Maandamano ya CHADEMA Arusha: Mabomu yarindima, raia wauawa na viongozi wakamatwa

Chadema wapiganaji bana

Kuna kupigana bila kutoa damu?

Hayo ndio matokeo ya kuandaa watu kufanya mapambano...

Walikufa watu 38 chini ya Kamanda William Mkapa nini watu 2? polisi walikuwa so polite to these people

Kenge kaibuka kutoka mtoni...ubongo wake ni kama tembe ya panadol!! Watu mia au mtu mmoja wote watu nyumbu we!
 
Hali hii haiwezi kuvumilika. Raia watanzania wanathamani kubwa sana. Si busara kwa viongozi wa siasa kuwashawishi raia kuvunja amri za serikali iliyo madarakani kisheria. Watanzania tuwe MAKINI na viongozi wachanga wasio na huruma na raia. Si kila kitu POLISI wanakosea. Kuna mengine watu wanataka wenyewe hasa kama busara haitumiki katika maamuzi.

Crap!! Only when a madman acts or speaks gives a proof he is.
 
Haiwezekani wanasiasa tu kwa sababu wanatetea haki ya wote kuwekwa lupango and this source is apparently true. Moshi arusha na tanzania kwa ujumla amkeni kwani sasa hivi we know our rights and democracy is getting spread all over. Mbowe, Selasini na Lema piganieni haki za wote na sio haki za chama cha chadema............ Lakini mbona wote wachaga tu!!!!!!!!!!!!!!!
kwa vile wana moyo wa kujaribu...subiri Mwanza na sisi tutaamka!
 
Chama kikongwe tanzania ccm kwa kutumia nguvu za dola ikiungana na tafsiri ya chama kushika hatamu(dola) imeendela kutumia dola hiyo kuwalazimia wananchi uongozi kinyume na matwaka yao. Maandamano yalikuwa halali kwa mujibu wa katiba ya nchi na kamanda wa polisi arusha baada ya ku access taarifa za ki intelejensia na kuridhika nayo na kutoa kibali. Amri iliyotoka kwa mwema(kikwete) kuzuia maandamano haikuwa halali kwa kuwa ilikuwa ni ya kisiasa na si kiusalama kama ya kamanda wa arusha ambaye anao uwezo ku acess situation on the ground kuliko kamanda mwema ambaye yuko mamia ya kilometa kutoka eneo la tukio. Tendo hili pia linadhiirisha wazi kuwa ccm ni waroho wakubwa wa madaraka licha ya kuchukua karibu halmashauri zote za tanzania lakini bado wamwega damu kungangania zile halmashauri chache ilizoshindwa. Ccm sasa imeshajiwekea record ya kumwaga damu baada ya mauaji mengine ya huko pemba miaka ya nyuma na haya ya arusha na sasa muda umewadia wa ccm na dola yake kupelekwa kwenye mahakama ya kimataifa kwa uvunjifu wa makusudi wa haki za binadamu kwa ajili ya tamaa ya kugombania madaraka.
 
Haya mauaji hayana tofauti na yale ya Sherpaville, Cape Town mwaka 1960. Yalipelekea kuanzishwa kwa "Umkonto we sizwe" yaani the spear of Nation ambayo ndiyo military wing ya ANC. Pia Nakumbuka haya mauaji ndiyo yaliyombadilisha Nelson Mandela na kukubali kuanza mapambano ya silaha. Kama sikosei, kauli yake ilikuwa kama ifuatavyo: " it is fruitless to talk to the government about peace and the answer is senseless massacre of un-armed civilians". I may not have quorted him rightly to the word but the meaning is the same.

Today, Kikwete has no difference with the then Apartheid Prime Minister of the South African regime. Lets join hands to resist this oppression and liberate the Tanzanian people from these animals who will stop at nothing to remain in power!
 
Nazidi kukumbusha, tuendelee kuhamasishana kuhusiana na maandamano ya nchi nzima kama alivyosema kamanda mkuu Dr. Slaa. Tunataka tuone kama polisi wanaweza kweli kupambana na nguvu ya umma kama walivyojifaragua huko Arusha.

Uwezo wa kufanya maandamano tunao, sababu tunayo, nia na nguvu tunazo! Baada ya haya maandamano makubwa, natumaini wataanza kujifunza kuwaheshimu watanzania. Hii tabia ya ubabe ndani ya ardhi ya amani ya Tanzania inatoka wapi?
 
IGP mwema subiri arobaini zako na wewe maana unaendesha hii nchi kama ya baba yako kwa kutoa amri za kijinga....hii nchi yetu sisi wote hamna mwenye yake sasa subiri huyo mkuu wenu abanduke hapo kwenye hicho kiti tuone watu kama nyinyi mtakuwa madarakani....damu haimwagiki bure subiri tu.....
 
Duh..kumbe ndio mnatoa hapa;

Kumbe Assumsption ni kuwa: Vote turn-out ilikuwa almost 100%(Big NO)
Kikwete Alipata kura: 5,000,000 kati ya kura 18,000,000 zilizopigwa ambayo ni 27%;
Katika 12,000,000 ambao hawakupiga kura, imekadiriwa Dr. Slaa alipata 9,500,000, hivyo ukijumlisha na kura 2,000,000 alizopata ana 64%

Ndizo data zenu hizi?great thinkers??

Mie nilidhani data kama hizi ni wafuta bange pekee ndio wanaoweza kukubali makasa kama haya; kumbe ata wasomi wazima wenye akili timamu nao wanaingia tu kichwakichwa? sasa naamini kuwa Watanzania tuna matatizo makubwa kuliko tunavyodhani, wake up men!!

Mtu yeyote aliyeshiriki au kuufuatilia upigaji kura katika uchaguzi ule, atakubali bila ya shaka kuwa turn-out ilikuwa ni less than 50%; tusiongeeongee vitu kama watu wasio sawa kichwani.
Crappy
 
Hali hii haiwezi kuvumilika. Raia watanzania wanathamani kubwa sana. Si busara kwa viongozi wa siasa kuwashawishi raia kuvunja amri za serikali iliyo madarakani kisheria. Watanzania tuwe MAKINI na viongozi wachanga wasio na huruma na raia. Si kila kitu POLISI wanakosea. Kuna mengine watu wanataka wenyewe hasa kama busara haitumiki katika maamuzi.

Wana JF nisaidieni jamani huyu mtu ana akili timamu kweli? Hebu acha ukuda wewe kama huwezi kuchangia si unaacha! Eti Chadema wamwaga damu Arusha, zezeta wewe!!! Inakuwaje Polisi wanafanya siasa jamani ulishaona wapi katiba gani inayoagiza polisi kupinga maandamano ya amani yanayofanywa na raia wema? Tangu lini polisi wakatakiwa kuombwa na chama cha siasa kufanya maandamano?

Hebu uruhusu ubongo wako ufanye kazi kidogo japo kwa dakika 1 tu! Inakuwaje RPC anaruhusu maandamano halafu zezeta jingine toka huko juu linayazuia, eti taarifa za ki-intelijensia kwani huyo RPC hakuwa nazo hizo taarifa na kwa nini zianzie Dar? Huko siyo kuwavuruga wananchi kweli? Hebu wananchi Arusha walikomalie hili mpaka kieleweke!! Na hikli kama kuna mzembe anafikri wananchi watatulia anajidanganya wananchi watakuwa sugu mpaka polisi wenyewe watakoma!!!!!! ALUTA CONTINUA!!
 
Mimi nalaani matumizi makubwa ya nguvu ya polisi. Ila wanasiasanao waache kutumia wananchi kama mtaji wao wa kisiasa? Haya sasa, wamekufa watu wawili. Kama maandamano yamezuiliwa ya nini wameendelea nayo? Kama tumewapa polisi dhamana ya kulinda usalama wetu, kwa nini tunawapinga pindi wanapotuonya.
 
Chadema haikubeba rungu, haikubeba silaha iliwezaje kumwaga damu?
Waliomwaga damu ni polisi wliokuwa na silaha na walimwaga damu za wafuasi wa chadema.
Mahesabu magumu jamani........its so obvious!
 
Chadema haikubeba rungu, haikubeba silaha iliwezaje kumwaga damu?
Waliomwaga damu ni polisi wliokuwa na silaha na walimwaga damu za wafuasi wa chadema.
Mahesabu magumu jamani........its so obvious!

Well said.Unajua watu wengine wamekuwa brainwashed na CCM kiasi cha kusahau utu wao. Hamna mtu mwenye haki ya kuua mwenzie kwa sababu kaandamana!
 
Hali hii haiwezi kuvumilika. Raia watanzania wanathamani kubwa sana. Si busara kwa viongozi wa siasa kuwashawishi raia kuvunja amri za serikali iliyo madarakani kisheria. Watanzania tuwe MAKINI na viongozi wachanga wasio na huruma na raia. Si kila kitu POLISI wanakosea. Kuna mengine watu wanataka wenyewe hasa kama busara haitumiki katika maamuzi.

yaani kama hutakuwa huna akili basi your brain is wrong some where. Toka lini CHADEMA ikamwaga damu, sema POLISI wamwaga damu Arusha, yaani hata title hujui kuchagua, wake up man?????!!!!!
 
kumwagika damu ndo mwanzo wa ukombozi hat YESSU alimwaga damu kwa ukombozi wetu, si yeye au wafuasi wake waliomwagisha damu bali wapinzani wake, kiongizi makini ni yule anaye tuongoza kwenye kupata haki na sio wanaozuia maandamano ya amani, mikutano ya hadhara ya kuilimisha jamii,. AMKA CHARITY UIKOMBOE TANZANIA ACHANA NA MAWAZO MGANDO!!!!!!!!!!!!!!!!!!:A S 465:
 
Back
Top Bottom