Nini kilichokupandisha presha? Ukweli?
Ukweli unajua wewe mwanaharam? Kigagula!
Nini kilichokupandisha presha? Ukweli?
Ukweli unajua wewe mwanaharam? Kigagula!
Mission accomplished.
Dunia ujumbe imeupata kuwa Waislam usiwatukanie dini yao. Wakikujuwa imekula kwako.
Friendly fire. Katika mapambano imo hiyo.
Hapa duniani kuna unafiki mkubwa sana hususan kwenye hizi nchi za magharibi.
Mwaka jana Disemba 16 huko Peshawar, Pakistan watu 145 huku watoto wa shule wakiwa 132 kati yao waliuwawa na magaidi wa Taliban.
Ndiyo, kulikuwepo na kauli za kulaani hayo mauaji lakini kwa nini hakukuwepo mkusanyiko na mjumuiko wa hawa viongozi wa kimataifa?
Kwa nini hakukuwa na maandamano makubwa kupinga huo unyama wa Taliban dhidi ya watoto wa shule?
Leo wameuliwa wachora vikatuni vya uchokozi na makusudi dhidi ya dini ya watu na ghafla bin vuu kuna mshikamano wa kupinga matendo ya kigaidi na maandamano juu?
Ina maana maisha ya watu 17 yana thamani zaidi kuliko maisha 132 ya watoto wa shule tena ambao walikuwa hawana makosa yoyote?
Kuna mambo hapa duniani huwa hata hayaeleweki kabisa!!
Inategemeana na view ya viongozi wa nchi husika.
Hapa duniani kuna unafiki mkubwa sana hususan kwenye hizi nchi za magharibi.
Mwaka jana Disemba 16 huko Peshawar, Pakistan, watu 145 huku watoto wa shule wakiwa 132 kati yao waliuwawa na magaidi wa Taliban.
Ndiyo, kulikuwepo na kauli za kulaani hayo mauaji lakini kwa nini hakukuwepo mkusanyiko na mjumuiko wa hawa viongozi wa kimataifa?
Kwa nini hakukuwa na maandamano makubwa kupinga huo unyama wa Taliban dhidi ya watoto wa shule?
Leo wameuliwa wachora vikatuni vya uchokozi na makusudi dhidi ya dini ya watu na ghafla bin vuu kuna mshikamano wa kupinga matendo ya kigaidi na maandamano juu?
Ina maana maisha ya watu 17 yana thamani zaidi kuliko maisha 132 ya watoto wa shule tena ambao walikuwa hawana makosa yoyote?
Kuna mambo hapa duniani huwa hata hayaeleweki kabisa!!
View gani hiyo?
Kuna viongozi wanahifadhi magaidi na kuwalinda karibu na vituo vya kijeshi.
Kuna viongozi wanaamini katika tamaduni mbali mbali kuishi kwa uhuru kwa pamoja
Mkuu this is what is called Western Double standard
Watoto waliokufa kwa Mashambulizi ya NATO katika maika 20 iliyopita ni Balaa
Wachora katuni acha wafe tu....Dunia imejaa unafiki mtupu
Europeans ndo binadamu wanaofaa kuishi peke yao
Lakini sidhani kama Cartoonist watachora provocative Cartoons hivi karibuni kuhusu waislamu
Jamaa wamewapa Sucker punch
Hata si kweli...
ukizungumzia International politics uwe realistic
hao magaidi unaosema akina osama na Wenzake mwaka 1985 wakati wanapewa silaha na USA kumtoa USSR afghanistan walikuwa ni freedom fighters....
So ni issue ya double standard kama dunia nzima ilivyo kinafiki nafiki
wale wachora katuni hawatasau
Mwenye kujua naomba maana halisi ya neno GAIDI.