Maandamano ya Kumsapoti JK Washington DC

To hell with your none sense Diaspora. Ina maana kwako cha maana ni kukutana na JK na baada ya hapo basi aondoke akusulubiwe NY. Utakuwa huna akili kama JK unamdhamini siyo rahisi uwe na double standard kubwa namna hiyo.Hizi nafananisha na tabia za kichangudoa ambaye kwake incoming mteja ndio muhimu na akishamalizana naye hataki wajuane tena maadam ameshachukua hela.
Ujinga unaoongea hapa sikutegemea awe anaongea mtu anayeishi Marekani na mwenye exposure kama wewe. Mnatukatisha tamaa kama ninyi wenye exposure mna akili mgando kiasi hiki itakuwaje kwa locals ambao hawana exposure.

Kumbuka harakati za uhuru zililetwa na watu waliotoka vita kuu ya pili ya dunia baada ya kupata exposure kubwa lakini nyie exposure yenu inawafanya kuwa watu wa kuganga njaa na wasaliti wa mwamko wa mabadiliko yanaoyoendelea nchini mwetu.

Wee hujapiga mswaki kapige kwanza ndio uanndike siwezi kukujibu mtu uliyesahau kupiga mswaki
 
Matunda ya nini kama si mawazo finyu..Wapo wageni wangapi wameinvest kila sehemu yenye manufaa kwa taifa na hakuna faida yoyote tuionayo zaidi ya ufisadi , To hell na matangazo ya kitoto.

Hayo ni mawazo yako wewe binafsi.
 
Jk ataenjoy akitembea CHINA! sababu kule mkusanyiko wa zaidi ya watu 5 .. ni kosa kisheria...

natamani akirudi kutoka DC ajiuzulu ....
 
When the president comes just knw we know y but there is nothing u can do guys
 
we mbona unajiita zionist kama unamlaum eliakim??? kwanza kabisa ujue sisi tushachoka na mtalii wenu ambaye kafanya ziara nyingi ambazo bado matunda yake bado hayaoneklani kwani kila kukicha maisha yanazidi kuwa magumu! tuna haki ya msingi kikatiba kupinga matumizi mabovu ya kodi zetu na kutumia muda m,wingi bnje ya nchi huku hali matatizo ya wananchi yanakosa mtatuzi na mtu tuliyempa dhamana hana mda na hilo!

mfano, laila odinga alikuwa nje ya nchi kushughulikia mgogoro wa alasana watara na bagbo wa ivory cost lakini aliposikia kibaki kateua jaji mkuu bila kumhusisha alikatiza safari yake akarudi kenya na akapata surulu uteuzi ulibatirishwa, sisi wa kwetu mabomu yameripuka gongo la mboto one day after kakwea pipa kwenda kushughulikia mgogoro wa ivory coast sasa angalia nani anajua anachofanya! si hiyo tu kka hiyo nimekuonjesha uone kiongozi wako make wa kwetu tunamjua!

hatuwezi kuendeshwa kama hatuna akili, haki zetu tunazijua sasa, tanzania tumeamka na kama hamuamini subiri 2015 uone kazi,
hii nchi itakombolewa na watu wenye fikira pevu na si hawa wanaouza ardhi yetu, madini yetu hadi wanabadilisha majina ili wasijulikane na ofisi kuu hizi taariofa inazo lakini ishazibwa mdomo, serikali isiyokuwa na meno yani serikali kibogoyo! tunajiuliza kwa nini haina meno/??

ni mambo ya ajabu sana na kusikitisha, aruta kontinua wana washington!-mpinge tena anadaa mabango ya matatizo yote yanayotukumba ili dunia ione na si kumpa sifa asizokuwa nazo!
 
Waraka huu ni kwako wewe hasidi wa upendo, utulivu, na amani ya taifa letu la Tanzania unayejiita Eliakim Mallya na wapuuzi wenzako. Sina uhakika kama kweli jina hilo ulilotoa ni lako, maana kina cha woga na ujinga ulionao, havikuwezeshi wewe kuwa na ushujaa wa kutoa jina lako la kweli. Ninasikitika kwamba imebidi watu wenye heshima zetu tukae chini kutoa kauli kuhusiana na upumbavu uliowekwa kwenye mtandao na mtu asiyekuwa na heshima wala adabu kama wewe, na wapuuzi wenzako wengine mlioko katika kapu moja.
Kwanza, tendo la kumvunjia heshima kiongozi wa taifa letu kwa kutoa kashifa iliyotolewa, pia ni tendo la kulivunjia heshima taifa letu na watu wake, jambo ambalo linakufanya wewe Eliakim Mallya na wote mnaohusika na kashifa hii kuwa mahayawani, maana hayawani hana aibu.

Pili, ukosefu wa utimamu wa akili yenu nyie mhusikao na kashifa hii, pia unajidhihirisha kwa jinsi mlivyojaribu kukosea heshima Watanzania tunaoishi Marekani kwa kujifanya kutuwakilisha wakati nyie ni vivuli. Ni mtu gani awezaye kusikiliza maneno yatokayo kwenye vinywa vya wapumbavu? Ninawajutia kuwa mmesoma kwa kiasi fulani lakini hamkuelimika hata kidogo.

Tatu, ninyi ni viumbe msiokuwa na tone la shukurani kwani pamoja na kwamba Tanzania iliwasomesha na kuwafikisha hapo mlipo (hamwezi kulikataa hilo), mnaanza kuisaliti na kuibeza. Hali kadhalika ninyi ni wasaliti wa utamaduni, mila na desturi za taifa letu na watu wake. Hadhi ya Watanzania iko katika kauli zao njema nyumbani na hata ughaibuni-mahali popote walipo. Taifa letu limepata sifa kubwa sana kutokana na ubora na mwenendo wa tabia za watu wake dunia nzima. Leo hii, watu wachache mliochanganyikiwa mnataka kuupaka matope ubora wetu; hatutaruhusu wala kukubali vitendo na mienendo ya kihuni.

Nne, wahenga walisema debe shinda haliachi kutika, na debe tupu haliachi kuvuma; ninyi mlionena na kuchapisha uvundo wenu huu, ni mifafano dhahiri ya methali hizo. Kwa vile Eliakim Mallya na wenzako mmetota, endeleeni kutota katika tope la ujinga na utovu wa adabu kama walivyo wahaini wa aina yenu.

Mwesigwa. Blandesi

Acha vitisho wewe mpuuzi!?
Miye hapa sijaona mwanga toka juzi!! ndani ya nchi yangu. Nauli sasa imepanda sababu ya kupanda kwa mafuta.

Nikitaka kuandamana kukueleza unaamuru nipigwe risasi za moto na mabomu. Nikitaka kuchagua kiongozi nimpendae unachakachua ili umweke atakayekusaidia muifilisi nchi yangu.
Wawakilishi wachache nilioweza kuwapitisha kwa njia uchaguzi na kukushinikiza kwa maandamano bado unawakandamiza kwa wingi na neno moja la NDIYOOO/SIYOOO!

Madini yaliyowekwa na muumba wangu chini ya ardhi unaita mabwana zako kutoka nje kuja kukwapua na kuniachia mashimo na mahandaki yanayonisababisha kipindupindu na malaria.

Maslahi ya taifa yako wapi?
Umehamia hata kwenye twiga, simba, chui na swala hai? unataka tuende wapi?

Kwa taarifa yako mimi na huyo Mallya unayemtusi tumesomeshwa na kodi ya baba zangu kipindi cha viongozi waliojali maslahi ya nchi siyo hawa majambazi wenzio mnajenga viota vya kuku manaita darasa bila waalimu na watoto wako najua wako Ulaya wanasoma kwa kodi yangu.

Kwa sauti: NCHI HII NI YETU SOTE NA SIYO MALI YA VIONGOZI KAMA WEWE.
US hakuna mabomu na risasi za moto.
Umeshindwa kunipa haki ndani ya NCHI ACHA DUNIA IKUJUE. UNASIKIA? HATA KAMA UNGENIKUWA NANI TUMECHOKA!
 
Waraka huu ni kwako wewe hasidi wa upendo, utulivu, na amani ya taifa letu la Tanzania unayejiita Eliakim Mallya na wapuuzi wenzako. Sina uhakika kama kweli jina hilo ulilotoa ni lako, maana kina cha woga na ujinga ulionao, havikuwezeshi wewe kuwa na ushujaa wa kutoa jina lako la kweli. Ninasikitika kwamba imebidi watu wenye heshima zetu tukae chini kutoa kauli kuhusiana na upumbavu uliowekwa kwenye mtandao na mtu asiyekuwa na heshima wala adabu kama wewe, na wapuuzi wenzako wengine mlioko katika kapu moja.
Kwanza, tendo la kumvunjia heshima kiongozi wa taifa letu kwa kutoa kashifa iliyotolewa, pia ni tendo la kulivunjia heshima taifa letu na watu wake, jambo ambalo linakufanya wewe Eliakim Mallya na wote mnaohusika na kashifa hii kuwa mahayawani, maana hayawani hana aibu.

Pili, ukosefu wa utimamu wa akili yenu nyie mhusikao na kashifa hii, pia unajidhihirisha kwa jinsi mlivyojaribu kukosea heshima Watanzania tunaoishi Marekani kwa kujifanya kutuwakilisha wakati nyie ni vivuli. Ni mtu gani awezaye kusikiliza maneno yatokayo kwenye vinywa vya wapumbavu? Ninawajutia kuwa mmesoma kwa kiasi fulani lakini hamkuelimika hata kidogo.

Tatu, ninyi ni viumbe msiokuwa na tone la shukurani kwani pamoja na kwamba Tanzania iliwasomesha na kuwafikisha hapo mlipo (hamwezi kulikataa hilo), mnaanza kuisaliti na kuibeza. Hali kadhalika ninyi ni wasaliti wa utamaduni, mila na desturi za taifa letu na watu wake. Hadhi ya Watanzania iko katika kauli zao njema nyumbani na hata ughaibuni-mahali popote walipo. Taifa letu limepata sifa kubwa sana kutokana na ubora na mwenendo wa tabia za watu wake dunia nzima. Leo hii, watu wachache mliochanganyikiwa mnataka kuupaka matope ubora wetu; hatutaruhusu wala kukubali vitendo na mienendo ya kihuni.

Nne, wahenga walisema debe shinda haliachi kutika, na debe tupu haliachi kuvuma; ninyi mlionena na kuchapisha uvundo wenu huu, ni mifafano dhahiri ya methali hizo. Kwa vile Eliakim Mallya na wenzako mmetota, endeleeni kutota katika tope la ujinga na utovu wa adabu kama walivyo wahaini wa aina yenu.

Mwesigwa. Blandesi

Bora vita hinayo tafuta haki kuliko kuwa amani inayo dhulumu utu wa mwanadam amka Mtanzania
 
Inatia kinyaa, inachefua na wala haiingii kichwani kumpokea mlinda mafisadi. Nenda wewe kwa vile umebahatika kuchakachua kwenye uongozi wake ukafika usa. Hautautushauri tu!!!! nasty.
 
Tafuteni mgeni mwingine, tunajua mnaweza mkawa na mawazo na mnatakiwa kujipanga mje kusaidia nyumbani na pia mjipange mje kula maisha hapa nyumbani kwani wengi wako huko wanapigika.

Tatizo huyo mgeni wenu anatumalizia hela zetu, watu mjini wanajisifia kwa kuzamia Presdential tours. Mi nawashauri mmualike Naibu waziri wa Foregn.
 
Inatia kinyaa, inachefua na wala haiingii kichwani kumpokea mlinda mafisadi. Nenda wewe kwa vile umebahatika kuchakachua kwenye uongozi wake ukafika usa. Hautautushauri tu!!!! nasty.

Sasa Rais anawalinda mafisadi kivipi? Kazi ya kuwakamata wezi ni ya polisi, sasa wao ndiyo wanatakiwa wafanye kazi yao. Kama kuna FISADI anaechukua hela za nchi kwa njia ya wizi, hizo ni kazi za Usalama wa Taifa, ambapo Nyerere ndiye alikuwa mkuu wao kwa muda mrefu.

Tuache lawama za kijinga kwa Rais kwa kila kitu. Nchi haiendeshwi na Rais peke yake. Kuna Waziri Mkuu, na mawaziri wengine waliojaa na kukaa maofisini bila ya kazi yoyote zaidi ya mikutano isiyoisha. Halafu kuna Wakuu wa Mikoa. Hawa ndiyo wanatakiwa walaumiwe zaidi.
 
Ndugu Mwesigwa Blandesi najua kwamba ktk familia yako kuna mambo ya msingi mnakubaliana na mengine hamkubaliani. Lakini haiondoi kuheshimiana na undugu wenu. Sijui kwanini unatumia lugha ya kejeli,matusi na vitisho kwa watanzania wenzako kwasababu tu wana mtazamo tofauti na wewe?!

Napata taabu kuamini kwamba wewe unaishi nje ya Tanzania tena eti USA sehemu ambayo uhuru wa kujieleza ni haki ya msingi. Sasa kama upo huko na bado una akili za aina hii,kama ungebakia kijijini kwenu huko Bkb ingekuaje?
 
angalizo; sijasema kwamba kuandamana ni kubaya hapana lakini kwani hatuwezi kuangalia historia inasemaje katika hili? na kwamba hatuna namna zingine kukaa na kuzungumzia matatizo yetu ni mpaka tuandamane?

kwamba katika historia ya nchi hii wapi tulipata matokeo mazuri kwa kuandamana? au ni utamaduni wa kule walijaribu wakaweza? na hasa anaye umia ni nani katika hili watanzania wenzangu hakuna nchi isiyokuwa na matatizo japo yanatofautiana na kwavile si ya kifalme ukiona haki haijatendeka unabana pumzi unangojea uchaguzi mkuu unamnyima. lakini pandikizi kama hizi za kuandamana sidhani kama ni hekima kwa watu wenye busara na amani miaka mingi!

watanzania msiibeze amani hata kama lindi la umasikini lipo lakini amani ni kitu kingine na umasikini ni kitu tofauti, katika hili ningependa kuongezea hiviii kikwete kama yeye hawezi akaangazia kila eneo la maisha ya kila mtu bali tuonapo mapungufu tuichukue kama changamoto na tuangalie tutaitatuaje na si kukaa tunahamishia matatizo yetu kwa viongozi kila tatizo huwa lina namna yake kulimaliza; jamani watanzania tuangalieni mambo ya msingi tuijenge nchi yetu.
 
Wee hujapiga mswaki kapige kwanza ndio uanndike siwezi kukujibu mtu uliyesahau kupiga mswaki

Inawezekana huwezi kujibu kwa sababu wewe ni uzao mchafu uliolelewa na fedha chafu na zilizolaaniwa na mafisadi unaotaka kuwatetea. Kama Wewe ni mjinga ulikwenda kuchungulia nini mdomoni kwake mpaka ukajua hajapiga mswaki kama wewe si tundu la maji machafu.
 
Kwanini hayo maandamano yasifanyike UN ambako ndiko kuna mkutano wa Kiserikali. Pale kila nchi itaongee na kutakuwa na TV za kila mahali. Dispora sio mkutano wa serikali bali ni wa Watanzania na JK ni mwalikwa tu!! hivyo sioni point ya kufanya mkutano kwenye diaspora kama nia ni ufanisi wa serikali.

Mimi ningeshauri JK asingekuja kwenye mkutano wa diaspora ili Watanzania waweze kujadili mambo yangu bila kupigiana kelele.
 
Nimeona heshima kubwa ambayo JK katoa kwa kuitangaza TZ ktk USA. Ametoa tangazo kubwa ktk uwanja wa Seattle Sounders just kuitangaza TZ!! Akiwa kama Rais, naona kafanya jambo la maana sana kutafuta investors ktk kila kona.

Juzi nilikutana na Wazungu, na Waafrika kutoka Afrika, na nilishangaa sana waliponiambia wanampango wa kwenda TZ kuinvest. Haya ni matunda ambayo tunaanza kuyaona.

You better keep quiet..kwani hao the so called investors ni invaders ambao tayari wapo wengi wakishirikiana na JK pamoja na serikali yake kutuibia. We dont need them as long as CCM and JK they are in power. Nahisi dadako ni nyumba ya ndogo ya mwanasisasa fulani anayekulipia ada huko unakosoma kwa hela zetu za kodi.
 
Back
Top Bottom