusha wafuasi wake hadi nyashishi. Hatutaki


Tukiendekeza siasa Nchi itakuwa maskini. Nikweli siasa ni kitengo ambacho lazima kiwepo lakini watu hatuwezi kubanwa na siasa kila kukicha. Hata kwenye vitabu vya dini tumefindishwa kuhusu nyakati. Kuna siku za kufunga mchana,siku za kula mchana, Saa za kulala, Saa za kuamka,Saa za kusali,Saa za kucheka, Saa za kulia, Saa za kukaa kimya, Saa za kusema n.k. Makosa ni sehemu ya Binadamu tangu ameumbwa. Uchaguzi umekwisha watu wanahitajika kufanya kazi. Maadamano kila mara ni kero. Bahati mbaya wanasiasa wanataka kuharibu muda wa watu wengine, wakati wao wanalipwa kutokana na ruzuku ambazo ni kodi zetu. Too much of anything is harmful. Arusha ilivurugwa kwa maadamano, sasa ndio imepumua baada watu kuchukia. kwanini Mboe asiende Moshi? Kule hakuna Barabara.
 
Wewe sio mfuasi wa JPM, nimekushtukia maana yeye anahamasisha kazi wewe unahamasisha vurugu, wenzako tunawaza tutapataje hela tulipe kodi hadi Rais atutunuku vyeti wewe unawaza kugombana na watu ili iweje au upate nn, hebu pevuka kiakili mkuu
 
Kuanzia Ijumaa kutakuwa na Maandamano ya kupinga mwenyekiti wa CHADEMA kuendesha kesi Mwanza kwa sababu za kiusalama. Yeye anamatatizo yake na polisi kule kahama hajaenda kufungua kesi Tabora kaja kufungulia Mwanza kama sio kuleta fujo za kijinga. Tutaandamana kuhakikisha anaondoka
Watu waachwe wafanye biashara zao na shughuli za kujipatia kipato, si akafungue kesi shinyanga mjini, kinachomleta Mwanza ni nini kama sio kuleta fujo za hovyo tu, hapana. Sasa tutaandamana na kufurumusha wafuasi wake hadi nyashishi. Hatutaki
Shauri la kupinga amri ya polisi ya kupiga marufuku maandamano na mikutano ya kisiasa iliyofunguliwa na Chadema katika Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza inaanza kusikilizwa mchana huu baada ya kupangiwa jaji.

Msajili wa wilaya wa mahakama hiyo, Francis Kabwe amesema shauri hilo linasikilizwa na Jaji Mohamed Ngwae.

Katika madai yake ya msingi, Chadema kupitia kwa Mwenyekiti wa wa chama hicho, Freeman Mbowe inaiomba mahakama kutangaza kuwa amri ya polisi ni batili na utekelezaji wake pia ni batili kwa sababu inakiuka katiba na sheria ya vyama vya siasa inayoruhusu uhuru wa mawazo, kukusanyika, kutoa maoni na demokrasia
Source Mwananchi
 
Inakuuma eee? Kwani si kafungua yeye we inakuhusu nini uliambiwa usiende kwenye biashara zko cku ya kesi?
 
Kwa taarifa yako Mbele ya jamii , ACT ndio chama ya upinzani, na chadema ni ccm B
 
Kuanzia Ijumaa kutakuwa na Maandamano ya kupinga mwenyekiti wa CHADEMA kuendesha kesi Mwanza kwa sababu za kiusalama. Yeye anamatatizo yake na polisi kule kahama hajaenda kufungua kesi Tabora kaja kufungulia Mwanza kama sio kuleta fujo za kijinga. Tutaandamana kuhakikisha anaondoka
Watu waachwe wafanye biashara zao na shughuli za kujipatia kipato, si akafungue kesi shinyanga mjini, kinachomleta Mwanza ni nini kama sio kuleta fujo za hovyo tu, hapana. Sasa tutaandamana na kufurumusha wafuasi wake hadi nyashishi. Hatutaki
Huo msimamo ndo unatakiwa
 
Kuanzia Ijumaa kutakuwa na Maandamano ya kupinga mwenyekiti wa CHADEMA kuendesha kesi Mwanza kwa sababu za kiusalama. Yeye anamatatizo yake na polisi kule kahama hajaenda kufungua kesi Tabora kaja kufungulia Mwanza kama sio kuleta fujo za kijinga. Tutaandamana kuhakikisha anaondoka
Watu waachwe wafanye biashara zao na shughuli za kujipatia kipato, si akafungue kesi shinyanga mjini, kinachomleta Mwanza ni nini kama sio kuleta fujo za hovyo tu, hapana. Sasa tutaandamana na kufurumusha wafuasi wake hadi nyashishi. Hatutaki

acha ubaguzi wa kikanda by the way tushaelewa ww ni wa kundi gan
 
Back
Top Bottom