mtemiwaWandamba
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 561
- 223
Tatizo linalowasumbuwa bado ni lile lile, angalia post #30 mkeshaji ameshasahihisha hilo, wewe unachorudia hapa ni kujaza server tu, na kuhusu huyo MMKWELE naomba weka bold ili wadu waone nimemtukana wapi kama hajajitukana yeye mwenyewe, kwenda kukenuwa meno kwenye kitu ambacho kinakudharirisha wewe na nchi yako. angalia kwa makini hii picha mtu makini anaweza kuingizwa mkenge huu?
View attachment 29377
Hivi ikoje hii !!!!! hizo 300,000 ni US Doller, Euro, madafu au wameacha wazi ili baadaye wachakachu?